TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

Bora Kafa tupumue kidogo.
Na wanafiki wote wengine wafe tu km kina Gwajima and Co.
Tumboni mwa dunia ni bora kwao
Kuliko mgongoni pake.

Kazi yao kutapeli watu tu na kuleta Unafiki na Uchonganishi ktk Jamii.
 
Mm yeye ndiye kawa wa kwanza kutoa rambirambi!!!
 
Mtu akiambiwa mgonjwa hafai kushika madaraka haina maana atakufa Bali hoja ni kwamba akiwa kiongozi mwenye maradhi atashindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo!

Mtikila hakusema Lowassa atakufa, Bali alisema si busara kumpa dhamana ya watu m58 kiongozi mgonjwa!

Si haramu kumzuia MTU kufanya kazi Fulani kutokana na ugonjwa flani

Tuache UPOTOSHAJI

Ukawa hata wao wenyewe hawajitambui, wanakurupuka tu na mihemko unadhani hilo wanaliona!! Wataongea kila kitu kujifariji na kumsingizia Mungu kumbe huo ni muungu wao.
 
aache unafiki wakati ndie msuka dili hiii ikulu hiiii jamani laaaaaa mtatumaliza ila ikulu utaisikia ............
 
Yaan nimefarijika sana kuona salamu hizi mpaka nimepata nguvu.
Tuko huku vijijini mwanza tunakutafutia kura nyumba baada ya nyumba niliposoma ujumbe huu nguvu imeongezeka tunapiga mzigo hadi jion.

Viva lowasa
 
Mnafiki mkubwa,angesubiri afungue kesi ya kumpinga, hukumu itolewe kwanza Kabla ya kufanya anayoyafanya. Lakini mmejua kuwamziki wa Mtikila hamuuwezi, maana hajawahi kushindwa kesi yoyote
 
Jamani ajali ni ajali. Tumuombee Mchungaji Mtikila apumzike kwa amani. Kuhusu usemi wake kuhusu afya ya Lowassa kwani inahusiana nini na hili? Lets not be superstitious!! Ninadhani Katiba ya nchi inacho kipengele kuhusu afya ya raisi, kwani asipokuwa na uwezo wa kiafya (kimwili na kiakili majukumu atapewa mwingine). Na tusubiri tuone, lakini mwenye macho haambiwi tazama.

Acha upagani. Dini gani inayoruhusu kumuombea marehemu awekwe sehemu nzuri baada ya kifo?
 
Napenda kuchukua nafasi hii kwa masikitiko kutuma salamu za rambirambi kwa Familia pamoja na wanachama wa Chama cha DP (Democratic Party) kufuatia kifo cha Mchungaji Christopher Mtikila kilichotokea asubuhi ya leo tarehe 4 Oktoba 2015. Kwa niaba ya wenzangu katika CHADEMA na UKAWA na kwa niaba ya familia yangu, ninamwomba Mwenyezi Mungu awape faraja wafiwa na amweke Marehemu mahala pema.

Bwana Ametoa. Bwana Ametwaa. Jina Lake Lihimidiwe.

Edward Ngoyayi Lowasa
Namkubali sana huyu jamaa, mwenzake makufuli cha pombe yuko busy na pushup hata haelewi kinachoendelea cc Mr Chin
 
Last edited by a moderator:
Kwa mara kwanza katika historia mgombea wa CCM kuhofia kuibiwa kura.
 

Attachments

  • 1443964098015.jpg
    1443964098015.jpg
    54.6 KB · Views: 304
Nimepokeakwa mshtuko taarifa ha kifo cha Mch. Mtikila. Ni miongoni mwa wanasiasa waliotoa mchango mkubwa sana katika kupigania utawala wa demokrasia na haki za raia. Historia ha demokrasia haiwezi kuandikwa kwa usahihi bila kumtaja Mtikila. Mungu ailaze roho yake pema peponi na kuwafariji wafiwa wote na wote walioguswa na msiba huu.RIP
 
Ni kosa kudhihaki au kuhukumu, kwa kutoa lugha za kashfa lakini si kosa ku criticise afya ya mkombea kwa nafasi ya urais..Taifa letu linaitaji rais mwenye afya njema physically and mentally ili aweze kutimiza majukumu yake vizuri. Hilo si kosa na its a constructive criticism, hayo mengine yakuitana marehemu, jeneza sasa hapo ni kuvuka mipaka. Maoni yangu ni kwamba Lowassa is not physically fit to be a president. Hata mikutano kuhutubia mfano umoja wa mataifa amesimama kwa saa moja au bunge ataweza? hiyo ni kasoro nani bora angepumzika kuangalia afya yake na aishi maisha ya amani na furaha.

…na je tukimchagua mzima na baada ya kama wiki moja akapatwa na maradhi akiwa ikulu inakuaje?…
 
"Ajuaye bwana mola, kea mzima kuwa mfu, mgonjwa kuwa salamaa eeeh, tunawapa pole.

Kipindi chenu chawapeni pooole, wooote twawapeni pole"

Hayo yalikuwa mashairi ya kipindi cha RTD cha "Pole", maalum kwa kuwapa wagonjwa pole.
 
Kuna mgombea kapeti lake la kwenda Ikulu limejaa damu za wabaya wake. Na bado wapambe wake wanasema kuna wengine bado watakufa kwasababu wamemkashifu. Ndio maana bendera ya chama chake ina rangi nyekundu.

Mungu TUSAIDIE.

Queen Esther

Wewe wasema, niliisema hii kitu ya kuoga damu ili upande ikulu na kuwapumbaza watu wakupende bila kujiua Masikini Tanzania yetu
 
Back
Top Bottom