MC Pilipili afungua Kanisa

MC Pilipili afungua Kanisa

Na kule maka mnakoenda kubusu jiwe na kulizungukašŸ¤£šŸ¤£šŸ˜‚šŸ˜‚ mnawapelekea waarabu pesa za utalii nyie ndio vilaza kabisaa
Ila suala la kwenda kuhiji halijaanza leo wala jana toka enzi hizo, sasa kipindi hicho walikuwa wanafaidika vp? Na hayo mapato wanagawana waarabu wote au Saudia tu?
 
Dini ya kikristu huwa inampa mtu uhuru wa kufikiro na kufanya maamuzi. Siku upande wa pili wakipata uhuru wa kufikiri afu wajiulize, aliyesema kapewa Quran hakuwa anajua kusoma wala kuondika, alikuwa anakilala kitoto kidogo na baadhi ya maswahaba walikufa kwa ulevi, nyumba za ibada wangefugia mdudu.
Unakusudia hawa waumini wa Gwajima na Mwamposa kwamba ndio wana uhuru wa kufikiri?
 
Kusudio la kufanya hivyo ilikuwa ni nini na wamefanikiwa kiasi gani katika hilo kusudio lao?
kusudio kubwa Ilikua ni kumtengeneza Mohammed Abdulla aanzishe Dini pinzani itakaojinadi kuipinga Roman Catholic na ukristo Ili kizima tetesi za wakristo wa mwanzo kuwaita Vatican ni chukizo kuu na ni wapinga kristo halisi,.Ili kuwazuga wale wanaoamini Catholic ni wapinga kristo wakamtengenezea Muddy Dini fake ajifanye anaieneza ili wao wawatangangazie wanaowapinga ya kwamba waungane Ili kumpinga mpinga kristo ambaye ni Mohammed Abdulla na Dini yake MPYA( Islamic)

Baadae picha likaja kuungua hiyo ni baada ya Mohammed kupata muitikio na wafuasi wengi mno na kuwa fame na akawa na jeshi kubwa mno na uungwaji mkono na jamii ya waquraish kilichofuata akajiona master of game badala afuate maagizo ya Vatican akajikuta amevunja makubaliano Dili likawa dirisha ule mpango wa Siri ukageuka kiutani kweli jamaa akakomaa Hivyo Hivyo mwisho wakageukana
Vatican kinyago alichochonga kikamgeuka na kuanza kumtisha mwenyewe mwishowe ikawa uhasama na kumzima hawawezi ikazuka crusade Kwa wavatican kule ikaitwa Kaffir war kuwaambia watu lile lilikua deal hawatakuelewa wavaa kobazi wa Mecca wameungana na Medina na miji yote Arabuni huwaambii kitu kuhusu Dini ya Allah na mtume wao

Vita ikapiganwa Miaka 300 haiishi!

Lengo linatimia la game!
Dunia wanja wa fujo!
 
unajua ukristo hamuandai mtoto kuabudu dini na mafundisho ya ukristo ni mara 2 kwa juma hiyo ni kwa watoto mpaka kukua mtoto anakua kaielewa elimu ya kidunia kuliko ya kidini so inakua ni rahisi kuichmbua dini tofauti na uislamu mtoto anakaririshwa dini na kuiabudu sana kuliko elimu ya duniani so inakua ngumu kujaji kitu ulichokaririshwa kukithamini
Wanakaririshwa au wanaisoma dini? Maana kwenye uislamu unaweza ukasoma kuanzia utoto hadi uzee sasa hapo bado utasema mtu anakaririshwa?
 
