Mc Pilipili: Vijana wezangu tutafute wanawake wasio na tamaa!

Ni dada
Huyo mke wa pili pili sikuwaha najua kama mke wa pili pili, ila nilikuwa namuona sana Instagram, usema kweli pili pili ngoma nzito ile
wa insta...... Huko ndo makazi yake yalipo

Kwakweli nikishaoa Mimi mke wangu ishu za social nini hizo insta mara TikTok Tena kavaa tight tule twepesi mwingine yupo na hivi vikaptula na shati ........

Tutashindwana wallah
 
Ni dada

wa insta...... Huko ndo makazi yake yalipo

Kwakweli nikishaoa Mimi mke wangu ishu za social nini hizo insta mara TikTok Tena kavaa tight tule twepesi mwingine yupo na hivi vikaptula na shati ........

Tutashindwana wallah
Vijana wanapenda vitu kama hivyo, ila ndani kuishi nae kama kujaribu kufuga koboko πŸ˜…πŸ˜…
 
Umemuita dogoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ sawa kaka mkubwa
 
Second you Sir
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…