Mimi huwa nina wazo, Ikiwa Serikali ina nia njema na watumishi wake, Badala ya pesa za kustaafu kuwekwa NSSF siju hawa watu watengenezewe bima inayotoa riba kubwa, pesa unayokatwa kila mwezi iwekwe bima ili baadaye ukistaafua kama hujafa unaenda kuchukua mpunga uliozaa riba.
Lakini hivi sasa serikali inawachezea wananchi akili. Yenyewe inaziweka pesa hizo Bank inavuta riba kubwa tu, mfanya kazi anapostaafu anapewa pesa yake ile ile ambayo hata haikuzaa riba yoyote huo ni wizi wa mchana kwe upee.
Basi nikiaza ajira nifunguliwe saving account bank kwa miaka 35 hizo milioni 100 zitakuwa na kilemba juu, kuliko kunitunzia kihuni.
Lakini hivi sasa serikali inawachezea wananchi akili. Yenyewe inaziweka pesa hizo Bank inavuta riba kubwa tu, mfanya kazi anapostaafu anapewa pesa yake ile ile ambayo hata haikuzaa riba yoyote huo ni wizi wa mchana kwe upee.
Basi nikiaza ajira nifunguliwe saving account bank kwa miaka 35 hizo milioni 100 zitakuwa na kilemba juu, kuliko kunitunzia kihuni.