kusudio kubwa Ilikua ni kumtengeneza Mohammed Abdulla aanzishe Dini pinzani itakaojinadi kuipinga Roman Catholic na ukristo Ili kizima tetesi za wakristo wa mwanzo kuwaita Vatican ni chukizo kuu na ni wapinga kristo halisi,.Ili kuwazuga wale wanaoamini Catholic ni wapinga kristo wakamtengenezea Muddy Dini fake ajifanye anaieneza ili wao wawatangangazie wanaowapinga ya kwamba waungane Ili kumpinga mpinga kristo ambaye ni Mohammed Abdulla na Dini yake MPYA( Islamic)

Baadae picha likaja kuungua hiyo ni baada ya Mohammed kupata muitikio na wafuasi wengi mno na kuwa fame na akawa na jeshi kubwa mno na uungwaji mkono na jamii ya waquraish kilichofuata akajiona master of game badala afuate maagizo ya Vatican akajikuta amevunja makubaliano Dili likawa dirisha ule mpango wa Siri ukageuka kiutani kweli jamaa akakomaa Hivyo Hivyo mwisho wakageukana
Vatican kinyago alichochonga kikamgeuka na kuanza kumtisha mwenyewe mwishowe ikawa uhasama na kumzima hawawezi ikazuka crusade Kwa wavatican kule ikaitwa Kaffir war kuwaambia watu lile lilikua deal hawatakuelewa wavaa kobazi wa Mecca wameungana na Medina na miji yote Arabuni huwaambii kitu kuhusu Dini ya Allah na mtume wao

Vita ikapiganwa Miaka 300 haiishi!

Lengo linatimia la game!
Dunia wanja wa fujo!
Katika hilo dili ilikuwa Muhammad anafaidikaje kwa kutumika kwenye huo mpango? Na alipokuja kuwageuka alikuwa anafidika na nini kwa kuwa na waumini hao wengi? Na ilichukua muda toka Muhammad aanzishe dini huko kwa waarabu hadi kuja kufikia malengo yaliyokusudiwa?
 
Katika hilo dili ilikuwa Muhammad anafaidikaje kwa kutumika kwenye huo mpango? Na alipokuja kuwageuka alikuwa anafidika na nini kwa kuwa na waumini hao wengi? Na ilichukua muda toka Muhammad aanzishe dini huko kwa waarabu hadi kuja kufikia malengo yaliyokusudiwa?
Manufaa ya kwanza Kwa Mohammed Abdulla ni kuhodhi uongozi wa kabila lake na jamii yake kiujumla,pili kukontrol biashara na kuunda Dola imara Ili waweze kujisimamia Kwa sheria na taratibu kumbuka kabla hajawa mtume kabila lake lilikua weak Sana na watu wa jamii yake wengi walikua uncivilized na sio wamoja,lengo lake awaunganishe na kitu kimoja Ili wawe na mtazamo Sawa,kusiwe na jamii yenye matabaka,
Kuhusu yeye kunufaika inaeleweka baada ya kuhodhi biashara za caravan kwa kua na team kubwa watakao fuata falsafa zake,
Pia kuhusu muda japo yeye hakuishi Miaka mingi Sana ila Ile spirit alioipandikiza Kwa jamii yake iliendelea kuishi daima na ikatumika kama Ndio njia sahihi ya maisha ya kisasa Kwa jamii yake aliyoistaarabisha!
 
Na kule maka mnakoenda kubusu jiwe na kulizunguka[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] mnawapelekea waarabu pesa za utalii nyie ndio vilaza kabisaa
Kile ni kimondo kilichokua kimedondika Toka angani .
Wapagani wakawa wanakiabudu wakijua ni kimbe kilichotoka mbinguni.
Dini kwenye vitabu ziko sahihi ila zimeathiriwa na Mila na tamaduni za watu wa kale ,yaani wahenga wa zilipoasisiswa.
Ukristo umeathiriwa na upagani wa Kirumi.
Uislamu umeathiriwa na upagani wa Babeli pamoja na uchawi wa zama za Babiloni.
Watu wanapaswa wasome vitabu vyote vya dini ili watumie akili kupambanua mema na mabaya na kujua kuwa Mungu yupo mahali pote na hafungamani na Tamaduni za watu ila anahitaji watu wawe watakatifu ili wauone ufalme wake na waishi kwenye ufalme huo milele kuanzia hapa Duniani mpaka we atakapokufa na kufufuka Tena au kuwa na miili ya kiriho isiyokufa Tena.

