Mch. Daniel Mgogo: Kikokotoo cha pensheni ni wizi na utapeli

Mch. Daniel Mgogo: Kikokotoo cha pensheni ni wizi na utapeli

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


Mchungaji anahoji wanaposema wanakupa kidogo kingine wanakutunzia, wanatunza kama kina nani? Kama mstaafu akitumia vibaya pesa wao inawauma nini? Mbona mishahara hawakuwa wananipa kidogokidogo. Huko ni kushikiana akili na kumfanya mstaafu kama katoto ambako kakipewa zawadi na mgeni basi mama anakashikia ili kasitumia vibaya
 
View attachment 2908689

Mchungaji anahoji wanaposema wanakupa kidogo kingine wanakutunzia, wanatunza kama kina nani? Kama mstaafu akitumia vibaya pesa wao inawauma nini? Mbona mishahara hawakuwa wananipa kidogokidogo. Huko ni kushikiana akili na kumfanya mstaafu kama katoto ambako kakipewa zawadi na mgeni basi mama anakashikia ili kasitumia vibaya
Hajui maana ya hifadhi ya jamii. Kachemka. Hifadhi ya Jamii sio Akaunti ya Akiba benki.
 
View attachment 2908689

Mchungaji anahoji wanaposema wanakupa kidogo kingine wanakutunzia, wanatunza kama kina nani? Kama mstaafu akitumia vibaya pesa wao inawauma nini? Mbona mishahara hawakuwa wananipa kidogokidogo. Huko ni kushikiana akili na kumfanya mstaafu kama katoto ambako kakipewa zawadi na mgeni basi mama anakashikia ili kasitumia vibaya
Hakuna mahali anapotunziwa mtumishi pesa yake bali serikali inawaibia watumishi pesa zao.Kuna mtumishi amestaafu taasisi fulani na alikuwa mlinzi.basic yake ilikuwa 360,000 malipo ya mkupuo kupewa m8 na anachoingiziwa kila mwezi ni laki moja na nusu tu.
 
hela zinaingizwa na kutolewa zikaafanye mambo mengi, siku umestaafu hela hamna unabidi upewe kdg kdg .... ni wizi huo, bora hii sheria ingesema tuweke hela bank na sio huko nssf, ili siku nkistaafu ndo niruhusiwe ku draw fedha zangu, kias ntachotaka ndo ntatoa kdg kdg mpaka nizimalize, hii sheria ni ya hovyo bila kujali tumeicopy mahali au tumeitunga wenyewe, ubaya ni kwamba waliotunga hii sheria wakimaliza miaka yao mitano wanapewa mzigo wao wote, ndio maana hawajali maumivu ya kikokotoo kwa wastaafu
 
View attachment 2908689

Mchungaji anahoji wanaposema wanakupa kidogo kingine wanakutunzia, wanatunza kama kina nani? Kama mstaafu akitumia vibaya pesa wao inawauma nini? Mbona mishahara hawakuwa wananipa kidogokidogo. Huko ni kushikiana akili na kumfanya mstaafu kama katoto ambako kakipewa zawadi na mgeni basi mama anakashikia ili kasitumia vibaya
CCM MBELE KWA MBELE
 
hela zinaingizwa na kutolewa zikaafanye mambo mengi, siku umestaafu hela hamna unabidi upewe kdg kdg .... ni wizi huo, bora hii sheria ingesema tuweke hela bank na sio huko nssf, ili siku nkistaafu ndo niruhusiwe ku draw fedha zangu, kias ntachotaka ndo ntatoa kdg kdg mpaka nizimalize, hii sheria ni ya hovyo bila kujali tumeicopy mahali au tumeitunga wenyewe, ubaya ni kwamba waliotunga hii sheria wakimaliza miaka yao mitano wanapewa mzigo wao wote, ndio maana hawajali maumivu ya kikokotoo kwa wastaafu
Kungekuwepo na mifuko binafsi ya pensheni na watu wachague ya kujiunga nayo.
 
Hifadhi ya jamii ni kama akaunti ya benki ya fixed deposit ya muda mrefu, inatakiwa upewe pesa yako kiasi chochote unachotaka ukistaafu au kuacha kazi kwa vigezo.
Sio kweli ukiwa na uhai mrefu utalipwa pesa nyingi kuliko ulizochangia

Mfano mtu alifanya kazi na kuchangia Kwa miaka 10 akastaafu na miaka 60 akaishi miaka 100 pension atalipwa miaka 40 Kila mwezi.Sasa hovi wako wastaafu walistaafu miaka ya 1970 Bado wanalipwa pension kila mwezi ingekuwa walichukua Chao chote saa hii wasingekuwa na kipato Tena
 
View attachment 2908689

Mchungaji anahoji wanaposema wanakupa kidogo kingine wanakutunzia, wanatunza kama kina nani? Kama mstaafu akitumia vibaya pesa wao inawauma nini? Mbona mishahara hawakuwa wananipa kidogokidogo. Huko ni kushikiana akili na kumfanya mstaafu kama katoto ambako kakipewa zawadi na mgeni basi mama anakashikia ili kasitumia vibaya
Ni utapeli tupu wa CCM, mbona wabunge wao wanapewa zote tena nyingi?
 
Sio kweli ukiwa na uhai mrefu utalipwa pesa nyingi kuliko ulizochangia

Mfano mtu alifanya kazi na kuchangia Kwa miaka 10 akastaafu na miaka 60 akaishi miaka 100 pension atalipwa miaka 40 Kila mwezi.Sasa hovi wako wastaafu walistaafu miaka ya 1970 Bado wanalipwa pension kila mwezi ingekuwa walichukua Chao chote saa hii wasingekuwa na kipato Tena
Mbona wabunge, wakuu wa Mikoa na Wilaya wanapewa zote?
 
hela zinaingizwa na kutolewa zikaafanye mambo mengi, siku umestaafu hela hamna unabidi upewe kdg kdg .... ni wizi huo, bora hii sheria ingesema tuweke hela bank na sio huko nssf, ili siku nkistaafu ndo niruhusiwe ku draw fedha zangu, kias ntachotaka ndo ntatoa kdg kdg mpaka nizimalize, hii sheria ni ya hovyo bila kujali tumeicopy mahali au tumeitunga wenyewe, ubaya ni kwamba waliotunga hii sheria wakimaliza miaka yao mitano wanapewa mzigo wao wote, ndio maana hawajali maumivu ya kikokotoo kwa wastaafu
Upo sahihi ni utapeli tupu
 
Back
Top Bottom