Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
walivyokuwa wanamtukana lowassa wanaona raja hee. had I wanamuita marehemu mzee wa watu na bado wengi tu watafuata
UDP hakuna mtikila, marehemu alikuwa DP na kanisanimtikila yupi huyu wa UDP? au mtu mwingine
Nimepata taarifa za itv hivi punde mtikila amefaliki dunia kutokana na ajali tujitahidi kuchunga ndimi zetu kwani hatuijui kesho
aise
ila mtoto wa she yahya alitabir kwamba mgombea mmoja wa urais atakufa
Alimkashifu lowasa kuhusu ugonjwa,mpaka akatishia kumshitaki mahakamani kwamba kwa nini anagombea wakati ni mgonjwa
tatizo wanatoa kauli za dhihaka utafikiri wao ndo Mungu
Mtaanza kufa nyie mtamuacha mtikila,hizo story za watoto waliozaliwa ktk uongozi wa mkapa
kufo ndio nini jifunze kuandika.