Mungu ni Roho nao wamwabudio imewapasa kumwabudu katika Roho na kweli.
 
Huyo MC maarufu mchungaji ni nani? Au MC Pilipili? Naona mjadala umekuwa tofauti na mada husika.
 
Nilijikuta nikiwa Atheist nikiwa kidato Cha pili tu,hiyo ni baada ya kua deep Sana Kwenye kusoma Bible,
Still bible ni kitabu nachokipenda kina rejea nyingi za kihistoria,
morals and dogma na hua napenda kukisoma tu hasa agano la kale ila tangu nianze kusoma sijaona Muunganiko na huyo Mungu mule zaidi tu ya contradiction, sometimes hekaya ya kufurahisha genge
Za Waisrael,
Nje ya hapo nisiwe mwongo Mimi ni pure Atheist na hakuna mfia Dini atanibadilisha Wala kuniaminisha kitu nikamwelewa Labda huyo Mungu mnaedai yupo aje mwenyewe au atume mjumbe wa maana Sana Ndio nitamuelewa bila Hivyo atakua ni hekaya kama kama hekaya nyingine na hajawahi exist popote!
Dunia ina watu bil 7, na toka binadamu wa kwanza wamekufa mabilion ya watu, kwahiyo Mungu hawezi kuhangaika na wewe ambaye huna umaarufu Wala madhara yoyote kwenye huu ulimwemgu eti aje yeye mwenyewe kukwambia kuwa yupo ndo utaamini. Hata Hitler pamoja na kutikisa dunia hii Mungu hakuja kumwambia acha kwa sababu Mungu ameshaweka limit hakuna wa kumshinda utaishia kuoza tuu.
 
Kwasababu ya imani ya kikristo kuwaaminisha yesu ni mungu wakikaa vizuri akili ikitulia wakijiuliza je kabla ya kuzaliwa yesu dunia haikua na Mungu? Ndo hapo hapo wanaanza kuona wanatapeliwa wanasema Mungu hayupo
Hahahaaa! Na wewe umeona umeandika bonge la argument? Okay nita assume hujawahi kujua ambacho Wakristo wanaamini. Kama ndivyo acha nikusaidie.

Wakristo hawaamini ulichokiandika. Ngoja nikuletee mstari mmojawapo unaoelezea hiki kitu.
Isaya 9:6
"Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani"

Huu unabii juu ya Yesu (Mtoto aliyezaliwa)
Mtoto amezaliwa lakini mtoto tumepewa. Unapewa kitu ambacho kipo tayari. Kwa hiyo huyu mtoto mwanaume alikuwepo, tukapewa na akazaliwa. Kukurahisishia na wale wasiojua Ukristo ni kwamba Mungu katika Nafsi ya Mwana, aliutwaa mwili akawa Mwanadamu bila kuacha kuwa Mungu. Ndio maana huyo mtoto ni mshauri wa ajabu na ni Mungu mwenye nguvu...

Kama mstari huu unakupa kizunguzungu acha nikupe mwingine.

Mika 5:2
"Bali wewe, Bethlehemu Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda; kutoka kwako wewe atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika Israeli; ambaye matokeo yake yamekuwa tangu zamani za kale, tangu milele"

Bado huu ni unabii wa Masihi Yesu. Note kiwa toka Bethlehemu atatokea mtawala. Atazaliwa kwao mtu ambaye atakuwa mtawala. Lakini matokeo yake (His going forth) ni milele. Hakuna mwanadamu ambaye amekuwepo tangu milele. Huyu ni Mungu akiuvaa mwili na kuongeza ubinadamu katika Uungu wake.

