Mch. Josephat Gwajima: Maeneo mengine hatukuhitaji kupiga kura ili kushinda bali kutaja jina la John P. Magufuli tu, kura zilipatikana

Mch. Josephat Gwajima: Maeneo mengine hatukuhitaji kupiga kura ili kushinda bali kutaja jina la John P. Magufuli tu, kura zilipatikana

Sina chama....ila sipendi uongo na unafiki.

Hapo Gwajima alimaanisha

"" Hatukuhitaji kupiga kampeni....""
.....Yes, kwa kuwa amri na mamlaka yako pekee ya "uRais" yalitosha kutumika ili kila mbunge na wewe Rais kutangazwa mshindi kwa njia zozote zile...!!

Halafu kumbuka na hii;

".....nimekuteua kuwa mkurugenzi wa h/m/mji/manispaa/jiji, nimekupa Gari, nyumba nzuri na mshahara mnono HALAFU UMTANGAZE MPINZANI AMESHINDA UCHAGUZI WOWOTE uone kitakachokutokea...!!", Rais John Pombe Magufuli

Endelea kutokuwa na chama tu ndugu...

Lakini jifunze pia kutumia akili na ufahamu wako vyema ili kujua uongo na ukweli ili uwe na nafasi ya " kuchukia" uongo kwa haki...!
 
Hata hatujafika mbali sana, tayari wanaanza kusema waziwazi wenyewe mbinu haramu na za wizi wa kura walizotumia kushinda uchaguzi huu.

Katika video hii inayomwonesha mbunge mpya wa CCM - Jimbo la Kawe - DSM, Mch. Josephat Gwajima kuanzia dakika ya 8:50 ukitazama na kumsikiliza bila kujua ana kwa kujua asemacho, anaeleza jinsi jina la Rais John P. Magufuli lilivyotumika kuwapatia kura bila kutegemea watu (voters) kupiga kura.

Na hiki ndicho kinacholakamikiwa na vyama shindani vilivyopambana na CCM ya Magufuli katika uchaguzi ulioisha wiki juzi...

Wanasema kuwa huu haukuwa uchaguzi bali maigizo tu ya uchaguzi kwa sababu washindi walikuwa tayari wameshaandaliwa akiwemo Gwajima mwenyewe ambaye kwa kinywa chake anathibitisha hili.

Hakika kumbe ni kweli kabisa kuwa, MDOMO ULIPONZA KICHWA!

Hii maana yake ni kusema kuwa, kwa kuwatumia watu wao, walienda kwa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi wa halmashauri za wilaya/miji/manispaa/majiji ambao ni wateule wa Rais Magufuli na kutoa amri kuwa.

"...umeteuliwa na Rais John Pombe Magufuli, amekupa mshahara mzuri na gari nzuri. Sasa anasema Mch. Josephat Gwajima ni lazima umtangaze kuwa mshindi ubunge jimbo la Kawe..."

Hivi ndivyo jina la Rais John Pombe Magufuli lilivyotumika kuleta ushindi. Je, unahitaji wapiga kura hapa kukupigia kura?



Kinachonipa shida na taabu mimi zaidi ni ushiriki wa Mchungaji huyu, mtumishi wa Mungu kwenye uharamia na unyang'anyi huu wa haki za wananchi mchana kweupe bila yeye kuukemea na kuukataa.

Je, mchungaji huyu anaweza kusimama madhabahuni na kuukuemea uovu na unyang'anyaji wowote iwapo yeye mwenyewe akiwa mshiriki mshiriki na sehemu ya unyang'anyi huo?

I am afraid to say this, that he might have a bad ending like his counterpart the late Rev. Getrude Lwakatare!

You spinning doctors. Why are you always continue to become a curse to this nation? Askofu Gwajima kasema vizuri "wamebebwa na perfomance ya JPM na rudia wamebebwa na perfomance ya JPM." Hili nalo ni gumu kueleweka unless unamatatizo flani kichwani. Wabunge wa CCM chama tawala wamebebwa na Perfomance ya Mh Rais JPM na serikali yake. Wabunge wa CCM wamebebwa na Perfomance ya JPM kwa maana hiyo na serikali aliyoiongoza.

Kinyume cha hivyo kwa maneno mengine huko nyuma kabla ya serikali ya awamu ya 5 baadhi ya wabunge wa CCM waligharimiwa na utendaji wa hovyo wa serikali ya CCM. Sikumtaja mtu hapa tafadhalini.
 
Hata hatujafika mbali sana, tayari wanaanza kusema waziwazi wenyewe mbinu haramu na za wizi wa kura walizotumia kushinda uchaguzi huu.

