Wazee walikua kwenye jamii ambazo husda zilikuwa zipo kweli kweli kwa hiyo kutangaza mambo yako mazuri ni kuzivutia hizo negative energy ndio maana wengi waliona ni mwiko hata kutangaza mafanikio.Is why wazee wetu huwa wanasisitiza koto kutangazana au kutangaza ndoa yenu au mahusiano
Mara nyingi wenye matangazo hawafiki mbali, no matter how much kiasi cha pesa wanakuwa nacho
Shukrani mkuuππ½ππ½Second you Sir
Akijipata mkiwa katikati ya ndoa utamuacha brother,Kikubwa oa mke unayemmudu
Wazee walikua kwenye jamii ambazo husda zilikuwa zipo kweli kweli kwa hiyo kutangaza mambo yako mazuri ni kuzivutia hizo negative energy ndio maana wengi waliona ni mwiko hata kutangaza mafanikio.
Zamani mimba inafichwa hadi mtu anaenda kujifungua hakuna anaejua, Ila leo hii kuna photoshoots za wajawazito wakiwa kwenye vichupi wanaonesha tumbo
Mambo yanabadilika kwa kasi
Ila chukua hiyo itakusaidia na utakapomkuza kijana wako WA kiume popote atakaposimama mwambie aseme "mzee wangu aliwahi kuniambia kama hajawahi kuishi na mzee basi mwambie aseme mwanaume yoyote eg uncle au mzee mmoja aliniambia" mengine achana nayo (tunaishi ili kujifunza)Hongera wewe ambaye ni binadamu... Hata kenge ni kiumbe...
Bora umejionea ukatushauri ila kipindi kile MAPENZI moto usingeweza kuelewa,hao viumbe hawana fourmula Broo na MKE au MPENZI wa mwenzio ndo mzuri!Mc na Mchungaji pilipili ameweka wazi kuwa alijichanganya na kuoa mwanamke aliyejaa tamaa ya maisha ya juu hivyo anajuta sana na kutoa ushauri kuwa vijana kuwa makini wanapochagua wanawake wa kuoa kuepuka kuoa wanawake wenye tamaa ya mali na maisha ya gharama!
View attachment 3196832
Haina nouma mkuu......Ila chukua hiyo itakusaidia na utakapomkuza kijana wako WA kiume popote atakaposimama mwambie aseme "mzee wangu aliwahi kuniambia kama hajawahi kuishi na mzee basi mwambie aseme mwanaume yoyote eg uncle au mzee mmoja aliniambia" mengine achana nayo (tunaishi ili kujifunza)
TTYLTupaki unafoka kishenzi π
TTYLTupaki unafoka kishenzi π
kumbe watu hubadilika, ya nini sasa kuoa?Ndugu usiongee ukamaliza.....haya mambo hayana ujuzi....na watu hubadilika.....na bahati mbaya hubadilika wakati wewe unamuhitaji.....
Weka akiba ya maneno ndugu.....
π Ebu niacheHappy new year to u too.
Sasa mwaka mwwngi e mshikaji wangu na huu nao tusile pilau itabidi tuite ni crisis
Wee ipo siku utasema mzabzab njooo baadala ya niache π€£π€£π€£π Ebu niache
Watu hubadilika.....hubadilisha maamuzi, watu hubadilisha mitazamo......na mioyo pia hubadilika......anayesema leo anakupenda na hawezi kuishi bila wewe usije kushangaa siku moja hataki hata kusikia jina lako......na yule alikuwa anakuchukia siku moja akawa rafiki yako kipenzi........kumbe watu hubadilika, ya nini sasa kuoa?
Maana hapo tafsiri yake ulienae leo kesho anaeza akageuka
Bora usioe
Yakikukuta usije tena hapaAsitushauri sisi, kwake ndio liwe funzo, sisi hatuolei akili za nyege, hatuoi kisa mzuri sana, hatuoi kwa kuangalia matako, hivyo ni sifa za nyongeza, tunaoa mwanamke mwenye hadhi ya kuitwa MKE.
ππππππππHuyu ndio alilia kwa kwikwi, Akawa hajiwezi wakati anaengage? π€£π€£
Pale ndio alihamisha ufalme.
Sikulaumu mkuu, ni balaa ila kama una chumba kimoja tembo bora ukamtazame porini huko usimfuge.Mkuu kwahyo Wakina mwigulu, bashungwa nao walikosea hv ulishawaona wake zao lakini Ila mkuu unanisema sana mie (napenda matako)
Sikutaka kuongea hili Ila hata mimi binadamu nawajua haswa wanaoitwa marafiki,Mkuu samahani mimi Umenena kitu kimenigusa!, wakati naanza biashara yangu nilikua napenda kutambia sana marafiki zangu ili kuwa motivate punde s punde nikawa napata majanga toka pale Ata nikisafiri sisemi nilikua nawatambia nimepata mchumba nikawa Ata sidumu nao ndo zinavunjika