MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,267
Endelea kushupaza shingo tu, ila elewa neno hili, MUNGU HADHIHAKIWI, kumuita binadamu mwezio aliye hai "MAREHEMU" ni dhihaka kubwa! Hii ni mifano tu MUNGU anawapa kuwa Ugonjwa sio kifo kama hamtaki kuelewa basi bakini hivyo hivyo!Ujinga wewe sema mtatupukutisha, usimsingizie mungu,na hakuna mungu wa namna hiyo,kama ukisema MTU ni mgojwa unakufa basi summaye angekuwa ameishakufa alipomtaja kikwete,