Katika video hii inayomwonesha mbunge mpya wa CCM - Jimbo la Kawe - DSM, Mch. Josephat Gwajima kuanzia dakika ya 8:50 ukitazama na kumsikiliza bila kujua ana kwa kujua asemacho, anaeleza jinsi jina la Rais John P. Magufuli lilivyotumika kuwapatia kura bila kutegemea watu (voters) kupiga kura.

Na hiki ndicho kinacholakamikiwa na vyama shindani vilivyopambana na CCM ya Magufuli katika uchaguzi ulioisha wiki juzi...

Wanasema kuwa huu haukuwa uchaguzi bali maigizo tu ya uchaguzi kwa sababu washindi walikuwa tayari wameshaandaliwa akiwemo Gwajima mwenyewe ambaye kwa kinywa chake anathibitisha hili.

Hakika kumbe ni kweli kabisa kuwa, MDOMO ULIPONZA KICHWA!

Hii maana yake ni kusema kuwa, kwa kuwatumia watu wao, walienda kwa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi wa halmashauri za wilaya/miji/manispaa/majiji ambao ni wateule wa Rais Magufuli na kutoa amri kuwa.

"...umeteuliwa na Rais John Pombe Magufuli, amekupa mshahara mzuri na gari nzuri. Sasa anasema Mch. Josephat Gwajima ni lazima umtangaze kuwa mshindi ubunge jimbo la Kawe..."

Hivi ndivyo jina la Rais John Pombe Magufuli lilivyotumika kuleta ushindi. Je, unahitaji wapiga kura hapa kukupigia kura?



Kinachonipa shida na taabu mimi zaidi ni ushiriki wa Mchungaji huyu, mtumishi wa Mungu kwenye uharamia na unyang'anyi huu wa haki za wananchi mchana kweupe bila yeye kuukemea na kuukataa.

Je, mchungaji huyu anaweza kusimama madhabahuni na kuukuemea uovu na unyang'anyaji wowote iwapo yeye mwenyewe akiwa mshiriki mshiriki na sehemu ya unyang'anyi huo?

I am afraid to say this, that he might have a bad ending like his counterpart the late Rev. Getrude Lwakatare!
Mtu pekee anayeweza kufanya kaui hii ya Mh Gwajima kuwa hoja mpaka kuleta uzi hapa jf ni aidha hajawahi kuteleza ulimi katka maongezi yake au hajui kama kunakukosea vinginevyo atakuwa bonge la BWEGE
 
Hata hatujafika mbali sana, tayari wanaanza kusema waziwazi wenyewe mbinu haramu na za wizi wa kura walizotumia kushinda uchaguzi huu.

Katika video hii inayomwonesha mbunge mpya wa CCM - Jimbo la Kawe - DSM, Mch. Josephat Gwajima kuanzia dakika ya 8:50 ukitazama na kumsikiliza bila kujua ana kwa kujua asemacho, anaeleza jinsi jina la Rais John P. Magufuli lilivyotumika kuwapatia kura bila kutegemea watu (voters) kupiga kura.

Na hiki ndicho kinacholakamikiwa na vyama shindani vilivyopambana na CCM ya Magufuli katika uchaguzi ulioisha wiki juzi...

Wanasema kuwa huu haukuwa uchaguzi bali maigizo tu ya uchaguzi kwa sababu washindi walikuwa tayari wameshaandaliwa akiwemo Gwajima mwenyewe ambaye kwa kinywa chake anathibitisha hili.

Hakika kumbe ni kweli kabisa kuwa, MDOMO ULIPONZA KICHWA!

Hii maana yake ni kusema kuwa, kwa kuwatumia watu wao, walienda kwa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi wa halmashauri za wilaya/miji/manispaa/majiji ambao ni wateule wa Rais Magufuli na kutoa amri kuwa.

"...umeteuliwa na Rais John Pombe Magufuli, amekupa mshahara mzuri na gari nzuri. Sasa anasema Mch. Josephat Gwajima ni lazima umtangaze kuwa mshindi ubunge jimbo la Kawe..."

Hivi ndivyo jina la Rais John Pombe Magufuli lilivyotumika kuleta ushindi. Je, unahitaji wapiga kura hapa kukupigia kura?



Kinachonipa shida na taabu mimi zaidi ni ushiriki wa Mchungaji huyu, mtumishi wa Mungu kwenye uharamia na unyang'anyi huu wa haki za wananchi mchana kweupe bila yeye kuukemea na kuukataa.

Je, mchungaji huyu anaweza kusimama madhabahuni na kuukuemea uovu na unyang'anyaji wowote iwapo yeye mwenyewe akiwa mshiriki mshiriki na sehemu ya unyang'anyi huo?

I am afraid to say this, that he might have a bad ending like his counterpart the late Rev. Getrude Lwakatare!
Hahahahah
 
Lugha nyepesi imetumika na Askofu, Jina la Magufuli lilitosha kbs. Hii ni kutokana na utendaji thabiti wenye matokeo dhahiri yanayoonekana ambayo TL alikaza shingo kuyaita maendeleo ya VITU!

