super hero1
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,057
- 825
Tuishi humu.Asitushauri sisi, kwake ndio liwe funzo, sisi hatuolei akili za nyege, hatuoi kisa mzuri sana, hatuoi kwa kuangalia matako, hivyo ni sifa za nyongeza, tunaoa mwanamke mwenye hadhi ya kuitwa MKE.
Nimelia sanaโฆ.msumari wa moto kwa Mc pili pili huuNakumbuka mama yangu alinambia ukishaoa usimwonyeshe mwanamke kuwa pesa zako ndo nguvu........ Kuna siku ata nguvu ya kubwa ya pesa kutoka mahala pengine na utakosa mke......
Ishi katika uanaume wako, usimnyanyase binti wa watu, mtunze , mvishe, mlishe, muwekee limits kwa kila anachokitaka.....
Akasisitiza kuwa kiuhalisia hakuna mwanamke anayetaka kuwa na mtu asiye na kitu, so work hard Ila
Usioe makalio, sjui hips sura utalia...... Nawasilisha
Aseeh afu mwamba ana weakness ya kulia hasaNimelia sanaโฆ.msumari wa moto kwa Mc pili pili huu
Umenena braza hayo Yana ukweliHuyu dogo na mkewe siku ya harusi tu, jamaa anaambiwa na mchungaji fuatisha ninayosema:
Ikifika mahala kwenye mazuri, mabaya, magonjwa sijui tuwe pamoja yeye Mc na utoto wake maneno kama mabaya, magonjwa hayataji anabadirisha anatunga maneno yake.
Bkudfuken basi tu mfungishaji ndoa alikua na subira
Shida ipo pale paleHata selewii ๐
Mwamba pilipili daahShida ipo pale pale
Magonjwa ya kujitakiaMwamba pilipili daah
Is why wazee wetu huwa wanasisitiza koto kutangazana au kutangaza ndoa yenu au mahusianoUkiachilia mbwembwe zake zile za "forever and for always" Kipindi cha ndoa,
Yaliyomkuta ndio yanayoendelea mtaani na sio story, tofauti tu yeye ni maarufu na wengine hawajulikani. Na ninajua hapa kila mmoja atageuka kungwi hata kama alichokiacha nyumbani au kitandani anakijua kinavyomnyima usingizi.
Kwa hiyo Hakuna fundi wa ndoa au malezi bali ni kudra za Mungu tu
Analia mno afu wife hata hajigusii ๐ ogopa hiyoMagonjwa ya kujitakia
Ng'ombe huyo, mwanaume unalilia mbususu kweli..?๐คฌ๐คฌ๐คฌ๐คฌHuyu ndio alilia kwa kwikwi, Akawa hajiwezi wakati anaengage? ๐คฃ๐คฃ
Pale ndio alihamisha ufalme.
KabisaAlijivua taji mwenyewe
NaamAsitushauri sisi, kwake ndio liwe funzo, sisi hatuolei akili za nyege, hatuoi kisa mzuri sana, hatuoi kwa kuangalia matako, hivyo ni sifa za nyongeza, tunaoa mwanamke mwenye hadhi ya kuitwa MKE.
Mbona hata hiyo pisi ni mbovu pia..?Tamaa alikua nayo mwenyewe kwa kuendekeza Genye watu tunaoa watu wabovu aisee. Halafu hawa wengine ndio chapaaa
NaamKila mtu aoe mwanamke anaye mudu...mambo ya kulalamika oh mwanamke tamaa huo ni umama
Kumbe vilio vya engagement havikuishia siku ile, pumbavu kabisa huyu ๐๐๐ฎ๐ฎDuh hurumaaaaaaa
Mgogo alianza kwa kulia na anaendelea kulia
kwa uchungu sana imembidi afunguke
Nilisha sema na nna rudia. Mwanamke anataka mwanaume Super Power (turbo) hata siku moja mwanaume usije dhani ukitia huruma mwanamke ndo atakupenda ๐ ๐Huyu ndio alilia kwa kwikwi, Akawa hajiwezi wakati anaengage? ๐คฃ๐คฃ
Pale ndio alihamisha ufalme.
Ni kujitakiaAnalia mno afu wife hata hajigusii ๐ ogopa hiyo