Hapa huwezi pata like, watu wanakalili wito, mpaka usome uje kuwa Padre!Watu wamejawa povu sana..sijui ni wivu au ni upumbafu umewajaa..ila kwa namna gani cha msingi injili acheni ihubiriwe.
Shida mmejawa akili za kimasikini tu.
Watu wanatoa sadaka na wanaishi vzr tu.
Fanyeni kazi..kama vipi nanyi fungueni malanisa na misikiti yenu kuna aliyewakataza.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sioni ajabu kuzindulia hapo mbona wachungaji wengi wameanzia kwenye kumbi, wamuache amtumikie MUNGU wakelabda wataanza kuabudia hapo kabla hawajapata (hawajanunua) eneo lao rasmi......
nakumbuka hata mitimingi alianzia hapo hapo Keby's
Wale wahamiaji wanaokimbia makwao ndiyo wanao ongeza idadi kubwa huko.Wengi wao wakisoma bible na misingi ya Ukristo na mienendo ya makanisa duniani kwa umakini wanakataa dini yao na kuangukia uislamu au upagani
Mfano mzuri Malcom X alikuta kanisa halikemie maovu na ubaguzi wa rangi ambazo zilikuwa kero kubwa kwa marekani
Hata kitakwimu nilisoma makala kwenye jarida la Times la Marekani inaonesha uislamu unashamiri sana ulaya makundi kwa makundi yanasilimu mpk na wao viongozi wa makanisa wakaamua kuanzisha kampeni na kuwapa mafunzo watu kwenda nchi ambazo zinawaislamu wengi wakaeneze dini.
Codes imenitesa Sana nashukuru nimeinyaka.... Aiseee vijana kufika 2050 sijui itakuwajeAtazuga kulima mchele kwanza
NGada inalipa..
Tena jembe Lao lipo ardhi
Yaani bila shaka wameunganisha, nimeshangaa nilipo comment ilikuwa comment ya 3 sasa nimejikuta nipo mia na kazi kweli kweliHuyo MC maarufu mchungaji ni nani? Au MC Pilipili? Naona mjadala umekuwa tofauti na mada husika.
Huu ujinga serikali isipoukataza huko mbeleni tutakuja kua na janga la makanisa ya hovyo na watashindwa kudhibiti, sikuhizi ukijua kuongea tu badi unafungua kanisaMshereheshaji wa Harusi na mtia nia ya ubunge kwenye uchaguzi wa 2020 kupitia CCM, MC Pilipili amezindua kanisa linaloitwa LOVE CHURCH.
Uzinduzi huo Kabambe umefanyika kwenye hotel ya Kebby's Iliyoko Sinza, DSM, na kuhudhuriwa na waimbaji kadhaa wa nyimbo za injili, huku watu wakiombewa na kufunguliwa.
Chanzo: Global Publishers
Asante sana mzee baba
Ila ile ilikuwa kali mzee ulikuwa maji nn ππAsante sana mzee baba
Mood tu mzee babaπIla ile ilikuwa kali mzee ulikuwa maji nn ππ
Ova
Mungu hawezi kutumia Tapeli kama huyu
Tambua kuna makanisa mengi tu hayahusiani na urumi huo, lutheran, angrikan, sabato nkKile ni kimondo kilichokua kimedondika Toka angani .
Wapagani wakawa wanakiabudu wakijua ni kimbe kilichotoka mbinguni.
Dini kwenye vitabu ziko sahihi ila zimeathiriwa na Mila na tamaduni za watu wa kale ,yaani wahenga wa zilipoasisiswa.
Ukristo umeathiriwa na upagani wa Kirumi.
Uislamu umeathiriwa na upagani wa Babeli pamoja na uchawi wa zama za Babiloni.
Watu wanapaswa wasome vitabu vyote vya dini ili watumie akili kupambanua mema na mabaya na kujua kuwa Mungu yupo mahali pote na hafungamani na Tamaduni za watu ila anahitaji watu wawe watakatifu ili wauone ufalme wake na waishi kwenye ufalme huo milele kuanzia hapa Duniani mpaka we atakapokufa na kufufuka Tena au kuwa na miili ya kiriho isiyokufa Tena.
Mungu ni Roho nao wamwabudio imewapasa kumwabudu katika Roho na kweli.
Hao uliowataja wapo vizuri sana kuliko hata huo uislam wako tatizo unakremisha tuuπππUnakusudia hawa waumini wa Gwajima na Mwamposa kwamba ndio wana uhuru wa kufikiri?