Sasa waliogombea kwa kutaja TL imekula kwao, lakini waliogombea kwa kumtaja mchapakazi Magu imelipa hivyo kampeni zilikuwa nyepesi sana.

Hivi kipi kigumu hapo kuelewa!
Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetani tu
 
Alimaanisha kupiga kampeni ila ulimi ukateleza.

Kama kawaida Bavicha mtakomaa na mada za kijinga kama hivi weeee! Hadi ikifika tarehe 01/10/2025 ndio mnaanza kuulizia mambo ya Tume huru.
Wewe Mbona ndiyo mjinga zaidi huko CCM?
 
Huko wanakuelekea chama Chato kitapotea kabisa.

Wabunge wao muda wote wapo kwenye siasa za Twitter na Instagram wakasahau kabisa kuna deni la kushughulikia kero za mwananchi wa kawaida.

Wajipange kwelikweli awamu ya tano sio saizi yao.
Kwani maendeleo ni Hisani za CCM? Maendeleo ni pesa binafsi tokea mfukoni mwa CCM? Kama maendeleo ni pesa za walipa kodi wote basi Tambua kila mpinzani kashiriki kuleta maendeleo
 
You spinning doctors. Why are you always continue to become a curse to this nation? Askofu Gwajima kasema vizuri "wamebebwa na perfomance ya JPM na rudia wamebebwa na perfomance ya JPM." Hili nalo ni gumu kueleweka unless unamatatizo flani kichwani. Wabunge wa CCM chama tawala wamebebwa na Perfomance ya Mh Rais JPM na serikali yake. Wabunge wa CCM wamebebwa na Perfomance ya JPM kwa maana hiyo na serikali aliyoiongoza.

Kinyume cha hivyo kwa maneno mengine huko nyuma kabla ya serikali ya awamu ya 5 baadhi ya wabunge wa CCM waligharimiwa na utendaji wa hovyo wa serikali ya CCM. Sikumtaja mtu hapa tafadhalini.

It's you who you are really a curse to this beautiful nation, not me...!

Maigizo ya uchaguzi kwa kuteka nyara na kuiba kura za wana wa nchi hii waliochagua viongozi wawatakao wao unatuambia "walishinda kwa kubebwa na performance ya Jiwe?"

Which performance are you talking about?...

Tabia za Rais dictator? Rais mbinafsi na fisadi ndiyo avutie watu? Rais ambaye kinafiki kabisa kila siku, kila afanyalo huwa ana _ dictate characters zake za kidikteta ndiye awe catalyst kuwashindia ubunge kina watu kama Gwajima?... Is it a joke or what?

Yaani huyu ndiye awasaidie wabunge wake wengine kama yule wa Njombe fisadi wa ACACIA kushinda wakati yeye mwenyewe akiwa amenyimwa kibali cha Mungu na cha watu pia?...

Acha utani bwana!.... Acha kutuona wajinga bwana kina sisi...!!

Hakika watu kama ninyi kwa kuamua kuutia giza uelewa na ufahamu wenu hata kutoona wala kushindwa kutambua uhalisia wa mambo iwe kwa makusudi ama kwa ujinga wenu, ndiyo mlio laana halisi katika taifa hili...!!

Dude, watu wote timamu wanajua. Mnaojiita "mmeshinda uchaguzi huu" mnajua; Tanzania nzima inajua na dunia yote inajua kuwa, hamkushinda bali mmejitawaza washindi kwa nguvu ya uporaji wa haki za wananchi kwa kuwa mna NGUVU za KIMAMLAKA..!

Huu haukuwa uchaguzi. Haya yalikuwa maigizo ya uchaguzi. Period...
 
It's you who you are really a curse to this beautiful nation, not me...!

Maigizo ya uchaguzi kwa kuteka nyara na kuiba kura za wana wa nchi hii waliochagua viongozi wawatakao wao unatuambia "walishinda kwa kubebwa na performance ya Jiwe?"

Which performance are you talking about?...

Tabia za Rais dictator? Rais mbinafsi na fisadi ndiyo avutie watu? Awasaidie wabunge ake kushinda?...

Hakika watu kama ninyi kwa kuamua kuutia giza uelewa na ufahamu wenu wa kuona na kutambua uhalisia wa mambo kwa makusudi ama kwa ujinga wenu, ndiyo mlio laana halisi katika taifa hili...!!

Dude, watu wote timamu wanajua. Mnaojiita "mmeshinda uchaguzi huu" mnajua; Tanzania nzima inajua na dunia yote inajua kuwa, hamkushinda bali mmejitawaza washindi kwa nguvu ya uporaji wa haki za wananchi...!

