TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

Duh... wanakufa waliokashifu tu yule wanae sema mgonjwa anazidi kudunda
 
Tata Madiba nakushauri wewe ni kiumbe Muogope Mungu..badala ya kujifunza unazidi kutoa kashfa..Roho za kina Farao Mungu huziadhibu..
 
Kila mtu apige kampeni za kistaarabu na asimdhihaki mtu yeyote kwa maumbile yake au ugonjwa wake,mambo ya afya za watu tumwachie MUNGU.Swali rahisi la kujiuliza ni kwamba kwa nini LOWASA hatukani mtu yeyote ktk kampeni,CCM imenunua watu wote mpaka watu wa MUNGU mwaka huu ndio mtajua kuwa sauti ya wengi ni sauti ya MUNGU ss ni wana wa MUNGU Tupendane na wala tusitukanane hadharani bila haya wala aibu.
 
Kwakweli.acha mungu aitwe mungu.tusicheze na mungu mana yeye ndio anayejua siri zetu.juzi tu kaongea kwamba lowasa mgonjwa.leo yeye mzima.katangulia nakumuacha mgonjwa.anadunda.pole yao wafiwa
 
Ni habari iliyothibitishwa kuwa mchungaji Mtikila amefariki kwa ajali ya gari. Source Azam two.
 
Duh! R.I.P Mtikila, umeondoka kabla Tanganyika haijapatikana, lol! Simuoni wa kuipigania Tanganyika kama ulivyokuwa unaipigania
 
RIP Mtikila! Tutakukumbuka daima baba umeleta challange kubwa kwenye siasa Tanzania, na umeinspire watu wengi including me, Mungu ailalaze roho yako mahali pema peponi Amen!
 
Kwani Mtikila alimuombea nini Lowasa? Acheni hizo. Mtikila alikuwa anasema kweli tupu kuhusu Lowasa. Ndo maana wameamua kumuua

Hiki Kifo Hakina Tofauti Sana Kimazingira Na Kifo Cha Princess Diana. Ni MTEGO Aliotegewa Muda Tena Wa KIMAFIA Na Yeye AKAJISAHAU Na KUAMINI Watu WANAOMZUNGUKA 24/7. Ukishajitosa Ktk SIASA Lazima Uwe Na AKILI Zote Mbili Za KIMAFIA Na KIJASUSI Na Usiamini Yoyote. Hata Chacha Wangwe Tuliambiwa Ni AJALI Ila Tunajua Wenyewe What Happened. Hao Watu Wengine Aliokuwa Nao NI WA KUCHUNGUZWA Kwa UNDANI Mkubwa. Mliobobea Ktk INTELLIGENCE Scenario Hii IANGALIENI Kwa JICHO PANA. Mtikila ULIJISAHAU Na HUKUJILINDA Kwani Hata Huyo ULIYEKUWA UKIMWANDAMA Anajulikana Mno Tanzania Kwa UMAFIA Kama Yule MAFIA Mwingine Wa KENYA Aliyekuwa AKIWADEDISHA Wenzake Mr. Nicholas Biwwot. Hata Huyo MGOMBEA Hapa Tanzania Ktk Medani Za INTELIJENSIA Anasifika Mno Kwa Kuwabiwott Wenzie Hasa Wanaompinga. Na Najua ILI Kukwepa KUHUSISHWA Na Hiki KIFO Nina UHAKIKA 100% Kuwa Sasa Watahusishwa WANYARWANDA Kuwa Ndiyo WAMEMDEDISHA Na KUFANYA MPANGO Mzima. Hakika USILOLIJUA Ni Sawa Na USIKU WA GIZA.
 
R.I.P Mtikila!

Tuliobaki tuna la kujifunza, hasa tulio na dhamana ya kuelimisha juu ya Imani, uadilifu, unyenyekevu, heshima na Ibada bora kwa Mwenyezi Mungu.

Tumwombe Mungu atujarie angalau hekima kidogo tu kama punje ya haradali tutambue mipaka yetu linapokuja swala la utu wa mtu na hadhi ya Mwenyezi Mungu.

Tunakashifu au kumdhiaki mtu; tutambue Ugonjwa na Afya ni kudra ya Mwenyezi Mungu pekee hali kadhalika Umauti na Uzima ni vyake yeye...... UTUKUFU HUU HATUHUSTAHILI HATA CHEMBE.

Tumheshimu Mungu na Tujiheshimu na kuwaheshimu waja wake wengine tujiepushe na KIBURI CHA UZIMA.

Nitamkumbuka sana Mtikila kama mpambanaji hasa kwa mambo mawili:-
1. Mgombea Binafsi
2. Kudai Tanganyika

Zaidi, tukumbuke hadithi ya Miriamu na Musa (Hesabu 12:1-11).

R.I.P Mtikila.
Ni shujaa uliyeondoka kwa staili ya Goliathi.

Tuliobaki, TUJIFUNZE
 
Poleni sana Watanganyika. Maana ni yeye pekee aliyekuwa akitoka hadharani kudai haki za Tanganyika.
 
Kila mtu apige kampeni za kistaarabu na asimdhihaki mtu yeyote kwa maumbile yake au ugonjwa wake,mambo ya afya za watu tumwachie MUNGU.Swali rahisi la kujiuliza ni kwamba kwa nini LOWASA hatukani mtu yeyote ktk kampeni,CCM imenunua watu wote mpaka watu wa MUNGU mwaka huu ndio mtajua kuwa sauti ya wengi ni sauti ya MUNGU ss ni wana wa MUNGU Tupendane na wala tusitukanane hadharani bila haya wala aibu.
Sasa ndo umesema nini? mi nakuona kilaza tu unaeleta ushabiki.
 
kazi ya MUNGU haina makosa..

r.i.p mchungaji
 
Back
Top Bottom