Kwa hiyo Wakristo hawaamini kuwa Mungu alianza Yesu alipozaliwa. Wakristo tunaamini kuwa Mungu katika nafsi ya Mwana, akaongeza asili ya mwanadamu katika asili ya uungu wake kwa hiyo Yesu ni mwanadamu kamili na Mungu kamili.

Wengi hulalamika hii haiwezekani Mungu hawezi kufanya hivi blah blah, as if wao ni wazazi wa Mungu kumpangia anachoweza na asichowrza kufanya. Absurd! Mungu anafanya anachotaka na achoona ni sawa. Na sisi mavumbi ya udongo hatuna mamlaka ya kumpangia.

Kama hukubaliani na theolojia ya Wakristo usi misrepresent. Ni akili mbovu kufanya hivyo
 
Nilishangaa sana
Nikahitimisha pengine ndio sababu

Hivi kweli yule MC maarufu na yeye ana miliki kondoo sasa hivi?

Na yeye anaombea watu??
Acha ujinga, wewe sio Mungu wa kuchagua nani achunge kondoo wake. Mungu ameita majambazi, na wauaji akawabadilisha na kuwapa kazi ya kuchunga kondoo wake. Paulo akiwa Sauli alikuwa muuaji na alihusika katika mauaji ya Stefano. Hata njiani alikopigwa dafrau na Yesu alikuwa ameenda kuwakama Wakristo. Lakini Sauli ndio mwandishi wa citabu vingi vya agano jipya.

Kwa hiyo Mungu hapimi mtu kwa maisha ya nyuma bali ya sasa. Kama kuna kitu mtu kafanya na hakimpasi mchungaji useme hicho sio kuangalia kazi ya mtu tena halali kabisa!
Ndio maana watu wana badili gia angani

šŸ¤”šŸ˜·šŸ™…šŸ½šŸ™…šŸ½
Wamepewa uhuru na Mungu acha wautumie. Kila mtu atajibu kivyake.
 
Manufaa ya kwanza Kwa Mohammed Abdulla ni kuhodhi uongozi wa kabila lake na jamii yake kiujumla,pili kukontrol biashara na kuunda Dola imara Ili waweze kujisimamia Kwa sheria na taratibu kumbuka kabla hajawa mtume kabila lake lilikua weak Sana na watu wa jamii yake wengi walikua uncivilized na sio wamoja,lengo lake awaunganishe na kitu kimoja Ili wawe na mtazamo Sawa,kusiwe na jamii yenye matabaka,
Kuhusu yeye kunufaika inaeleweka baada ya kuhodhi biashara za caravan kwa kua na team kubwa watakao fuata falsafa zake,
Pia kuhusu muda japo yeye hakuishi Miaka mingi Sana ila Ile spirit alioipandikiza Kwa jamii yake iliendelea kuishi daima na ikatumika kama Ndio njia sahihi ya maisha ya kisasa Kwa jamii yake aliyoistaarabisha!
Sasa hapo hao waliyomtuma walikuwa wanampa support ipi katika kipindi chote hicho kuanzia mwanzo anaanza kazi waliyompa hadi kufikia kuwa na wafuasi wengi? Kwa sababu kipindi hicho waarabu walikuwa na imani zao zengine hivyo haikuwa kazi rahisi hadi kuikubali imani ya Muhammad, sasa hao waliyomtuma walimpa msaada gani ili aweze kufikia malengo yaliyokusudiwa?
 
