Mbwiga Wa Mbwiguke wa Clouds FM amehamia Times FM

Mbwiga Wa Mbwiguke wa Clouds FM amehamia Times FM

Clouds ni kama sinking ship..
Clouds ( au tuseme media nyingi ) watangazaji wake hawana mikataba.

Mara nyingi ni aidha utafute namna ya kujilipa mwenyewe kwa kufanya mishe za pembeni ( ambazo hasa kwa Clouds ) walikuwa wanatoa platform ya wewe kuitangaza bure au walikuwa wanaishi kwa posho posho za kupewa mezani ( hizi posho za mezani nimewahi kumsikia Jembenijembe akisema wakati anaanzisha Njiapanda alikuwa anapewa kabla ya kumilikisha hicho kipindi mwenyewe )

Sasa inavyoonekana hapo Clouds hizi posho siku hizi hazitoki.

So, Mtu hawezi kufanya kazi bure wakati ana majukumu.
 
Afadhali hata alivyoondoka maana wenzie sikua naona umuhimu wake zaidi ya mikelele, uzaramo wake uchwara .
Kuanzia dk tano za mwisho za power breakfast anazopewaga mpk dk anazotumia kwenye michezo
Kwenye utangazaji mbwiga hana lolote ,umuhimu upo kwenye amsha amsha za ndondo basi
 
Mbwiga sio mtangazaji by proffesional na hata pale Clouds kwenye kipindi cha Sports Extra siku zote alikua kama mualikwa kwa ajili ya kutoa visa vya vya wachezaji wa zamani ambavyo hakina aliviishi. anakumbukumbu navyo na anakipaji kikubwa sana cha kuviwasilisha katika lugha ya kuchekesha na kuburudisha

Tukumbuke kua jamaa huyu katuletea misamiati mingi kwenye soka. Kampa kampa tena, udambwi dambwi, figisufigisu, mbavu ya kulia na kushoto, kiungo muongo muongo, na mengine mengi ni maneno yanayotumika hadi sasa na kayaibua Mbwiga

Kipaji chake cha kuongea na urafiki wake na Jose ulimpa fursa(na sio ajira kamili) ya kujulikana katika ulimwengu wa soka hapa nchini huku akipata posho kwa kuonyesha kipaji chake na hata kusafiri sana ndani na nje ya nchi bila kujali anakiwango gani cha elimu

Nadhani ni vema marafiki zake wanaomtakia mema wamshauri huko alipoenda kwamba ajikite kwenye majukumu yake aliyopewa hapo na aachane kabisa na kuponda kule alipotoka bila kujali sababu yoyote ile iwayo iliyomfanya atoke Clouds hata kama anahisi alionewa, maana kuna leo na kesho
 
Tuwe serious. Hivi Mbwiga au Diva ni watangazaji?
Hii fani imevamiwa na wahuni wa kila aina hadi Mwijaku na Babalevo nao watangazji.
Kikubwa watoto wao waende chooni mkuu hata ww unaweza kua sasa hivi unafanya kaz ambayo hukuisomea sasa inapopatikana frusa lazma uitumie Mwinjaku na fundi majumba Baba levo wametumia frusa
 
Kwanza amesomea journalism/mass communication ?

Ashukuru kwa nafasi aliyo ipata huko clouds fm
 
Mbwiga sio mtangazaji by proffesional na hata pale Clouds kwenye kipindi cha Sports Extra siku zote alikua kama mualikwa kwa ajili ya kutoa visa vya vya wachezaji wa zamani ambavyo hakina aliviishi. anakumbukumbu navyo na anakipaji kikubwa sana cha kuviwasilisha katika lugha ya kuchekesha na kuburudisha

Tukumbuke kua jamaa huyu katuletea misamiati mingi kwenye soka. Kampa kampa tena, udambwi dambwi, figisufigisu, mbavu ya kulia na kushoto, kiungo muongo muongo, na mengine mengi ni maneno yanayotumika hadi sasa na kayaibua Mbwiga