Huu haukuwa uchaguzi. Haya yalikuwa maigizo ya uchaguzi. Period...
Tanzania hakuna uchaguzi umefanyika zaidi ya CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetani tu
 
Kwani maendeleo ni Hisani za CCM? Maendeleo ni pesa binafsi tokea mfukoni mwa CCM? Kama maendeleo ni pesa za walipa kodi wote basi Tambua kila mpinzani kashiriki kuleta maendeleo
Ndio wanakwenda kupotea hivyo. Hizi mbwembwe zako hazina msaada wowote.
 
Unadhan atakuelewa huyu zumbukuku???
No, it's you who is " OUT OF CONTEXT"..

Ukitaka kuelewa kuwa uko nje ya muktadha, sikiliza hotuba zote kuanzia Rais wako Pombe, spika wako Ndugai na huyu mchungaji utagundua iko shida.

Mathalani, Gwajima anawafanyia "mockery" wazanzibari zaidi 90% walio kwenye msiba mkuu wa demokrasia ta nchi yao...

Anasema Dr Mwinyi Rais wa Zanzibar kuwa ni gwiji kwelikweli wa siasa kwa sababu amefanikiwa "...kuwageuza kichwa chini, miguu juu wapinzani wake."

Kama wewe ni msikilizaji mzuri na unayeweza kumsoma na kumwelewa mzungumzaji, tazama "body language" ya Mwinyi mara baada ya kauli ile ya Gwajima.

Dr Mwinyi hakuifurahia na ana sababu ya kutofurahia.

Ni kwa sababu mpaka sasa na pengine mpaka kesho, Dr Mwinyi anafanya kila juhudi kuwaunganisha na kuleta mwafaka miongoni mwa Wazanzibari baada ya majeraha ya uchaguzi wa wiki juzi.

Sasa anapotokea mtu "mjinga" tena ndani ya platform ya bunge na mbele yake Rais anatoa matamshi kama yale, bila shaka yanakuwa yanarudisha nyuma jitihada hizo na kutonesha majeraha ya Wazanzubari.

Kwa hiyo, kila kitu kiko inside the context. Wewe ndiye uliye nje ya muktadha. Rudi ndani tafadhali.
 
Kwel ww n nguchiro na zumbukuku pia
Mmh, mmh, jamani muwe waelewa! Mchungaji Gwajima hakumaanisha hivyo mlivyomwelewa ninyi majameni Watz kwa kupindisha mambo!

Alimaanisha umaarufu wa Rais JPM na mapenzi ya wananchi yanayotokana na kazi nzuri aliyofanya ktk miaka 5 iliyopita iliwasaidia na kuwarahisishia wagombea ubunge (na madiwani) ktk kampeni zao.

Na jambo hili ni kweli; binafsi nimeshuhudia. Watu tuliwachagua wawakilishi hawa (walio wengi) kama kumlipa fadhira na shukrani na kumheshi u na kumtia moyo JPM na hata kutekeleza wito au ombi lake kwetu watanzania aliokuwa akisikika mara kadhaa akisema,

Tafadhali nileteeni Mtu huyu! Tafadhali msinichanganyie ..." nk, nk.

Kwa kweli "Jina" la JPM liliwabeba watu wengi, labda wale waliokuwa wamekinaiwa kabisa kama yule Mhuni wa Nkasi Kaskazini. Nasikia ati kuna mpango anaweza kuteuliwa viti maalum vya Rais; wasithubuti. JPM atakuwa amejivunjia heshima mno kwa wananchi. Hafai hata kidogo.

Tunatembelea Nchi jirani za wenzetu zinazotuzunguka; wanatustaajabia sana kwa kuwa na Rais kama JPM; wanatamani angekuwa kwao ili "anyooshe mambo". Wanatuonea gere Watz.

Kwa kweli tunamshukuru Mungu kwa kutupa JPM.

Anyway, Uchaguzi umekwisha ktk hali ya amani; yaliyotokea mabaya wakati wa mchakato mzima wa Uchaguzi yalitokea. Ni bahati mbaya; tusameheane. Nchi hii ni yetu sote, hatuna kwingine kwa kwenda. Tusigombanie fito.

Siasa za vyama vingi tuendelee kuijenga na kuiimarisha taratibu kwani inatakiwa kulelewa na kukua kama mtoto mchanga. Tusikurupuke tukataka tufanye na kuwa ktk viwango vya siasa na demokrasia za mataifa ya Ulaya magharibi na Marekani. Sisi baado sana! Ni "nyumba ya udongo" sisi

MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU MBARIKI JPM
MUNGU IBARIKI AFRIKA
 
Ule haukuwa mkono wangu ulikuwa ni mkono wa Baunsa!!
 
Back
Top Bottom