Sasa hapo hao waliyomtuma walikuwa wanampa support ipi katika kipindi chote hicho kuanzia mwanzo anaanza kazi waliyompa hadi kufikia kuwa na wafuasi wengi? Kwa sababu kipindi hicho waarabu walikuwa na imani zao zengine hivyo haikuwa kazi rahisi hadi kuikubali imani ya Muhammad, sasa hao waliyomtuma walimpa msaada gani ili aweze kufikia malengo yaliyokusudiwa?
walimp msaada kuendelea kurun biashara halafu pesa anaitumia kudonate kwenye jamii Kwa kutoa misaada mbali mbali,Ile iliwavutia watu Kwa matendo yake ya ukarimu na ikawavutia kufuata mafundisho yake maana alionekana ni mtu mwenye kuaminika Kwa vitendo Kwa jamii yake!
 
Hahahaaa! Na wewe umeona umeandika bonge la argument? Okay nita assume hujawahi kujua ambacho Wakristo wanaamini. Kama ndivyo acha nikusaidie.

Wakristo hawaamini ulichokiandika. Ngoja nikuletee mstari mmojawapo unaoelezea hiki kitu.
Isaya 9:6
"Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani"

Huu unabii juu ya Yesu (Mtoto aliyezaliwa)
Mtoto amezaliwa lakini mtoto tumepewa. Unapewa kitu ambacho kipo tayari. Kwa hiyo huyu mtoto mwanaume alikuwepo, tukapewa na akazaliwa. Kukurahisishia na wale wasiojua Ukristo ni kwamba Mungu katika Nafsi ya Mwana, aliutwaa mwili akawa Mwanadamu bila kuacha kuwa Mungu. Ndio maana huyo mtoto ni mshauri wa ajabu na ni Mungu mwenye nguvu...

Kama mstari huu unakupa kizunguzungu acha nikupe mwingine.

Mika 5:2
"Bali wewe, Bethlehemu Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda; kutoka kwako wewe atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika Israeli; ambaye matokeo yake yamekuwa tangu zamani za kale, tangu milele"

Bado huu ni unabii wa Masihi Yesu. Note kiwa toka Bethlehemu atatokea mtawala. Atazaliwa kwao mtu ambaye atakuwa mtawala. Lakini matokeo yake (His going forth) ni milele. Hakuna mwanadamu ambaye amekuwepo tangu milele. Huyu ni Mungu akiuvaa mwili na kuongeza ubinadamu katika Uungu wake.

Kwa hiyo Wakristo hawaamini kuwa Mungu alianza Yesu alipozaliwa. Wakristo tunaamini kuwa Mungu katika nafsi ya Mwana, akaongeza asili ya mwanadamu katika asili ya uungu wake kwa hiyo Yesu ni mwanadamu kamili na Mungu kamili.

Wengi hulalamika hii haiwezekani Mungu hawezi kufanya hivi blah blah, as if wao ni wazazi wa Mungu kumpangia anachoweza na asichowrza kufanya. Absurd! Mungu anafanya anachotaka na achoona ni sawa. Na sisi mavumbi ya udongo hatuna mamlaka ya kumpangia.

Kama hukubaliani na theolojia ya Wakristo usi misrepresent. Ni akili mbovu kufanya hivyo
Ila kwa mfano tukisema Mungu hasemi uongo au Mungu hafi ni vitu ambavyo vimeelezwa kwenye biblia, kwa sababu hatuwezi kumjua Mungu kwa kutumia akili au hisia zetu bali lazima tumjue kupitia maandiko. Kwahiyo lazima ufikirie kuwa wanaosema Mungu hawezi kufanya hivi au vile wanasema hivyo kutokana wamesoma huko maandiko.
 
walimp msaada kuendelea kurun biashara halafu pesa anaitumia kudonate kwenye jamii Kwa kutoa misaada mbali mbali,Ile iliwavutia watu Kwa matendo yake ya ukarimu na ikawavutia kufuata mafundisho yake maana alionekana ni mtu mwenye kuaminika Kwa vitendo Kwa jamii yake!
Yani nataka kujua walimpa msaada gani toka anavyoanza kutangaza hiyo imani walikuwa wanamsaidia vp? Maana wao ndio waliyomtuma hiyo kazi.
 
Back
Top Bottom