Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Kuna watu hawana shukrani kabisa...😀Mbwiga bn..anakuambia Bora sasa hivi yupo Times FM maana kule alikokuwa eti alikuwa anafanya kazi usiku tu km mjenga madaraja ahahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu hawana shukrani kabisa...😀Mbwiga bn..anakuambia Bora sasa hivi yupo Times FM maana kule alikokuwa eti alikuwa anafanya kazi usiku tu km mjenga madaraja ahahaha
Bado wana wasikilizaji na watazamaji wengi tu. Mjini mjini clouds, efm ndo wanajulikana sana!Mkuu ni Kwa sisi tuliopo jijini tu, huko mikoani bado radio one na ITV vinatamba sana.
Brzaa unakosea Sana et mtangazaji maarufu kwa lipi haswa mtu mm nilikuwa nikisikiliza kipind lao ikifika muda was kuongeaa nafunga station manake cjaona anachojadili chenye tija Wala hanifuraishiWadau naona mtangazaji maarufu wa vipindi vya michezo wa kituo cha Clouds FM, Mbwiga Wa Mbwiguke hivi sasa amejiunga na kituo kingine cha redio cha Times FM.
Je, pengo la Mbwiga kwenye vipindi vya michezo katika kituo cha Clouds FM litaonekana?
Kwasababu Mbwiga amekuwa ni mchekesheji sana kupelekea kuleta mvuto wa vipindi kwa wasikilizaji.
Itakuwa Seba Maganga ubahili umezidiit seems clouds Fm HR yao ni tatizo
Watangazaji wa Clouds waondoke waende Media gani nyingine ambayo inafanya vizuri financially?..Uhuru FM au?Wachache wanabaki Clouds kwa sababu ya kukosa tu confidence na imani mfu kwamba Clouds ndio kila kitu mjini lakini kiuhalisia Clouds ndio Mtemba unazama.
Acha masihara..green pasture.
Mkuu kusonga mbele ni maslahi tu mkuu hakuna kingine hasa ukiwa umeshafanya kazi kwa miaka kadhaa kwenye tasnia husika,,Clouds ni kubwa kuliko Times,kwahiyo ni kama kurudi nyuma ila inategemea kama maslai ya Times iwapo ni makubwa kuliko aliyokuwa anapata akiwa Clouds
Mkuu kusonga mbele ni maslahi tu mkuu hakuna kingine hasa ukiwa umeshafanya kazi kwa miaka kadhaa kwenye tasnia husika,,
Unapopata maslahi mazuri ndo penyewe apo mkuu haijalishi ni kampuni kubwa Sana ya Kati au inaonekana kua ndogo kwenye macho ya watu.
Unaweza kuwa right or wrong sababu hata hapo Clouds Mishahara mbuzi tuuWatangazaji wa Clouds waondoke waende Media gani nyingine ambayo inafanya vizuri financially?..Uhuru FM au?
Na kuhama unadhani unajiamulia tu kuwa sasa niondoke niende kolombezwo fm bila ya wao kukuhitaji?
Duuh, kumbe?..Wameamua kuwapiga chini riff raff wote waliokuwa wakijaza payroll yao kwa kazi bure ya roles as sidekicks.
Kwanza afadhari kaondoka aisee Mana kila ilipokua inafika zamu yakwe kipindi cha michezo nilikua nazima kiredio changu Mana simuelewagi huyo mzeeeWadau naona mtangazaji maarufu wa vipindi vya michezo wa kituo cha Clouds FM, Mbwiga Wa Mbwiguke hivi sasa amejiunga na kituo kingine cha redio cha Times FM.
Je, pengo la Mbwiga kwenye vipindi vya michezo katika kituo cha Clouds FM litaonekana?
Kwasababu Mbwiga amekuwa ni mchekesheji sana kupelekea kuleta mvuto wa vipindi kwa wasikilizaji.
Mkuu ina maana Times maslai pia sio mazuri kwa watangazaji wake?Acha masihara..
Times Fm?
Hapo ni mkataba hamna mpya na kujiongeza mapema
Redio hata matangazo tu haina,hayo maslai yanatoka wapi..Times ya sasa ni kama redio zile za mikoani.Mkuu ina maana Times maslai pia sio mazuri kwa watangazaji wake?
kuwa meneja EQUITY BANK ni bora kulko kuwa bank teller crdb.Mkuu kusonga mbele ni maslahi tu mkuu hakuna kingine hasa ukiwa umeshafanya kazi kwa miaka kadhaa kwenye tasnia husika,,
Unapopata maslahi mazuri ndo penyewe apo mkuu haijalishi ni kampuni kubwa Sana ya Kati au inaonekana kua ndogo kwenye macho ya watu.
Well saidMbwiga sio mtangazaji by proffesional na hata pale Clouds kwenye kipindi cha Sports Extra siku zote alikua kama mualikwa kwa ajili ya kutoa visa vya vya wachezaji wa zamani ambavyo hakina aliviishi. anakumbukumbu navyo na anakipaji kikubwa sana cha kuviwasilisha katika lugha ya kuchekesha na kuburudisha
Tukumbuke kua jamaa huyu katuletea misamiati mingi kwenye soka. Kampa kampa tena, udambwi dambwi, figisufigisu, mbavu ya kulia na kushoto, kiungo muongo muongo, na mengine mengi ni maneno yanayotumika hadi sasa na kayaibua Mbwiga
Kipaji chake cha kuongea na urafiki wake na Jose ulimpa fursa(na sio ajira kamili) ya kujulikana katika ulimwengu wa soka hapa nchini huku akipata posho kwa kuonyesha kipaji chake na hata kusafiri sana ndani na nje ya nchi bila kujali anakiwango gani cha elimu
Nadhani ni vema marafiki zake wanaomtakia mema wamshauri huko alipoenda kwamba ajikite kwenye majukumu yake aliyopewa hapo na aachane kabisa na kuponda kule alipotoka bila kujali sababu yoyote ile iwayo iliyomfanya atoke Clouds hata kama anahisi alionewa, maana kuna leo na kesho