Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ni wizi mtupu.Hakuna mahali anapotunziwa mtumishi pesa yake bali serikali inawaibia watumishi pesa zao.Kuna mtumishi amestaafu taasisi fulani na alikuwa mlinzi.basic yake ilikuwa 360,000 malipo ya mkupuo kupewa m8 na anachoingiziwa kila mwezi ni laki moja na nusu tu.
Janja janja hii.....Sahihi kabisa
Huko nyuma Hilo zoezi lilishafanyika mtu achukue mkupuo akitaka matokeo yake unakuta mtu kachoka mwingine alikuwa katibu mkuu au mkurugenzi wa shirika unakuta kala Zote kutwa kusumbua watoto,ndugu na marafiki na serikali anabweka Ona ninavyoadhirika nimetumikia serikali vizuri Ona maisha naishi serikali hii hovyo kabisa kumbe alibomoa Hela yote ya mkupuo au alijitosa miradi Hana uzoefu nayo pesa yote ikakata au kimada na pombe nk pesa ikakata
Toka Hilo la mkupuo liondolewe wastaafu wengi hawasumbui Tena watoto ,ndugu,marafiki au waajiri na kuzurura kuomba omba .Ilifika pabaya sana .Walizochukua mikupuo huko nyuma wengi Hali zao mbaya mno
Ana maslahi binafsi kwenye Hilo anawinda fungu la kumiView attachment 2908689
Mchungaji anahoji wanaposema wanakupa kidogo kingine wanakutunzia, wanatunza kama kina nani? Kama mstaafu akitumia vibaya pesa wao inawauma nini? Mbona mishahara hawakuwa wananipa kidogokidogo. Huko ni kushikiana akili na kumfanya mstaafu kama katoto ambako kakipewa zawadi na mgeni basi mama anakashikia ili kasitumia vibaya
Duniani kote haiko hivyo Sasa hivi hakuna nchi hata moja yenye huo mfumo wa kulipa zote za pension kwa mkupuo Kwa mwajiriwa Mstaafu haipo dunianiMtu astafu apewe pesa zake zoote
Hajui maana ya hifadhi ya jamii. Kachemka. Hifadhi ya Jamii sio Akaunti ya Akiba benki.
Alifanya kazi miaka mingapi Kabla ya kustaafu tuanzie hapo nikupigie hesabu ueleweHakuna mahali anapotunziwa mtumishi pesa yake bali serikali inawaibia watumishi pesa zao.Kuna mtumishi amestaafu taasisi fulani na alikuwa mlinzi.basic yake ilikuwa 360,000 malipo ya mkupuo kupewa m8 na anachoingiziwa kila mwezi ni laki moja na nusu tu.
Wacha kiherehere wewe unaijua Dunia yoote? Tukikuletea nchi watu wanalipwa mabilioni utasemaje? Kwanza yote manaka Nini maana bado hatazamani ilikuwa unalipwa Kila miezi mitatuDuniani kote haiko hivyo Sasa hivi hakuna nchi hata moja yenye huo mfumo wa kulipa zote za pension kwa mkupuo Kwa mwajiriwa Mstaafu haipo duniani
Weka tu usiwe na shida weka hoja hujibiwa Kwa hojaWacha kiherehere wewe unaijua Dunia yoote? Tukikuletea nchi watu wanalipwa mabilioni utasemaje? Kwanza yote manaka Nini maana bado hatazamani ilikuwa unalipwa Kila miezi mitatu
sijawahi mumwona mtu huyu akihuburi neno 🐒View attachment 2908689
Mchungaji anahoji wanaposema wanakupa kidogo kingine wanakutunzia, wanatunza kama kina nani? Kama mstaafu akitumia vibaya pesa wao inawauma nini? Mbona mishahara hawakuwa wananipa kidogokidogo. Huko ni kushikiana akili na kumfanya mstaafu kama katoto ambako kakipewa zawadi na mgeni basi mama anakashikia ili kasitumia vibaya
Ubunge sio kazi ya ajira pensionable Haina pension Ina terminal benefit tu mikataba wa miaka mitano ikiishaVipi hao wabunge wanaopewa pesa yao yote kwa mkupuo baada ya miaka mitano mbona wao hatuwaoni wakisumbua watoto na wajukuu zao? Au wao pekee ndio wanaakili ya kutunza na kuwekeza pesa kuliko wastaafu? Hata kama mstaafu akitumbua pesa zake zote na akasumbua watoto na wajukuu zake hiyo inaihusu nini serikali hayo si mambo binafsi kati ya babu/baba na watoto/wajukuu.
