MC Pilipili afungua Kanisa

Uko sahihi. Lakini yeye kaleta maandiko gani zaidi ya anavyowaza au kuona (hisia zake).
Akili za binadamu ni ndogo mno kujaribu hata kuelewa Mungu alivyo. Ndio maana tunahitaji Mungu mwenyewe atuambie alivyo. Changamoto iliyopo ni kwa mtu kujua Mungu kasema kupitia maandiko gani, maana yapo maandiko mengi na yanapingana. Hili ni swali muhimu sana na lenye akili. Na linapendeza kulijadili kwa wale wanaopenda kujua Mungu amejifunua kwenye kitabu gani (hata kama sio cha imani yake). Ila ni swali lisilo na maana kwa wale wenye lengo la kubishana juu ya kila mmoja anachoamini.

Summary: Uko sahihi...!
 
Maandiko uliyokuwa unayatumia yalikuwa yanatoka kwenye biblia na mimi nakusudia biblia hiyohiyo.
 
Ok
 
Nilishangaa sana
Nikahitimisha pengine ndio sababu

Hivi kweli yule MC maarufu na yeye ana miliki kondoo sasa hivi?

Na yeye anaombea watu??

Ndio maana watu wana badili gia angani

🤔😷🙅🏽🙅🏽
Lakini hushangai SAULI muuaji kuwa muhubiri mashuhuri na baba wa kwanza wa Kanisa
 
Mnakaririshwa asee mnatamka maneno ya kiarabu na hata hamjui maana yake
Mkuu kiarabu ni lugha kama lugha zengine ndio maana kuna hadi wazungu wapo waliyojifunza kiarabu, sasa ukisema wanakaririshwa wasichojua unakuwa na maana gani? Pengine wewe unaona ni lugha ya ajabu ajabu ila ndio kama nilivyokwambia kuwa kiarabu ni lugha tu kama zengine na inafundishika tu na kueleweka.
 
Mungu hawezi kutumia Tapeli kama huyu
 
Una miaka mingap Kwan mn unaongea kitoto Sana ,,wamechalengiwa na nan wakachinja watu ,hebu weka huo ushaid ,na nan sasa awachalenj Kama wakristo wenyew kitabu Chao hawawez kukichalenj na kumejaa madudu wataweza Qur'an ?
Wanachalenjiwa na hao wanaotoka kwenye hiyo dini, na wala sio hao wakristo unaosema. Consequences zake wanaishia kukimbia nchi na kwenda magharibi kutafuta hifadhi.

Ukiwekewa ushahidi utaukubali hapa wakati utaishia kusema ni propaganda kama kawaida yenu.

 
Mimi nilikuwa muislam, lakini sasa hivi ni atheist... na sina haja ya kuweka bandiko.
 
ukimaanisha Waislam ndio maana atheist waliokuwa Waislam hwaonekani?
Wote wote, kuna watu wanahofia siku wakijitambulisha ni atheist watatengwa na jamii zao... wanahofu hawatazikwa au kupewa msaada wowote wa kijamii na jamaa zao.

Lakini matendo ya watu tu, yanakwambia hawaamini wanayosema. Kuna watu humu utawaona wanakosoa sana watu waliokacha dini zao, na kujfanya wema sana, lakini behind the scene ndio wanaodanga, ndio wanaofanya mambo ya kishenzi kabisa.
 
Watu hawapaswi wasome, kwasababu ingekuwa ni lazima ingekuja in built .... vitu vya lazima vyote ni in built na vya hiari ni hiari....

Kuna watu tangu kuzaliwa kwao mpaka kufa kwao hawajawahi kujua kusoma au kuandika kutokana generation walizoishi, hii kwangu mimi inaniambia kusoma sio jambo la lazima.

Naomba nijihami, sorry kama nimekukera na maoni yangu.
 
Kufungua kanisa sio dhambi, sasa mnataka afungue nani jamani? Mungu akitaka mtu anachagua yeye anayeona anafaa sio binadamu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kebby ni ukumbi, Tena hapo kebby marehemu Mchungaji Mitimingi alikuwa hapo kabla hajahamia kule mbezi beach barabara ya tegeta, sasa nashangaa shida ni nini kama mtu na MUNGU wake wameongea mtu mwingine huwezi jua ni yakwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…