TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

Lowasa mbona mtikila amekuwa mpizani tena wa miaka mungu na amekuwa anawasema serikali lakini alikuwa salama tu,amekusema wewe chali?, Du haya bwana,

Kwa kweli Lowassa alikuwa sahihi kulipa kipaumbele cha kwanza elimu. Alishaona elimu yetu iliyofifishwa kwa makusudi na serikali ya ccm huku viongozi wakiwapeleka watoto wao kusoma nje ya nchi na shule za kimataifa kuja kuchukua uongozi wa nchi wetu hata ewezo wa kujitambua na kupambanua masuala mbali mbali hata yanayowahusu hawana akiwemo na huyu.Kwa akili yake finyu anadhani Lowassa ndie alikuwa ameshikilia uhai wa Mtikila hadi alipoanza kumchafua. Kwa hiyo hata uhai wake mchangia mada uko kwa Lowassa na sio mungu aliemleta duniani hapa. Magamba mna shida kubwa na kuyapata mabadiliko kwenu hadi Lowassa awepo madarakani awape elimu iliyo bora.Fanyeni utani muendeleze ngonjera zenu za ni ile ile mbakie na matatizo yenu kwa miaka kumi ijayo.Wakati wa kutoroka na kufuata maendeleo ya kweli ni sasa. Kwani MABADILIKO UKAWA. UKAWA LOWASSA.
 
Inauma sama kumkosa Mtikila katika kipindi hili tunapopambana na majizi yanayotaka kwenda ikulu,sisi tutakukumbuka,ukisema mengi zidi ya serikali lkn ulibaki na uhai wako umelisema hili jizi Keisha, binadamu wasiposema mbingu zitasema,
 
Wale wenye mbwembwe za kupiga push up kwenye kampeni kumdhihaki Lowasa sasa nadhani wataacha..........
 
NASIKITIKA SANA WANA-UKAWA WANASHABIKIA KWA HISIA YA KUFURAHIA KIFO CHA MCH. MTIKILA UTADHANI YEYE NDIYE ALIKUWA KIKWAZO KWA MGOMBEA WA UKAWA KUINGIA IKULU. TUKUMBUKE KUA SOTE HATUKUUMBWA KWA NAMNA MOJA. Mtikila hayupo tena. haina maana wakusema hawatasema tena. kipimdi cha kampeni hua ni kipindi cha mpito. unachotaka kusema ruksa, tukana, kejeli, foka, yote ruksa. UTAVUMILIWA TU. lakini kumbuka mwisho wa matusi OKTOBA 25. Baada ya hapo ukitukana utakamatwa.haidhuru nani kashinda utakabiliana na mkono wa sheria. iwe Magufuli iwe Lowassa au Mghwira, hakuna wa kukutetea. hakuna aliekutuma uvunje sheria za nchi. chunga sana.

Maandiko yanasema furahini na wanaofurahi na pia huzinikeni na wanao huzunika ,ila pale nyie mnapofurahi wakati wenzenu wanahuzunika mlitegemea mnapohuzunika na wao wauzunike ???
Acheni kuvuka mipaka kusema maneno mabaya juu ya afya ya Lowasa ,vinginevyo watu watafurahia na wanaohuzunika
 
Wale wenye mbwembwe za kupiga push up kwenye kampeni kumdhihaki Lowasa sasa nadhani wataacha..........

Pelekeni shetani lenu huko,LIKO tayari kuwamaliza duniani wapinzani wake eti ikulu,tumeona watu wapinga adi wachungaji na mapadre lakini wanaishi duniani nyie eti wakimsema mgojwa wanakufa,ningekuwa na uwezo basi tu,
 
Wakuu,

Kuna taarifa kwamba Mchungaji Christopher Mtikila amepata ajali ya gari mkoani Pwani alfajiri ya leo, taarifa zaidi tunasubiria kutoka kwa Kamanda wa Polisi mkoani humo.

R.I.P Mch. Mtikila.

Mchango Wako Katika Mageuzi Nchini Hautasahaulika. Yote Uliyopigania Yalikuwa Muhimu Hata Kama Sio Wote Walikubaliana Nayo.
 
Eti ukimsema lowasa mgojwa unakufa,yeye ni nani watu walisema papa john Paulo kuwa ni mgojwa lakini hawakufa eti lowasa? Inaitaji akili ya ziada kufumbua fumbo hili,
 
R.I.P REV.CHISTOPHER MTIKILA!!.Wagonjwa,Marehemu na Wazima ni mali ya MUNGU.
 
