Ilongailunga
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 1,388
- 896
R.I.P Mch mtikila.
Barabara za mkoa wa pwani ni chanzo cha ajali nyingi. Barabara inateleza kama imepakwa mlenda.
Waziri husika awajibishwe haraka
Ni kweli kabisa ukiwa unaendesha gari bara bara Hiyo ni vema kuwa makini inateleza na INA mawimbi sana. Sote njia yetu ni moja R.I.P mchungaji Mtikila.