Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Ukiacha mikocheni na masaki, sasa hivi Mbweni ndo kuna safe house nyingi za wale kaunda suti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbezi inayo zungumziwa hapa ni Mbezi Beach na sio Mbezi ya Kimara au Mbezi LouisNakumbuka miaka ya mwisho ya 90s na mwanzo wa 2000s kuna wakazi kadhaa wa maeneo ya Kimara nyumba zao zilipigwa X kupisha ujenzi wa barabara serikali ikawapimia viwanja Mbweni kama fidia.
Wakapaona maporini hawakwenda kuviendeleza na wengine wakavitelekeza. Wachache sana walienda kishingo upande. Hao wachache walichekwa saaana. Magu alivyoingia madarakani na kuwabomolea ili kutanua barabara wakaanza kumchukia. Sasa hivi Mbweni pamekua hot cake! Kupanga ni kuchagua.
Madam prezidaa ana mjengo mbweniNaomba uniambie ni nani anaishi huko
Ukizingatia na kambi yao ya mafunzo pia iko hukuUkiacha mikocheni na masaki, sasa hivi Mbweni ndo kuna safe house nyingi za wale kaunda suti
Soma vizuri bandiko langu.Temeke,kino,magomeni mitaa kongwe
Ilijengwa kwa ramani,mitaa inaingia na inatoka
Ukisema upige mbezi beach yote lami hiyo haiwezekan hata mbweni yenyewe haiwezekani
Ova
Mkuu mchezo ulianzia Masaki.Nchi hii kuna ujinga mwingi sana pale Tembon kuna lami ilijengwa ikaishia mlangoni kwa boss wa Tanroads
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Hukatazwi, unaomba unaruhusiwa.Serikali iruhusu tu watu binafsi wajipigie lami makwao
Ova
Lami yenyewe si imeanza 2000Mkuu mchezo ulianzia Masaki.
Huko viongozi wamejiwekea lami mitaa kama yote.
Nyumba walizouziana Masaki sasa wamezipangisha na kuhamia Mbweni, mchezo ule ule!
Kigogo tena!!Iko jirani na kigogo gani?
Sure ile road inahitaji matengenezoObay yenyewe bado kuna barabara ziko ovyo..mfano ile haile selasie Road nk
Ova
Njoo kigamboni boss ubadili kauli yakoHalafu cha ajabu Mimi
Cha ajabu Mimi nimetokea kupachukia sana mbweni. Yaani sipapendi hata kidogo. Hasa kipindi cha MVUA. japo hata majira ya kiangazi Mbweni hovyoo sana, sijui ni kwanini wakubwa na watu kwenye hela wanapapenda sana Mbweni.
Kwa Dar sehemu ninayoipenda ni GOBA tu hata kama maji ni changamoto
Sasa kama Mwenyewe umeshasema kuwa Mbweni kunajengwa sana kwakuwa wanaishi Wakubwa unacholalamika hapa ni nini?Majuzi nimepita Mbweni nikashangaa kabisa.
Barabara nyingi zilizokuwa hazipitiki sasa ni lami tupu.
Najua huu ni mkakati wa viongozi wengi kujipendelea maana wengi wamejenga huko.
Nimepata tetesi kuwa hata kwa Katibu Mkuu Kiongozi, watu wameamriwa barabara iendayo kwake iwekwe lami.
Tofauti na Mbweni, huku Mbezi Beach barabara za kwenda makazi ya watu hazijashughulikiwa kabisa.
Barabara za NSSF Flats
Barabara za Jogoo Cotex
Barabara za Mbezi Tangi Bovu
Barabara ya Mbezi 5 Star
Barabara ya Ndumbwi-Baraza la Mitihani
Barabara za chini Kwa Lukuvi
Ila barabara ya kwenda kwa Kikwete Kawe Beach ilijengwa chap chap!
Huu upundeleo dhahiri wa viongozi kujinufaisha Awamu hii!
1sq 120000 ,Unataka sq ngap mkuuHuku viwanja vinaenda bei gani?
Hata mimi nilishangaa yule jamaa kajenga barabaran kabisaNa katika kitu Halmashauri ya jiji upande wa mainjinia wa ujenzi wamelala ni kuisafisha mbezi beach na jiji kwa ujumla.
Kuna watu kwa makusudi kabisa wanajenga nje ya mipaka ya viwanja vyao wengine wanaziba njia lakini jiji halichukui hatua ya kuwabomolea. Kwa mfano kuna kigogo mmoja wa makaunda suti pale bahari beach njia panda ya kwenda tegeta nyuki anajenga nyumba za kupangisha appartment nje kabisa ya mawe ya kiwanja yaani kazidisha kiwanja mpaka road reserve kaimaliza wahusika wapo na wanafanyaga doria lakini naona wanamuogopa mmiliki.
Pale Jogoo kuna mwingine kuelekea kanisa la TAG besides Art Gallery huyu alishapigiwa X lakini habomoi na amaefinya mtaa mzima.
120,000 au 12,000 per SQM?1sq 120000 ,Unataka sq ngap mkuu
Kigamboni na Zanzibar sitaki. Nahofia ipo siku hivyo visiwa VITAZAMANjoo kigamboni boss ubadili kauli yako
Sqm1 ni 120,000? Huko ni kwa vigogo. 400sqm itakuwa 48,000,000...noma!!1sq 120000 ,Unataka sq ngap mkuu