R.I.P Mch. Mtikila.

Mchango Wako Katika Mageuzi Nchini Hautasahaulika. Yote Uliyopigania Yalikuwa Muhimu Hata Kama Sio Wote Walikubaliana Nayo.

Mkuu Mimi sipati jibu watu walisema papa john Paulo ni mgojwa hawakuga eti ukisema lowasa ni mgojwa unakufa? Hii sielewi kabisa,
 
NASIKITIKA SANA WANA-UKAWA WANASHABIKIA KWA HISIA YA KUFURAHIA KIFO CHA MCH. MTIKILA UTADHANI YEYE NDIYE ALIKUWA KIKWAZO KWA MGOMBEA WA UKAWA KUINGIA IKULU. TUKUMBUKE KUA SOTE HATUKUUMBWA KWA NAMNA MOJA. Mtikila hayupo tena. haina maana wakusema hawatasema tena. kipimdi cha kampeni hua ni kipindi cha mpito. unachotaka kusema ruksa, tukana, kejeli, foka, yote ruksa. UTAVUMILIWA TU. lakini kumbuka mwisho wa matusi OKTOBA 25. Baada ya hapo ukitukana utakamatwa.haidhuru nani kashinda utakabiliana na mkono wa sheria. iwe Magufuli iwe Lowassa au Mghwira, hakuna wa kukutetea. hakuna aliekutuma uvunje sheria za nchi. chunga sana.

Wacha kutumia akili za mende wewe. Mnafiki usiye na haya. Hakuna mwana UKAWA mwenye kufurahia kifo cha Mchungaji. Kumbuka kumsema binadamu mwenzio kwamba hastahili kuwepo mahali fulani kwasababu yeye ni Mgonjwa hilo ni kumnyanyapaa. Watu wanatumia ugonjwa wa Mtu kama chanzo chakuombea kura. Hii ni hatari kwani hakuna mwenye ahadi na mungu. Ulitakiwa kukemea dharau zinazotolewa na wana CCM kwanza ndipo uje ulete ushuhuda wako hapa. Wana UKAWA unaosema wemefurahi NI WAPI? By the way kama hujui nini maana ya Kikwazo basi usiandike tena neno hilo. Jumapili njema.
 
Ni fundisho kwetu sote kutotumia ugonjwa wa mtu kama mtaji wa kisiasa. Rip mtikila.
 
Pia tukumbuke viongozi wa dini nadhani ni CCT au Jukwaa la Wakristo walitoa tamko/maneno makali sana juu ya mwenendo wa uendeshaji wa Nchi (nadhani ilikuwa wakati wamchakato wa katiba mpya warumi 1:28 -30"Na kama walivyo kataa kuwa na Mungu katka fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa wayafanye yasiyowafaa. wakajawa na udhalimu wa kila namna, uovu na tamaa na ubaya; wamejawa na husuda, na uuaji, na fitina, na hadaa, watu wa nia mbaya, wenye kusengenya, wenye kusingizia, wenye kumchukia Mungu, wenye jeuri, wenye kutakabari, wenye majivuno, wenye kutunga mabaya........". Mungu katika Isaya 55:8..... " anasema Maana mawazo yangu si mawazo yenu wala njia zenu si njia zangu asema Bwan. Kwa maana kama vile Mbigu zilivyo juu sana kuliko nchi kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko zenu na mawazo yangu kuliko mawazo yenu" na kwasababu Mungu analiangalia neno lake alitimize naamini. so naamini pia Hilo tamko lenye maneno ya Mungu yatatimia 100%. Pia tusisahau Barua ya Askofu Kakobe Kwa Mkuu wa Nchi.
 
Niko mahal nafurahia sana kufa kwa huyo kenge, afie mbele. Alijifanya mungu kwa kukashfu wengine wagonjwa wa kufa kafa yeye, safi sana.
 
Mkuu Mimi sipati jibu watu walisema papa john Paulo ni mgojwa hawakuga eti ukisema lowasa ni mgojwa unakufa? Hii sielewi kabisa,


Dada naona umepanic sana lete kilichonona hiko tule achana na wafu...

lete boflo hilo...
 
Back
Top Bottom