MC Pilipili afungua Kanisa

MC Pilipili afungua Kanisa

Watu wamejawa povu sana..sijui ni wivu au ni upumbafu umewajaa..ila kwa namna gani cha msingi injili acheni ihubiriwe.

Shida mmejawa akili za kimasikini tu.
Watu wanatoa sadaka na wanaishi vzr tu.

Fanyeni kazi..kama vipi nanyi fungueni malanisa na misikiti yenu kuna aliyewakataza.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kagame naanza kuuona usahihi wake katika hili,maana hii ni hatari,fursa ipo ccm au kanisani!katika vitu ambavyo shetani anafurahia ni huu udhalilishaji wa kiimani.
 
Hivi Hawa wafuasi wa watu Kama hawa huwa Wana akili kweli?!!! Bado kizazi cha kipumbavu kipo sana kwenye jamii zetu.

Vilevile naona kuna haja ya utaratibu wa kuanzishwa makanisa kuwekwa vizuri sio Kama ulivyosasa, yaani ovyoovyo tu.
Mkuu yameandikwa, acha yatimie
 
Sisi wote tulipewa kibali cha kuzaliwa duniani tumetumwa kufanya kazi kwa sifa na utukufu wa Mungu; yaani sisi sote ni mitume wa Mungu.

Mungu huwa anachagua mtu
"kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu; kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe; hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo" - Waefeso 4:11-13

Na utaratibu wake wa Mungu katika kuwachagua watu hauratibiwi na mtu ndio maana Musa aliitwa na Mungu mwenyewe na kupewa jukumu lakini Daudi alipakwa mafuta/ailtawadhwa na Samueli baada ya Samuel kupokea maagizo toka kwa Mungu.

Hii ya Pilipili kufungua kanisa ili uweze kumtumikia Mungu anajua yeye na Mungu wake na tumwache. Hii ya kufanya uzinduzi Kebbys nayo tumwachie yeye na Mungu wake
Bila shaka nao hutumia mistari hiyo hiyo kuwahadaa na kupiga pesa
 
Kwakuwa tunajua Mungu hadhihakiwi tusiwe watoa hukumu. Tumwache yeye wanayemhubiri adhihirishe kwamba ni wakweli au waongo.
Sisi tumwombe Mungu atupe hekima ya kuzipima kwa Imani na maombi
Kuna siku ukiwa na upako unakuwa mahiri sana wa kutuponya.Ameen!
 
Mshereheshaji wa Harusi na mtia nia ya ubunge kwenye uchaguzi wa 2020 kupitia CCM, MC Pilipili amezindua kanisa linaloitwa LOVE CHURCH.

Uzinduzi huo Kabambe umefanyika kwenye hotel ya Kebby's Iliyoko Sinza, DSM, na kuhudhuriwa na waimbaji kadhaa wa nyimbo za injili, huku watu wakiombewa na kufunguliwa.

Chanzo: Global Publishers

Eeeeh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pep tumebaki wenyewe sasa kufungua.
 
  • Kicheko
Reactions: Pep
Back
Top Bottom