Mc PiliPili `Stand up Comedy` huiwezi

Mc PiliPili `Stand up Comedy` huiwezi

Nimekuwa mfatiliaji mzuri sana wa hawa wasanii wetu wa stand up comedy kwa mda mrefu lakini bado naona mambo si mazuri tofauti na kwa wenzetu wa Kenya. Mc PiliPili naona akijitutumua lakini sanaa yake bado holaa, kakosa ubunifu wa kutosha na kusababisha kuishia tu kwenye Maharusi.
Me nahisi imefika wakati ajifunze kwa wenzake akina Eric Omondi, Prof. Hamo Kansiime anne, Mc jessey na wengine wengi ili alete vitu vizuri. Lakini kingine akubali kuwa na management yenye watu wanaoweza kumsaidia kuwa mbunifu zaidi kwenye Sanaa ya uchekeshaji.

Endeleeni kumpiga madongo ivyo ivyo wakati jamaa anatengeneza mshiko tuuuu....Imagine kila weekend yuko booked,harusi moja anafanya 1mil -1.5mil...KWa mwezi anaingiza 4mil - 6mil.....na mara nyingi yuko booked miezi mitatu au minne mbele...
 
Nimekuwa mfatiliaji mzuri sana wa hawa wasanii wetu wa stand up comedy kwa mda mrefu lakini bado naona mambo si mazuri tofauti na kwa wenzetu wa Kenya. Mc PiliPili naona akijitutumua lakini sanaa yake bado holaa, kakosa ubunifu wa kutosha na kusababisha kuishia tu kwenye Maharusi.
Me nahisi imefika wakati ajifunze kwa wenzake akina Eric Omondi, Prof. Hamo Kansiime anne, Mc jessey na wengine wengi ili alete vitu vizuri. Lakini kingine akubali kuwa na management yenye watu wanaoweza kumsaidia kuwa mbunifu zaidi kwenye Sanaa ya uchekeshaji.
Pilipili akili zke kma za kaka yake lemutuz
 
Mi Bora niendelee kuwa angalia akina Kat William, criss rock n sommore n Eddie Griffin lakini hawa wabongo Ni zero kabisa.
Afadhali akina Churchill wako poa
Mpoki ndio Mtu angeiweza stand up vizuri bongo. Yuko creative
Kuna Dave Chappelle...jamaa ukimuona utamchukulia poa ila kwenye stage ni noma.
 
Huwa simuelewagi anaiga kipindi Fulani cha wakenya
 
Kwanza huwa namwona anarudia rudia tu, sijui hata hao fans wake hawafuatiliagi mitandao
 
Nimekuwa mfatiliaji mzuri sana wa hawa wasanii wetu wa stand up comedy kwa mda mrefu lakini bado naona mambo si mazuri tofauti na kwa wenzetu wa Kenya. Mc PiliPili naona akijitutumua lakini sanaa yake bado holaa, kakosa ubunifu wa kutosha na kusababisha kuishia tu kwenye Maharusi.
Me nahisi imefika wakati ajifunze kwa wenzake akina Eric Omondi, Prof. Hamo Kansiime anne, Mc jessey na wengine wengi ili alete vitu vizuri. Lakini kingine akubali kuwa na management yenye watu wanaoweza kumsaidia kuwa mbunifu zaidi kwenye Sanaa ya uchekeshaji.
Yaani anaboa hadi kupitiliza...sio mbunifu kabisa...hata harusi zake zinaboa kishenzi na umcee wake wa kicomedy ambazo hata hajui
 
Ni kweli Tz hatupo vizuri katika stand up kwa waliopo sasa hivi ila hawa uliowataja labda Prof Hamo, binafsi Anne na Eric naona hawako vizuri. Kuna mshikaji anaitwa Ayeya yule ni comedian mzuri kushinda hawa wawili.
Kwa ninavyojua sifa nyingine ya kuchekesha kama huwezi observational comedy basi uwe unaongea ujinga hapa unaKutana mtu anaitwa Sumaku anaongeaga pumba tamu sana kuzisikiliza.
Sumaku nchi nyingine weweee
 
Kweli hiyo fani kavaba, unajua usidhani kuchekesha wanafunzi darasani ukadhani ni rahisi kuchekesha watu wazima wenye stress za kila namna.
 
Duh mlivyomkomalia, kwa upande wangu naona anachekesha, tatizo lake ni moja, anarudia sana vichekesho, sio mzalishaji mzuri wa vitu vipya
I echo your words. Emma ni mchekeshaji mzuri tuu, tatizo lake ni kuwa anarudia sana vichekesho vyake. Yani ukihudhuria comedy show yake for the first time, utacheka sana. Lakini ukihudhuria mara ya pili u will just end up being bored, sababu hakuna kipya utakachokisikia. Yani ana vichekesho vile vila. Anarudia rudia vichekesho hivo hivo daily
 
Jumamosi ya 6/11/2016 EATV walionyesha kipindi kipya cha Flora show mrembo mtanashati. MC Pilipili alionekana katika part ya kuwa MC katika harusi mbalimbali akionyesha kipaji chake cha kuchekesha, amechekesha biharusi, bwana harusi na waliohudhuria mpaka amepitiliza[emoji23] [emoji23]

*Amethibitisha kama yeye ana kipaji kilichopitiliza
 
Waxhekeshaji bongo ni akina masanja, joti na group Lao lote hawa wengine miyeyusho tuu!!
 
Back
Top Bottom