Mbweni inapendelewa ujenzi wa barabara, Mbezi kwa miaka nenda rudi barabara hazijengwi

Mkuu
Mbezi inayo zungumziwa hapa ni Mbezi Beach na sio Mbezi ya Kimara au Mbezi Louis
 
Temeke,kino,magomeni mitaa kongwe
Ilijengwa kwa ramani,mitaa inaingia na inatoka
Ukisema upige mbezi beach yote lami hiyo haiwezekan hata mbweni yenyewe haiwezekani

Ova
Soma vizuri bandiko langu.
Mitaa mikuu nimeiainisha.
 
Nchi hii kuna ujinga mwingi sana pale Tembon kuna lami ilijengwa ikaishia mlangoni kwa boss wa Tanroads

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Mkuu mchezo ulianzia Masaki.
Huko viongozi wamejiwekea lami mitaa kama yote.
Nyumba walizouziana Masaki sasa wamezipangisha na kuhamia Mbweni, mchezo ule ule!
 
Mkuu mchezo ulianzia Masaki.
Huko viongozi wamejiwekea lami mitaa kama yote.
Nyumba walizouziana Masaki sasa wamezipangisha na kuhamia Mbweni, mchezo ule ule!
Lami yenyewe si imeanza 2000
Kuweka lami eneo lote si masihara
Kwanza kutokana na watu walivyojenga....
Lamizimepigwa barabara zinazotoka na kuingia tu naona

Lami huko labda wangeanza huko miaka ya 80 ndy wangewezapiga sehemu kubwa
Wakati huo barabara zote vumbi tu

Ova
 
Njoo kigamboni boss ubadili kauli yako
 
Sasa kama Mwenyewe umeshasema kuwa Mbweni kunajengwa sana kwakuwa wanaishi Wakubwa unacholalamika hapa ni nini?
 
Hata mimi nilishangaa yule jamaa kajenga barabaran kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…