Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pilato,Azidi kuomba kwa imani yake
Hahahahahahaa Kala BAN saaafi Sana sanaHaiwezekani Yanga leo isishinde. Haiwezekani. Yanga leo inashinda si chini ya bao 2. Yaani ushindi upo na ni lazima. Yanga imejipanga kwa hali na mali na kwa kila kitu.
Leo tunashinda. Ubao umetusoma vizuri na wazee wamebariki. Hatoki mtu hapa kwa Mkapa. Nipigwe ban na viboko 14 hadharani nikiwa na mjegeko upo nje wazi wazi kabisa. Na video ichukuliwe.
Isiposhinda Yanga nipewe adhabu hiyo.
YANGA BINGWA.
Moderator huyu Chizi maaria hana sababu ya kupewe ban. Tayar ni chizi. Muacheni tu auone uchizi wake.Haiwezekani Yanga leo isishinde. Haiwezekani. Yanga leo inashinda si chini ya bao 2. Yaani ushindi upo na ni lazima. Yanga imejipanga kwa hali na mali na kwa kila kitu.
Leo tunashinda. Ubao umetusoma vizuri na wazee wamebariki. Hatoki mtu hapa kwa Mkapa. Nipigwe ban na viboko 14 hadharani nikiwa na mjegeko upo nje wazi wazi kabisa. Na video ichukuliwe.
Isiposhinda Yanga nipewe adhabu hiyo.
YANGA BINGWA.
Hii ban ya mda gani mbona hajaandika mda au ya mileleAzidi kuomba kwa imani yake
Mwana kulitaka mwana kulipata🤣🤣
Kweli wewe ni chizi, ila badili uwe chizi utopolo.Haiwezekani Yanga leo isishinde. Haiwezekani. Yanga leo inashinda si chini ya bao 2. Yaani ushindi upo na ni lazima. Yanga imejipanga kwa hali na mali na kwa kila kitu.
Leo tunashinda. Ubao umetusoma vizuri na wazee wamebariki. Hatoki mtu hapa kwa Mkapa. Nipigwe ban na viboko 14 hadharani nikiwa na mjegeko upo nje wazi wazi kabisa. Na video ichukuliwe.
Isiposhinda Yanga nipewe adhabu hiyo.
YANGA BINGWA.
Watu mnaroho mbaya aisee🙄
Wakibaki nje itahatatarisha usalama wao, acha tuwakumbushe tu mods wawahifadhi nyuma ya nondo kwa mudaWatu mnaroho mbaya aisee🙄
Huyu mod atakuwa mwakarobo maana ni mkuda sanaWakibaki nje itahatatarisha usalama wao, acha tuwakumbushe tu mods wawahifadhi nyuma ya nondo kwa muda
Mwanakikundi kapata alichoomba!Asante studio😂