Mbweni inapendelewa ujenzi wa barabara, Mbezi kwa miaka nenda rudi barabara hazijengwi

Mbweni inapendelewa ujenzi wa barabara, Mbezi kwa miaka nenda rudi barabara hazijengwi

Kwa uelewa uliopo kwmaba miaka ya magu kulikujaga mafuriko huko mbweni kule shule ya DIS. JPM akaomba mkopo nafikiri na wahisani walisema watachangia ujenzi wa miundombinu hasa mifereji na barabara.

Mbweni JKT wenye viwanja kule wamaembiwa kabisa lazima wajenge Ghorofa hakuna nyumba ya chini. Matumizi bora ya ardhi. Hata hivyo sehemu moja unakuta hapa Hangaya, pale Katibu Mkuu, pale former Canadian Ambassador Zoka, pale Likwelile, pale marehemu Hans pope bilionea wa simba, majenerali wastaafu ndio kama wote mbweni kweli hawa ni vigogo lazima Tarura yenyewe iweke lami.

Mbweni watu wanalala milango wazi hakuna kibaka.

Ila.mbezi beach ingependeza sana ingepigwa lami na.mifereji wenyeji wa huko wana msemo kwamba mwendazake angelikuwepo wangekuwa wanakanyaga lami sasa hivi.
Mbezi beach mitaa mingine haingiliki haitoki, labda wabomoe sehemu

Ova
 
Mbezi watengeneze mitaa ipi
Mko tayari kuvunjiwa nyumba,uzio
Mitaa yenyewe bado haijanyooka

Ova
Hilo si tatizo, mbona Temeke, Kijichi na kwingineko imewezekana.
Watu wanaendeleza ubaguzi sasa kwa visingizio.
 
Mbezi beach mitaa mingine haingiliki haitoki, labda wabomoe sehemu

Ova
Na katika kitu Halmashauri ya jiji upande wa mainjinia wa ujenzi wamelala ni kuisafisha mbezi beach na jiji kwa ujumla.

Kuna watu kwa makusudi kabisa wanajenga nje ya mipaka ya viwanja vyao wengine wanaziba njia lakini jiji halichukui hatua ya kuwabomolea. Kwa mfano kuna kigogo mmoja wa makaunda suti pale bahari beach njia panda ya kwenda tegeta nyuki anajenga nyumba za kupangisha appartment nje kabisa ya mawe ya kiwanja yaani kazidisha kiwanja mpaka road reserve kaimaliza wahusika wapo na wanafanyaga doria lakini naona wanamuogopa mmiliki.

Pale Jogoo kuna mwingine kuelekea kanisa la TAG besides Art Gallery huyu alishapigiwa X lakini habomoi na amaefinya mtaa mzima.
 
Majuzi nimepita Mbweni nikashangaa kabisa.

Barabara nyingi zilizokuwa hazipitiki sasa ni lami tupu.

Najua huu ni mkakati wa viongozi wengi kujipendelea maana wengi wamejenga huko.

Nimepeta tetesi kuwa hata kwa Katibu Mkuu Kiongozi, watu wameamriwa barabara iendayo kwake iwekwe lami.

Tofauti na Mbweni, huku Mbezi Beach barabara za kwenda makazi ya watu hazijashughulikiwa kabisa.
Barabara za NSSF Flats
Barabara za Jogoo Cotex
B arabara za Mbezi Tangi Bovu
Barabara ya Mbezi 5 Star
Barabara ya Ndumbwi-Baraza la Mitihani
Barabara za chini Kwa Lukuvi

Ila barabara ya kwenda kwa Kikwete Kawe Beach ilijengwa chap chap!

Huu upundeleo dhahiri wa viongozi kujinufaisha Awamu hii!
Picha ya lami iko wapi wewe?
 
Majuzi nimepita Mbweni nikashangaa kabisa.

Barabara nyingi zilizokuwa hazipitiki sasa ni lami tupu.

Najua huu ni mkakati wa viongozi wengi kujipendelea maana wengi wamejenga huko.

Nimepeta tetesi kuwa hata kwa Katibu Mkuu Kiongozi, watu wameamriwa barabara iendayo kwake iwekwe lami.

Tofauti na Mbweni, huku Mbezi Beach barabara za kwenda makazi ya watu hazijashughulikiwa kabisa.
Barabara za NSSF Flats
Barabara za Jogoo Cotex
B arabara za Mbezi Tangi Bovu
Barabara ya Mbezi 5 Star
Barabara ya Ndumbwi-Baraza la Mitihani
Barabara za chini Kwa Lukuvi

Ila barabara ya kwenda kwa Kikwete Kawe Beach ilijengwa chap chap!

Huu upundeleo dhahiri wa viongozi kujinufaisha Awamu hii!
Mbunge wenu liyeahidi kuwapeleka Birmingham, Marekani anasemaje?
 
Majuzi nimepita Mbweni nikashangaa kabisa.

Barabara nyingi zilizokuwa hazipitiki sasa ni lami tupu.

Najua huu ni mkakati wa viongozi wengi kujipendelea maana wengi wamejenga huko.

Nimepata tetesi kuwa hata kwa Katibu Mkuu Kiongozi, watu wameamriwa barabara iendayo kwake iwekwe lami.

Tofauti na Mbweni, huku Mbezi Beach barabara za kwenda makazi ya watu hazijashughulikiwa kabisa.
Barabara za NSSF Flats
Barabara za Jogoo Cotex
Barabara za Mbezi Tangi Bovu
Barabara ya Mbezi 5 Star
Barabara ya Ndumbwi-Baraza la Mitihani
Barabara za chini Kwa Lukuvi

Ila barabara ya kwenda kwa Kikwete Kawe Beach ilijengwa chap chap!

Huu upundeleo dhahiri wa viongozi kujinufaisha Awamu hii!
Nchi hii kuna ujinga mwingi sana pale Tembon kuna lami ilijengwa ikaishia mlangoni kwa boss wa Tanroads

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Hilo si tatizo, mbona Temeke, Kijichi na kwingineko imewezekana.
Watu wanaendeleza ubaguzi sasa kwa visingizio.
Temeke, Mino, Magomeni mitaa kongwe
Ilijengwa kwa ramani, mitaa inaingia na inatoka
Ukisema upige Mbezi Beach yote lami hiyo haiwezekani hata mbweni yenyewe haiwezekani

Ova
 
Serikali iruhusu tu watu binafsi wajipigie lami makwao

Ova
 
Back
Top Bottom