Huo ni ujinga kwanini fedha ya kwako upangiwe matumizi na mwingine.mbona wabunge wapo tu lkn waliishachukua chai?Sio kweli ukiwa na uhai mrefu utalipwa pesa nyingi kuliko ulizochangia
Mfano mtu alifanya kazi na kuchangia Kwa miaka 10 akastaafu na miaka 60 akaishi miaka 100 pension atalipwa miaka 40 Kila mwezi.Sasa hovi wako wastaafu walistaafu miaka ya 1970 Bado wanalipwa pension kila mwezi ingekuwa walichukua Chao chote saa hii wasingekuwa na kipato Tena
Wewe hujielewi umezoea kuhubiriwa habari za mashetani na kuligwa!!sijawahi mumwona mtu huyu akihuburi neno 🐒
ni life tips tu, kweli ni mchungaji huyu 🐒
Wewe hujielewi umezoea kuhubiriwa habari za mashetani na kuligwa!!
Wachungaji wanapaswa kufundisha namna Bora ya kuiishi ili kumpendeza Mungu sio kukariri tuu vifungu vya maandiko!
Utachelewa sana kijana
Pension ya mwezi ni kumsaidia Mstaafu walau asiumie sana kipato cha mwezi kisiwe mbali sana na alichokuwa Akipata akiwa kaziniNafikiri sasa ifike mahali kila mfanyakazi wakati anaanza ajira yake ya kwanza achague mwenyewe wakati anajiunga na hii mifuko kuwa anataka malipo yake yawe kwa mfumo gani kati ya pensheni au mkupuo. Hii habari ya serikali kungángánia pesa za watu waliotumikia nchi hii kwa jasho na damu tena kwa uadilifu mkubwa eti kwa kisingizio kuwa watasumbua watoto na wajukuu zao ni kuwafanya hao wastaafu kuwa hawana akili. Na kama hawana akili wamefanyaje kazi serikali na sekta binafsi kwa miaka yote mpaka wakastaafu?
Vipi hao wabunge wanaopewa pesa yao yote kwa mkupuo baada ya miaka mitano mbona wao hatuwaoni wakisumbua watoto na wajukuu zao? Au wao pekee ndio wanaakili ya kutunza na kuwekeza pesa kuliko wastaafu? Hata kama mstaafu akitumbua pesa zake zote na akasumbua watoto na wajukuu zake hiyo inaihusu nini serikali hayo si mambo binafsi kati ya babu/baba na watoto/wajukuu.
Kwa kifupi kikokotoo ni ujanja ujanja fulani tu. Walau basi huyu mstaafu angepewa asilimia 75% kwa mkupuo halafu hiyo 25% iliyobaki ndio iwe analipwa kidogo kidogo kama pensheni. Hao wachache wa kutumbua pesa yote wapo tu kila ofisi hawakosekani lakini wasizuie walio wengi wenye maono ambao wangepewa pesa zao kwa mkupuo wengewekeza na kula uzee wao kwa raha baada ya kustaafu.
Kikokotoo ni donda sugu. Dr. Samia analitibu hili donda sugu soon kabla ya 2025. Mama anaweza lakini pia linapoozwa makali kwa kutoa madaraja mserereko
Hicho kikotoo ujue humo ndani zimo pesa ambazo sio zako za mwajiri aliyekuchangia za kwako pekee usingeweza kupata pesa ya maana wakisema waturudishie zako tu ulizochanga piga hesabu mwenyewe piga hesabu ya hivyo michango vyako miaka yote halafu chukulia unastaafu Leo utaambulia shilingi ngapi ukiondoa michango ya mwajiri
Kaombe statement ya michango mifuko ya pension utaona ulichongia wewe Hadi Leo jumlisha kama wakiamua wakupe hiyo Yako uone kitakachukuta utaondoka na umaskini
Kipande kile Cha mwajiri kujumlishwa kwenye kikokotoo ni kukusaidia wewe utoke vizuri kama mwajiriwa
hujui kitu wewe andaziHajui maana ya hifadhi ya jamii. Kachemka. Hifadhi ya Jamii sio Akaunti ya Akiba benki.