MasterGamaliel
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 923
- 1,001
Kama kweli alikuwa akidondosha dondosha machozi wanawake wengi hawawezi kukubali wewe mwanaume ukae kwenye nafasi yake.Kidogo nafatilia celeb.... sasa Kuna siku pilipili akiwa na huyo mke wake sikumbuki kituo alichokuwa anahojiwa akaulizwa...... Kuhusu mahusiano akaanza kulia kama kawaida yake,
Mkewe na uso wa ki.. innocent akawa anambembeleza mumewe hapo Ila nikasema hapa kaaazii kweli kweli
Ndugu zangu katika Khabar Nifah Mwachiluwi
Kweli kabisaInshort sio kwenye hiyo angle tu ngoma ivumayo kwa kasi hupasuka
Kwa sasa hata mademu wa Dar huko kitambaa cheupe ndio haohao wanapatikana Dom. Wanamove kama nyumbu tu. Ukifika muda wa kuwa Dom wanajaa kwenye SGR Dom inachafuka. Wakimaliza kazi zao huko wanarudi Dar tena.Exactly, kaja mjini katukuta kajibebea makulubembe haya yenye gubu na body count za kutosha anajifanya anawashauri watu , unaenda kubeba janamke la kitambaa cheupe sinza unategemea nini, keshatoa mbwa na kila aina za pipe unategemea nini ?.. mwambieni jamaa daslama sio dodoma huku mademu wanaweza kukuectia ukajaa kwenye mfumo ukapigwa na kitu kizito, akae kitaalamu, alafu asiogope kuachana na mwanamke malaya na mwenye tamaa sio dhambi hata kama yuko na shindu kama nikolejoyberry.
Pia inakuepusha na taarifa mbaya kuhusu mkeo unamuona malaika maisha yako yoteSema mzee kuna kunogewa Sema nilichojifunza kwanini mtu kama MO huwa hamuaniki mke wake Yani ni nadra sana kuona mwamba Ana brag sisi kama wadogo zao tujifunze, kutofautisha kazi na maisha personal mimi yan marafiki zangu sitaki Ata wakanyage home kwangu mwisho ni viwanja na kazi kazi
Unaambiwa watu wana mafile ya mtu wako ambayo huyajui na kuna Watu wao wameumbwa Yani kazi yao ni kuharibu Yan akiona mnafurahia watatumia pesa na kila ktu kuchukua mkePia inakuepusha na taarifa mbaya kuhusu mkeo unamuona malaika maisha yako yote
Iko hivyo siku zote. Ukiweka mbwembwe kwenye ndoa inaenda na maji. Ila tubaki kwenye point, "tafuta unayemmudu."Unaambiwa watu wana mafile ya mtu wako ambayo huyajui na kuna Watu wao wameumbwa Yani kazi yao ni kuharibu Yan akiona mnafurahia watatumia pesa na kila ktu kuchukua mke
Nii hatare sana mzeeKama kweli alikuwa akidondosha dondosha machozi wanawake wengi hawawezi kukubali wewe mwanaume ukae kwenye nafasi yake.
WTF is this ?
Ukisema mdada ni above my league, unamaanisha league ya nini, au mdada anakua amenizidi niniShida alikurupuka kuchukua asie wa level yake.
Ofcourse kuna wanawake wana tamaa, lakini vijana wapunguze unrealistic expetation, why? Zitawapelekea kuchase madem ambao ni league above, na wanawake wa hivyo dont date down their level, even if akikubali atakusumbua in the future sababu you dont fit anachokitaka kwenye brain yake
Hapo kuna mawili au zaidi, mwanamke kamu undervalue jamaa, au mwanamke hakuwa anampenda mshikaji toka mwanzo. Ila ni mwanamke wa kawaida sana, sema kajua kutumia mitandao kujitangazaUkisema mdada ni above my league, unamaanisha league ya nini, au mdada anakua amenizidi nini
Wanaume ambao wako kwenye league ya ku date na mke wa mc pilipili ni kama kina nani? Detective J
kuwaoa
Ndio watoto wazuri wanavyo taka kuishi wanajaribu kila mlango mpaka wakute chumba chenye hela na sisi tutaishi nao hivyo hivyo.Alooh...nyie watu wabaya sana yaani mnawakojjolea watoto wazuri lakini hamtaki kuwaoa
Ila kweli tuwagegede tuu wenyewe wakishaona wametosheka na kutanga tanga watatuliaNdio watoto wazuri wanavyo taka kuishi wanajaribu kila mlango mpaka wakute chumba chenye hela na sisi tutaishi nao hivyo hivyo.
Wa kawaida mkuu, ila pia inawezekana pili pili mwenyewe akawa ni tatizoSimjui mkewe, Sasa kama hana tako, hana sura ya maana, HANA tabia za kuwa mke alimuolea nini, alirogwa, au alifinyiwa kwa ndani, alipewa mtaro wa maji taka, alinyonywa kende kwa pipi kifua ama walimfanya nini, alipewa stail ya mzaramo kajisaidia kichakani ama? 😂🤣
Siku anampigia magoti ndio siku alijimalizaMc na Mchungaji pilipili ameweka wazi kuwa alijichanganya na kuoa mwanamke aliyejaa tamaa ya maisha ya juu hivyo anajuta sana na kutoa ushauri kuwa vijana kuwa makini wanapochagua wanawake wa kuoa kuepuka kuoa wanawake wenye tamaa ya mali na maisha ya gharama!
View attachment 3196832
Sio inawezekana, ndio uhalisia, ukiona mwanaume anaachana na mwanamke anaanza kulia lia, mara vijembe, mara status jua tu ana matatizo.Wa kawaida mkuu, ila pia inawezekana pili pili mwenyewe akawa ni tatizo
Jamaa alipitia msukosuko kwenye kumuoa huyo mwanamke damu ilimwagika sana kwa kujua au kwa kutokujua ila aliwapoteza watu aliowapenda sana kwa sababu ya huyo mwanamke na hio inamuumiza mpaka siku anaenda chini hicho kidonda hakiwezi kufutika
Hakuna mwanamke asiye na tamaa dunia hii HAKUNA!Huenda hawapo ila mwanaume anapokuwa na pesa isiwe anajimwambfy kupitiliza kwa mwnamke amtakaye. Tukumbuke Hawa alikuwa na kila kitu pale Eden alikuwa akimuona mumewe akiongea na Mungu na bado alipokuja shetan alipiga naye story vizuri tu na kilichotokea imebaki historia.