mtafitimakini
Senior Member
- Apr 9, 2014
- 160
- 28
Lowasa 2015 mabadiliko...ukawa ushindi lazima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh...kafa kabla ya Lowassa?Mungu hadhihakiwi
Ajidhaniaye amesimama aaangalie asijeanguka!!
Lowasa 2015 mabadiliko...ukawa ushindi lazima
Lowasa 2015 mabadiliko...ukawa ushindi lazima
Alimkashifu lowasa kuhusu ugonjwa,mpaka akatishia kumshitaki mahakamani kwamba kwa nini anagombea wakati ni mgonjwa
Teh teh teh teh... Mkuu mbavu zangu!Mimi nazihurumia hizo nyanya zilizomwagika chini
Tunajua nguvu ya mafisadi inavyofanya kazi ...lakini itashindwa tu
Duh! ............... MAADUI WALIKUWA WANAMFUATILIA KWA NYUMA.......... ALIPOJISHTUKIA AKAONGEZA SPIDI.............. NAO WAKAFURAHI NA KUZIDI KUMFUKUZA! ................... WALIPOFIKA SEHEMU HATARISHI, YENYE KONA NYINGI NYINGI, WALIMUOVATEKI KWA SPIDI KALI NA KUMTWANGA 'LASER BEAM' YA MACHONI ................!
![]()
Mungu wwnu huyo ni yupi?
Kifo cha Mtikila ni pigo kwa ccm na siyo kwa wapenda mabadiliko
Safari njema mwanausalama mwenzetu. Nasikitika tu kwamba CCM tumekutumia na sasa ulikuwa huna thamani tena umeamua kujiondokea. Mungu hapendi dharau na majigambo.
Yaani ngiri anatumia akili kuliko wewe kilaza
Ahsante, keep it up! SPREAD THE ALARM!
Dah. Kwanza ni Kushangae Mkuu Wangu, Yaelekea Wewe Ni Paganizim, Maana Kama Ungekuwa Na Dini Basi Ungejua Hata Handiko Lisemalo Mamlaka Zote za Dunia Utoka Kwa Mungu.
Mungu siyo Mjinga Awaachie Wanasiasa Wavurude Mambo Ya Nchi Na Watu Wake Ndugu yangu, Ndiyo Maana Sote Tunaamini Mungu. Hata Wanasiasa uwahita Watumishi Wa Mungu Wafungue Mikutano Kwa Sala.
Sasa Kama Mungu Hausiki Watumishi wa Mungu wanaitwaje Kuombea Mikutano Na Amani Ya Nchi?
Nenda Kwenye Maandiko Yote Uone Kama Mungu Hausiki Katika Tawala Za Dunia, unapo andika Kitu Ni vyema Ukatafakari Kwanza Au kama uelewi basi tafuta kuelimishwa Mkuu wangu.
Mkuu Leo umekula nini ?? Kwa Mara ya kwanza umetoa comment bila kuendeshwa na mhemko