Fohadi
JF-Expert Member
- Jul 24, 2020
- 772
- 2,421
HahahhahahhahahahahahahMbwiga bn..anakuambia Bora sasa hivi yupo Times FM maana kule alikokuwa eti alikuwa anafanya kazi usiku tu km mjenga madaraja ahahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahhahahhahahahahahahMbwiga bn..anakuambia Bora sasa hivi yupo Times FM maana kule alikokuwa eti alikuwa anafanya kazi usiku tu km mjenga madaraja ahahaha
Hii ni Kali!Mbwiga bn..anakuambia Bora sasa hivi yupo Times FM maana kule alikokuwa eti alikuwa anafanya kazi usiku tu km mjenga madaraja ahahaha
Sure.Kama atakuwa anawaponda na ndio waliomtoa matopeni atakuwa hana hekina,ni vyema angekaa kimiya
Kusaga walisoma wote basi bado anamuheshimu.Kabisa, japo alikuwa anamsifia Kusaga.
Akumbuke kuna leo na keshoMbwiga bn..anakuambia Bora sasa hivi yupo Times FM maana kule alikokuwa eti alikuwa anafanya kazi usiku tu km mjenga madaraja ahahaha
Inawezekana kweli mjinga kama unavyosema na haja soma kweli na anapiga makelele....hayo ni ya kwako. Mie ule udambwi udambwi wake ndio nilikua nautaka sana kuliko hao wachambuzi wenu wasio fanya homework ya nini wanaenda kuongea kabla ya kipindi.humility21: koma kabisa hakuna Tanzania mtangazaji anaitwa Mbwiga Wa Mbwiguke sema mpiga makelele wa Redio Clouds. Huyo mjinga hata kusoma tu hajui ndio unasema mtangazaji ebu jaribuni kuheshimu taaluma za watu.
Dhahiri shahiri hao watu unabifu nao,maswali yote waliouliza ni ya kimichezo ambayo mtangazaji yeyote ambaye ni professional angeyauliza.Inawezekana kweli mjinga kama unavyosema na haja soma kweli na anapiga makelele....hayo ni ya kwako. Mie ule udambwi udambwi wake ndio nilikua nautaka sana kuliko hao wachambuzi wenu wasio fanya homework ya nini wanaenda kuongea kabla ya kipindi.
Leo walikua wanamuhoji bondia atakae pigana na Mwakinyo this week, jamaa anamuumiza eti "do you think you will win??"...upumbavu gani huo, unategemea atajibu hapana?? Sasa amekuja bongo kufanya nini?? Alafu wanafurahia kuongea kingreza badala ya kufanya mahojiano ya msingi kuhusiana na pambano na boxing kwa ujumla.
Walau Prisca Kishamba anajitambua kuliko kenge zilizobakia.
[emoji23][emoji23][emoji23]Dhahiri shahiri hao watu unabifu nao,maswali yote waliouliza ni ya kimichezo ambayo mtangazaji yeyote ambaye ni professional angeyauliza.
Mbwiga sio mtangazaji. Makosa ya kiingereza yapo sana.Inawezekana kweli mjinga kama unavyosema na haja soma kweli na anapiga makelele....hayo ni ya kwako. Mie ule udambwi udambwi wake ndio nilikua nautaka sana kuliko hao wachambuzi wenu wasio fanya homework ya nini wanaenda kuongea kabla ya kipindi.
Leo walikua wanamuhoji bondia atakae pigana na Mwakinyo this week, jamaa anamuumiza eti "do you think you will win??"...upumbavu gani huo, unategemea atajibu hapana?? Sasa amekuja bongo kufanya nini?? Alafu wanafurahia kuongea kingreza badala ya kufanya mahojiano ya msingi kuhusiana na pambano na boxing kwa ujumla.
Walau Prisca Kishamba anajitambua kuliko kenge zilizobakia.
Nadhani umewahi sana kuni quote pasipo kunielewa...Joti hawezi kufanya anachokifanya mbwiga abadan wa asilani. Wala mbwiga hawez kufanya anachokifanya joti.
Sijawahi ona umuhimu wake ktk vipindi vya michezo.wadau naona mtangazaji maarufu wa vipindi vya michezo wa kituo cha Clouds FM, Mbwiga Wa Mbwiguke hivi sasa amejiunga na kituo kingine cha redio cha Times FM.
Je, pengo la Mbwiga kwenye vipindi vya michezo katika kituo cha Clouds FM litaonekana?
kwasababu Mbwiga amekuwa ni mchekesheji sana kupelekea kuleta mvuto wa vipindi kwa wasikilizaji.
Uamuzi ni wake,lakini hawezi kuiua clouds fmwadau naona mtangazaji maarufu wa vipindi vya michezo wa kituo cha Clouds FM, Mbwiga Wa Mbwiguke hivi sasa amejiunga na kituo kingine cha redio cha Times FM.
Je, pengo la Mbwiga kwenye vipindi vya michezo katika kituo cha Clouds FM litaonekana?
kwasababu Mbwiga amekuwa ni mchekesheji sana kupelekea kuleta mvuto wa vipindi kwa wasikilizaji.