Huyu naye ni Mpolipoli tu hivi unafilisiwa vipi na Mwanamke halafu unasema kwa Sasa upo na Pacome? Yaani Ma celebrity wengi Wana Msongo mkali sana wa mawazoBaba mchungaji huyu amefunguka kuwa hayupo katika ndoa kwa sababu ya kufilisiwa na mwanamke.
Amesema kwa sasa yupo na Pacome.
Tumuombee arudiane na mkewe. View attachment 2926310
What hurts the most 🎼🎼🎼🎹🎤Comment zetu wanawaume wa jf 👇
"Jamaa alikua anajifanya anampenda sana huyu mwanamke"
"Jamaa alifanya wengine tuonekane hatujui kupenda au hatuna wake, tulikua tunamwangalia tu"
"Unampigiaje magoti mwanamke, lazma akunyooshe"
Ur not funny anymoreNinachojua mimi ni mtamu na ana ki alama kama v juu kabisa kwenye uvungu wa paja,habari ya kumla ni yako mi sijasema.
Kataa ndoa mpo vizuri, ndo maana unakesha jF.Hapana
Sema tusiache masihara.. a woman past sio ya kupuuza.. Yule Dada alishaliwa mpaka mtungo huko jamaa aliambiwa bado alipuuza na video alikuwa anatumiwa yeye anajifanya kichwa ngumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwanamke sahivi Kawa Malaya mlokole kama baadhi ya wasanii wakike wa dini ambao wanatoa mpaka ule mtandao pendwa.. UsioeBaba mchungaji huyu amefunguka kuwa hayupo katika ndoa kwa sababu ya kufilisiwa na mwanamke.
Amesema kwa sasa yupo na Pacome.
Tumuombee arudiane na mkewe. View attachment 2926310
Mtu aliyewai kuwa Malaya aise akiwa kwenye mazingira wezeshi atarudia tu tabia yake,kufaham background ya mtu ni muhimu piaSema tusiache masihara.. a woman past sio ya kupuuza.. Yule Dada alishaliwa mpaka mtungo huko jamaa aliambiwa bado alipuuza na video alikuwa anatumiwa yeye anajifanya kichwa ngumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwanamke sahivi Kawa Malaya mlokole kama baadhi ya wasanii wakike wa dini ambao wanatoa mpaka ule mtandao pendwa.. Usioe
Kama ukiamua kuoa oa mwanamke mbichi.. sio mwenye historia ya umalaya
Huenda yumo humu humu kajaa mihasira ya kufilisiwa na sasa atajiunga na timu kataa ndoa ili kukazia hasira yake.
Sasa si ndio nakesha nae jamani? 😆😂Kataa ndoa mpo vizuri, ndo maana unakesha jF.
Ndio jomaa dume la mbeguEvelyn Wewe ni Mwanaume?
Unalijua hata jina analolitumia hapa jf?Nikweli MC Pilipili yumo humu tena kila siku anaingia humu jf
Maji maramoja yule Filomena, chuo alikua anaishi na Godfrey kama mume na mke, kwahio Kwa mc pilipili ilikua ndoa ya pili.Sio hater lakini yule dada binafsi namuona macho juu juu sana
Sio kwa ubaya
Na sidhani kama kweli wameachana
Ndugu yangu una maneno makali sana, kwa hiyo walikaa wahuni fulani wanakunywa mbege ndo wakatuletea taratibu za kitapeli hizi!!!NDOA NI AINA YA MAUAJI YA KIMWILI KIROHO NA KIUCHUMI YALIYOHALALISHWA NA KIKUNDI FULANI HIVI CHA WAHUNI.
KATAAA NDOA...
Maji maramoja yule Filomena, chuo alikua anaishi na Godfrey kama mume na mke, kwahio Kwa mc pilipili ilikua ndoa ya pili.
Kipindi anaolewa tulimcheka Sana Godfrey, na kiukwel walikua wnapendana. Ingawa Kwa Sasa Jamaa yupo SGR, kama Site Engineer.
MC pilipili heri amemrudishia mshikaji manzi wake.
Ndiyo ni mgogo huyoKumbe mgogo
Ku maintain status kazi nduguHuyu naye ni Mpolipoli tu hivi unafilisiwa vipi na Mwanamke halafu unasema kwa Sasa upo na Pacome? Yaani Ma celebrity wengi Wana Msongo mkali sana wa mawazo
Kivipi ? Fafanua kidogoWalikuwa hawaendani, lilikuwa ni suala la muda