Mc pilipiliAsitushauri sisi, kwake ndio liwe funzo, sisi hatuolei akili za nyege, hatuoi kisa mzuri sana, hatuoi kwa kuangalia matako, hivyo ni sifa za nyongeza, tunaoa mwanamke mwenye hadhi ya kuitwa MKE.
Na wanapambana nazo mpaka wanasemaSisi tunao oa wanawake wenye sifa za kuwa wake, hata wakiwa na sura za baba zao- hatujali. Wale mnaotaka sifa za kipumbavu kwa kuamua kuoa sura za kimiss na matako makubwa endeleeni. Kupanga ni kuchagua. Ila maji yakiwafika shingoni msije huku mnalialia. Endeleeni kupambana na hali zenu.
ππππππππ Wote wamekula umeme, somo la balance shobo lishaeleweka.Mwaka 2018 -2020 tulisumbuliwa sana na washamba watatu kutuonesha mademu zao.
Mc Pilipili, Pastor Msanii na DC.
Wote walipigwa na chuma kizito.
Sema umaarufu na hela sometimes sio gundi ya kuwanasa mademu.
Me naamini kuishi low-key ndio kila kitu
Samaki wa mapambo haliwi broo.Alooh...nyie watu wabaya sana yaani mnawakojjolea watoto wazuri lakini hamtaki kuwaoa
Hivyo viatu tu inaonyesha ni mgeni kwenye game πππ
Kama lisenge liende chama cha umoja wa wanawake tz akasemelee wamseme mkewe tuone kama wata msikilizaSema mwamba ana umama wa kulia lia mbele ya mademuView attachment 3196936
Hakuna staa anaerudia ule ujinga zaidi ya players wakina Konde, Marioo, Jux, ambao tunajua kabisa wao wanapita.ππππππππ Wote wamekula umeme, somo la balance shobo lishaeleweka.
Hahaha dahKidogo nafatilia celeb.... sasa Kuna siku pilipili akiwa na huyo mke wake sikumbuki kituo alichokuwa anahojiwa akaulizwa...... Kuhusu mahusiano akaanza kulia kama kawaida yake,
Mkewe na uso wa ki.. innocent akawa anambembeleza mumewe hapo Ila nikasema hapa kaaazii kweli kweli
Ndugu zangu katika Khabar Nifah Mwachiluwi
Kupiga goti na kulia, takataka kabisaπ
Watu wanaoa akili yeye alioa suraKama lisenge liende chama cha umoja wa wanawake tz akasemelee wamseme mkewe tuone kama wata msikiliza
Mgogo anashida Sana yuleHakuna staa anaerudia ule ujinga zaidi ya players wakina Konde, Marioo, Jux, ambao tunajua kabisa wao wanapita.
Basi ungetuambia baba alivyosema kwamba umepaniki au hujapaniki mi sijali ila wakati mwingine achana na mifano ya "mama aliniambia"it makes you weakBaba alisema na mama akasema anaifahamu jinsia yake vyema ilivyo na shida stop kuongea bila mpangilio
MC akisoma huu Uzi anaweza Lia Hadi asubuhiHivyo viatu tu inaonyesha ni mgeni kwenye game πππ
Shida ya kuona pisi kali uzeeni angekuwa kawala sana enzi za ujana angejua changamoto yao asinge oa yule angeoa ata love wa jua kaliWatu wanaoa akili yeye alioa sura
Mgogo anashida Sana yule
Wakijikusanya wote wakapewa nafasi ya kumpigia kura mgombea mmojawapo wa CHADEMA lazima mgombea achukue uenyekiti maana ni wengi kinyama.List ni ndefu
Nikki wa pili
Mc pilipili
Mabeste
Ben paul
Ay
Hawa wote ππ» walikutana na kitu kizito
nyonga piaMC akisoma huu Uzi anaweza Lia Hadi asubuhi
Nta furahi sana sijui ndo roho mbaya na chuki zimeanza kunipataUyo atalia mdomo wazi mpaka kuja kufumba nzi washaingia mdomoni