TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

Kweli hajaumia sana.

Kaumia mkuu, mguu umevunjika, nyonga haiko sawa, impact ya head/neck huwa haionekani nje hasa kama alikua amelala, because his muscles were related so there was no preps for the impact

Hilo eneo lina shida sana, diversion with fine rough road which is bad for fast cars and bad tyres
 
Wewe hujui ulisemalo tena utubu...hawezi kumtukana mwanadam mwenzako akanyamaza halafu ukadhani na Mungu atanyamza..jifunze kwa Yuda iskari yote
 
Kama hii ni habari ya kweli, NATUMAI IMETHIBITISHWA NA Moderator,
INASIKITISHA SANA TAIFA LETU LIMEFIKA PABAYA, WATANZANIA WENGI HUMU NAONA BADALA YA KUKUBALI MCHANGO WAKE ALIOULETA MCHUNGAJI MTIKILA KTK AMSHA AMSHA YA DEMOCRASIA, WATU WANAONGEA KANA KWAMBA WAO WATAISHI MILELE NA KUONGELEA 'MABAYA' KUWA ALIKUWA ANAMPONDA MTU FULANI SANA HIVYO KIMTAZAMO WAO WANAONA KAMA AMESTAHILI HIVI, NI MUNGU KAAMUA KUMCHUKUA MWANAE, HAMNA LINGINE HAPO.
Watanzania tumekubali kuwa watumwa wa siasa na siasa INATUGAWA vibaya sana, tumekuwa kama blue band na siasa ni kisu cha moto kikipita katikati yetu. INASIKITISHA SANA.
MUNGU AMETOA NA MUNGU AMETWAA, jina lake LIHIMIDIWE.
R.I.P Mchungaji, C.Mtikila.

Upandacho ndicho uvunacho, panda wema vuna mema.
 
Last edited by a moderator:
hili ni fundisho kwa dr slaa na mayuda wote,jana nilimuona dr slaa amezeeka kweli,
 
Dah!!!

Hata kama alifanya mabaya kiasi gani bado hili linasikitisha sana...
 
Mnakumbuka mtoto wa marehrmu sheikh Yahya Hussein kuhusu uchaguzi mwaka huu kuwa kuna mgombea urais atafariki? Yametimia
 
Kasome biblia vizuri usibwabwaje bwabwaje tu hapa.
Mwisho wa amri zake Mungu anasema....Mimi ni Bwana Mungu wako, Ni Mungu mwenye hasira. Nami huwalipiza visasi Maelfu kwa maelfu.....Na hata kizazi cha tatu na cha nne......

amen to that kamanda
 
Mungu huyohuyo alisema, usihukumu kabla hujahukumiwa...

si mungu wa luwasa auae...ila ni funzo kwa wote wanaowakebehi wagonjwa utadhani wao ndio waumbaji...mungu hajali mzima au mgonjwa kila nafsi itaonja mauti..
 
Mungu amsamehe makosa yake.
Apumzike kwa amani.
 
Jamani tukumbukeni, kufunga mikanda wakati wa safari na pia tupunguze speed barabara ya Moro sio nzuri kwa speeding sana sana kama una gari ndogo
 
Pumzika kwa amani Mch.Mtikila, kwangu wewe ni mwanasiasa bora uliyepigania uliyoaamini hasa Tanganyika yako, hakika nitakukumbuka kwa mazuri na mema yako yote.

@£&£#%&"*-*£#£&£## kabisa
 
kuna taarifa mbaya ya ajali inayomhusu mchungaji mtikila. Tafadhali aliye na taarifa kamili atujuze zaidi. Nasikia watu wamekufa na wengine kujeruhiwa
ndiyo kafariki kwa ajari,nimesikia sasa hivi radio uhuru 95.7 fm dar
n
 
Back
Top Bottom