na huo ndio ukweli.Kuja kwa kikokotoo ni matokeo ya CCM kukosa hela ya kampeni 2015 ambapo walikopa hela za mifuko ya jamii bila security yoyote ile... Alipoingia JPM Ikabidi atafute namna ya kuwalipa wastaafu cha kwanza akaunganisha mifuko yote ya mafao maana kabla ilikuwa imegawayika akaleta NSSF NA PSSSF pia akabidili kikokotoo kutoka kupewa asilimia 75% ya mafao mpaka kupewa asilimia 25%
Kwa hiyo hili la kikokotoo mtapiga sana kelele haliwezi badilika leo hakuna hela
Watu watapiga kelele ila ukwel hela za kuwapa hakunana huo ndio ukweli.
Atleast wangefanya 70% wakupe wao wabaki Na 30%Serikali inaibiwa wazee wastaafu alafu mjinga mmoja anaweza niamboa niombee sirkali labda niombee ianguke!!
Unamkopa mstaafu kinguvu alafu unasema eti unamuwekea ela zake!! Nchi hii Kwamba eti tunalo "bunge" ni jambo aibu saaana... Labda wanakutana kushindana mavazi na kumsifia Maza kwakuupiga mwingi nawao kupigana mwingii humo.
Ukiacha kazi before kustaafu ndo unapewa pesa zote kwaniPesa zenu zinapigwa kwa kujenga miradi mfu mfu isiyokuwa na feasibilty.
Wabunge wakimaliza muhula wao wanachukua zote wanasepa. Makapuku muendelee kupigwa tu. Mimi nasubiri ikifika 120M mwaka 2026 napiga chini kazi nachota changu mapema.
Fao la kukosa kazi lipoje? Au wamebadilisha sheria. Maana sitaacha kwa ku resign unafanya ufukuzwe (absenteeism labda)Ukiacha kazi before kustaafu ndo unapewa pesa zote kwani
Mimi nakubaliana na wewe.Hajui maana ya hifadhi ya jamii. Kachemka. Hifadhi ya Jamii sio Akaunti ya Akiba benki.
Pesa zenu zinapigwa kwa kujenga miradi mfu mfu isiyokuwa na feasibilty.
Wabunge wakimaliza muhula wao wanachukua zote wanasepa. Makapuku muendelee kupigwa tu. Mimi nasubiri ikifika 120M mwaka 2026 napiga chini kazi nachota changu mapema.
Mkuu wewe ni umbwa sana kama Maghayo ndio nimetokea kwenye familia masikini sana jombaa. Kama wewe unaona M120 sio hela ujue mamako amekulea kwa kuuza vitumbua kwa mtaji wa 1000 kmalmamaaaaakoooooHutabaki kijana always waweza lemaa Kwa ajali Nk Pension usichezee Kwa theory za ajabu ajabu
Milioni 120 unaiona nyingi lofa wewe.Kuzaliwa familia ya kimaskini shida sana Kwa hiyo milioni 120 ukipata unaona tayari utatoka kimaisha? Aisee kemea Hilo pepo la umaskini likutoke Kwa jina la Yesu .Una pepo la umaskini wewe
Mbunge sio mwajiriwa pensionable ndio maana akimaliza muda Hela akibomoa ya Hela ya mkupuo kampeni uchaguzi ujao utakuta Hana uwezo wa kufanya kampeni akitokea mwenye pesa kumzidi anatolewa kirahisi tu na nafasi yake kuchukuliwa na mbunge mwingine
Mbusii weweeMkuu wewe ni umbwa sana kama Maghayo ndio nimetokea kwenye familia masikini sana jombaa. Kama wewe unaona M120 sio hela ujue mamako amekulea kwa kuuza vitumbua kwa mtaji wa 1000 kmalmamaaaaakooooo
Wamesema ukistaafu unalipwa kwa miaka 12 tu.ukitoboa miaka 12 huko mbele utajua mwenyewe utaishije.si wizi huo.Sio kweli ukiwa na uhai mrefu utalipwa pesa nyingi kuliko ulizochangia
Mfano mtu alifanya kazi na kuchangia Kwa miaka 10 akastaafu na miaka 60 akaishi miaka 100 pension atalipwa miaka 40 Kila mwezi.Sasa hovi wako wastaafu walistaafu miaka ya 1970 Bado wanalipwa pension kila mwezi ingekuwa walichukua Chao chote saa hii wasingekuwa na kipato Tena
Sio kweli ukiwa na uhai mrefu utalipwa pesa nyingi kuliko ulizochangia
Mfano mtu alifanya kazi na kuchangia Kwa miaka 10 akastaafu na miaka 60 akaishi miaka 100 pension atalipwa miaka 40 Kila mwezi.Sasa hovi wako wastaafu walistaafu miaka ya 1970 Bado wanalipwa pension kila mwezi ingekuwa walichukua Chao chote saa hii wasingekuwa na kipato Tena
Kuna wastaafu nimekutana nao Shinyanga, hawajalipwa mafao yao huu ni mwaka wa pili unaenda.Baadhi ya mifuko kama NSSF na PPF Walikuwa wanatoa asilimia 25 asilimia 75 zinabaki kwao
Kwa walioko NSSF na PPF kikotoo kwao Kiko vizuri
Shida ilikuwa serikalini Walikuwa hawachangii chochote kwenye mifuko ya pension Walikuwa hawakatwi ili ikifika kulipwa mafao kikotoo kilitumika cha juu sana mifuko ya kulipa wafanyakazi wa serikali ikakaribia kufiisika ikaamuliwa waanze kuchangia na wao miaka ya 1990 na sababu mifuko mwingine ilikuwa hoi hasa ya serikali ikaonekana Kuna umuhimu yote iunganishwe ibakie mifuko miwili tu ya pension ya wafanyakazi wa umma na sekta binafsi.Baada ya kuunganishwa ikabidi kiwepo kikokotoo kimoja Cha wafanyakazi wote wa umma ndio kikaja hicho Cha sasa Kwa upande mmoja kunusuru mfuko kufa.Watu pendion wengine walikuwa wakikaa Hadi miezi sita bila kulipwa pension ya mwezi na hata ya mkupuo walikuwa waweza fuatilia Hadi mwaka ndipo itoke sasa hivi wanalipwa Kwa wakati bila shida