Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiaje mkuu?
Nadhani sasa mmejione umafya wa LOWASSA
Nani amehoji afya yako?Naomba kumfahamu Mungu wa Lowassa asie mvumilivu anaeua wanaohoji afya yake.
Lowassa Hatimaye ataunda serikali ya kidikiteta isiyohojiwa.
Mungu hapendelei, habagui wala HAUI. Mungu asihusishwe na ajali.Lete ushahidi Kwamba Lowassa Amemuua Mch: Mtikila? Endeleeni Kumsema Lowassa Hata wewe Mungu Atakushugulikia, Mungu Yupo upande wa Lowassa. Ndiyo Mjue Afanyaye Mtu Kuwa Mzima Au Mgonjwa Au Kuua Ni Mungu Chungeni Midomo yenu. Wambie na wenzako. Mtafinywa sana.
Kazi yake Mola haina makosa. Apumzike kwa Amani. Ujumbe: Usidhihaki afya ya mwenzio wakati yakesho huyajui.
lkn c alimdhihak edo?,leo yeye katangulia na wengne kama kina nepi nauye wajipange
time will tell
Mungu hapendi mzaha kwani yeye ndiye humpa mja wake afya na maradhi kwa hiyo basi kifo chake ni fundisho kwa wengine km akina Mwigulu et el.
It is very true Dallai Lama.Leo siku ya wajinga?
Kama ni kweli mungu hadhihakiwi.