TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

Na naoe yuko hoi kitandani tunasubili lolote laweza kutokea.

Usimkashifu mwenzio aliyeumbwa na Mungu aliyekuumba.

Hii taarifa nimeisikia Startv.
 
Serikali ifanye uchunguzi mkubwa ili kubaini chanzo cha ajali iliyopoteza maisha ya Mwenyekiti wa chama cha dp mch Christopher mtikila hasa katika kipindi hiki kigumu cha uchaguzi. R.I.P MTIKILA

Anataka kumuuliza mgombea moja anayewamaliza wapinzani wake kwa vifo anataka nini ikulu,
 
Kwa nini wanaomsema lowasa mgonjwa wanavuta wao?

Mbona VIGAGULA Na WANAMUME Wa SHOKA Bado TUNADUNDA Tu? Mkuu TUNALINDWA Na VINGI UNAVYOVIJUA Na USIVYOVIJUA Na INAWEZEKANA Wengine TUKIFA NDIYO Ukawa Mwanzo Wa SYRIA au BURKINA FASO Hapa Tanzania. Acha Kabisa Na UKWELI Utabaki Pale Pale Kuwa Huyo MGOMBEA He Is Unfit To Govern Us Whether You Like It Or Not!
 
Hapa ingekuwa


NAPEEEEEEEEEEEEEEEEEE.....!!!


Sijui ningesema nini... let me reserve my comments...!!!!😨😨
 
Ni hatari utakuta mtu anaongea afya ya mtu mwingine as if afya ni bidhaa ya kununua dukani kumbe ni neema tu ya Mungu ambayo hakuna mwanadamu yeyote ambaye anaweza kuamua awe na afya njema au laa. Nadhani ili ni somo zuri kwa watu wengine kuwa kuwa kutofautia katika itikadi na mambo mengine kusiwafanye wanene mambo ya kufuru hakuna anayeijua hata sekunde yake ijayo nini kitampata. Mungu amrehemu Mchungaji amtikila
 
asmeandika contradiction tupu. Siamini kama Mungu karuhusu kifo cha Mtikila kwa ajili ya dhambi za Mtikila dhidi ya utakatifu wa lowasa na wafuasi wake. Nikionacho ni roho ya visasi na uuwaji ya kutaka kila anayekukosoa afe. "Heri Kijana maskini, kuliko mfalme mzee tajiri, asiyepokea maonyo." Ukimukosoa lazima ufee.
 
Siamini kupitia nguvu za giza ni Mungu pekee ndiye muweza wa yote. Inaonyesha unaamini juu ya ushirikina na ndio maana akili yako imeathirika na hayo.
 
Freemason lowasa anawamaluza wapinzani wake wa kisiasa e mungu liokoe taifa letu,

kanone,

Mungu wetu hana mshindani na analilinda taifa muda wote. Hatuhitaji kimungu kama ulivyokiandika kwa herufi ndogo ambacho kinashindwa na freemason! au labda umekosea?
 
Ndugu zangu, msilete Maneno ya kashfa. Mtoa post kasema ichunguzwe shida ni nn?
 
hivi wajua maana ya freemason?
ni kweli mchungaji Mtikila alikua mpinzani mkubwa wa Lowasa?
 
Nyie badala ya kuangalia mienendo yenu na kuchunga ndimi zenu mnaanzisha propaganda . Mungu adhihakiwi mtaisha wote pumbavu[/QUOTE

Wewe ni agent wa mashetani ya mgombea wenu ndo maana unashangilia wapinzani wake anaowamaliza kwa nguvu za Giza,
 
Kumbe huyu Mchungaji amekuwa msomari mkali sana kwa UKAWA /mafisadi
 
walivyokuwa wanamtukana lowassa wanaona raja hee. had I wanamuita marehemu mzee wa watu na bado wengi tu watafuata

Hajawahi kutukanwa bali aliambiwa ukweli. Naye huyo mtu wako hafi hadi akose urais kisha ajibu ruhusa zote na arudishe kila alichojinyakulia kisha ndiyo alale kitandani kwa safari ya taratiiiibu kwa aibu. Shwain
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…