Kipaji chake cha kuongea na urafiki wake na Jose ulimpa fursa(na sio ajira kamili) ya kujulikana katika ulimwengu wa soka hapa nchini huku akipata posho kwa kuonyesha kipaji chake na hata kusafiri sana ndani na nje ya nchi bila kujali anakiwango gani cha elimu

Nadhani ni vema marafiki zake wanaomtakia mema wamshauri huko alipoenda kwamba ajikite kwenye majukumu yake aliyopewa hapo na aachane kabisa na kuponda kule alipotoka bila kujali sababu yoyote ile iwayo iliyomfanya atoke Clouds hata kama anahisi alionewa, maana kuna leo na kesho
Ushauri mzuri sana huu!
 
Huu ujinga sababu umepata sehemu mpya pa-zamani unapaponda,ila si shangai jamaa ana uswahili plus uzaramu so hawezi pungukiwa maneno.

Pamoja ndio CMG alikuwa anapewa posho hiyo haiondoi yeye kakuzwa na kufundishwa mambo mengi na Clouds, hata brand aliyokuwa nayo imejengwa na Clouds cha msingi basi awe na heshima.
 
Kwanza amesomea journalism/mass communication ?

Ashukuru kwa nafasi aliyo ipata huko clouds fm
Hata shafii dauda hajasomea,wale ni wachambuzi,washereheshaji.anchor ndio anatakiwa kusomea
 
Mbwiga bn..anakuambia Bora sasa hivi yupo Times FM maana kule alikokuwa eti alikuwa anafanya kazi usiku tu km mjenga madaraja ahahaha
Jamaa ananyea kambi 😀😀😀 binafsi sijawahi ona umhimu wa mbwiga wa mbwiguke pale clouds zaidi ya makelele Tu ya kizaramo
 
Wadau naona mtangazaji maarufu wa vipindi vya michezo wa kituo cha Clouds FM, Mbwiga Wa Mbwiguke hivi sasa amejiunga na kituo kingine cha redio cha Times FM.

Je, pengo la Mbwiga kwenye vipindi vya michezo katika kituo cha Clouds FM litaonekana?

Kwasababu Mbwiga amekuwa ni mchekesheji sana kupelekea kuleta mvuto wa vipindi kwa wasikilizaji.
Ivi kutoka clouds FM kwenda Times FM hayo Ni maendeleo Kama kusogea step kadhaa mbele au nikurudi nyumaa hatua kadhaa Kama Mwandishi wa habari?
 
Ivi kutoka clouds FM kwenda Times FM hayo Ni maendeleo Kama kusogea step kadhaa mbele au nikurudi nyumaa hatua kadhaa Kama Mwandishi wa habari?
Clouds ni kubwa kuliko Times,kwahiyo ni kama kurudi nyuma ila inategemea kama maslai ya Times iwapo ni makubwa kuliko aliyokuwa anapata akiwa Clouds
 
Jamaa ananyea kambi 😀😀😀 binafsi sijawahi ona umhimu wa mbwiga wa mbwiguke pale clouds zaidi ya makelele Tu ya kizaramo
Kuna siku nilikutana nae kwenye daladala ya kawe kapanda na mshikaji wake,anaongea kishenzi

Siku moja alikuwa anamshauri shetta abadili jina,anakuambia kwetu kisiju shetta maanake ni Ile nazi inayoanguka yenyewe bila kuangushwa na mkwezi,ukiivunja na kuitafuna inakuwa imeepooza kishenzi🤣🤣..sasa bwana shetta hili jina Kwa kweli me nakushauri badilisha..mbwiga anaongea sn!
 
Wadau naona mtangazaji maarufu wa vipindi vya michezo wa kituo cha Clouds FM, Mbwiga Wa Mbwiguke hivi sasa amejiunga na kituo kingine cha redio cha Times FM.

Je, pengo la Mbwiga kwenye vipindi vya michezo katika kituo cha Clouds FM litaonekana?

Kwasababu Mbwiga amekuwa ni mchekesheji sana kupelekea kuleta mvuto wa vipindi kwa wasikilizaji.
green pasture.
 
Back
Top Bottom