Mbwiga Wa Mbwiguke wa Clouds FM amehamia Times FM

Brzaa unakosea Sana et mtangazaji maarufu kwa lipi haswa mtu mm nilikuwa nikisikiliza kipind lao ikifika muda was kuongeaa nafunga station manake cjaona anachojadili chenye tija Wala hanifuraishi
 
Wachache wanabaki Clouds kwa sababu ya kukosa tu confidence na imani mfu kwamba Clouds ndio kila kitu mjini lakini kiuhalisia Clouds ndio Mtemba unazama.
Watangazaji wa Clouds waondoke waende Media gani nyingine ambayo inafanya vizuri financially?..Uhuru FM au?

Na kuhama unadhani unajiamulia tu kuwa sasa niondoke niende kolombezwo fm bila ya wao kukuhitaji?
 
Clouds ni kubwa kuliko Times,kwahiyo ni kama kurudi nyuma ila inategemea kama maslai ya Times iwapo ni makubwa kuliko aliyokuwa anapata akiwa Clouds
Mkuu kusonga mbele ni maslahi tu mkuu hakuna kingine hasa ukiwa umeshafanya kazi kwa miaka kadhaa kwenye tasnia husika,,
Unapopata maslahi mazuri ndo penyewe apo mkuu haijalishi ni kampuni kubwa Sana ya Kati au inaonekana kua ndogo kwenye macho ya watu.
 

Toka corona ianze Clouds nao wamekuwa na liquidity issues ambayo imelazimu kupunguza baadhi ya wafanyakazi, so unaweza kuta hilo ndilo lililomtoa jamaa.
 
Watangazaji wa Clouds waondoke waende Media gani nyingine ambayo inafanya vizuri financially?..Uhuru FM au?

Na kuhama unadhani unajiamulia tu kuwa sasa niondoke niende kolombezwo fm bila ya wao kukuhitaji?
Unaweza kuwa right or wrong sababu hata hapo Clouds Mishahara mbuzi tuu
 
Wameamua kuwapiga chini riff raff wote waliokuwa wakijaza payroll yao kwa kazi bure ya roles as sidekicks.
Duuh, kumbe?..

Wengine wanajifanya wameacha kazi wenyewe kumbe wamepunguzwa
 
Kwanza afadhari kaondoka aisee Mana kila ilipokua inafika zamu yakwe kipindi cha michezo nilikua nazima kiredio changu Mana simuelewagi huyo mzeee
 
Aah mwanangu mwenyewee mbwiga wa mbigukwe toto la kizaramoo
 
Hamna haman ndipo paliwapwo,mkora wa nyani kibwaya mkia , labda kafata umate umate mix marosoro na masotojo.
 
kuwa meneja EQUITY BANK ni bora kulko kuwa bank teller crdb.
 
Well said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…