Mch. Kimaro wa KKKT niliziona Mbio zake nikajua mwisho hautokuwa mzuri

Mch. Kimaro wa KKKT niliziona Mbio zake nikajua mwisho hautokuwa mzuri

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Katika kumtumikia Mungu Kuna dhambi moja inawashusha nakuwapoteza watu wa Mungu wengi, dhambi hii imeandikwa hata ktk maandiko matakatifu.

Neno la Mungu linasema kijapo kiburi na majivuno basi mwisho wake ni kuanguka. Kiburi na majivuno ndio kitanzi cha watu mashuhuri wengi. Unaweza kuniuliza Manisha Nini?
Kabla ya Yulusifa kushushwa duniani Kiburi na majivuno ndio yalikuwa chanzo cha anguko lake. Bwana tupe unyenyekevu.

Yulusifa alikuwa na nguvu na Mamlaka kubwa kule Mbinguni akafika mahali akaona nguvu zake ni sawa na nguvu za Mungu hapo ndipo ukawa mwisho wake na hata leo Dunia imebadilika kwa tukio la yeye kushushwa chini. Ikumbukwe shetani alikuwa na malaika wengine waasi maelfu kwa maelfu nao walishuswa chini.

Je Mchungaji huyu alijiamini Nini hasa kisema wakristo sio waaminifu kama Waislam. Je wajuwa maana ya haya maneno na kile kitamkuta mtu huyu wa Mungu?

Maneno alio yasema ni maneno yasiofaa tena ni maneno yanaweza leta maangamizi ya halaiki pasipo kujuwa ila Asante Mungu Taifa la Tz ni watu wa amani. Mtakumbuka kikaragosi cha mtume kule France kilivyo leta mauwaji ya kutisha sana leo mtu mwenye hadhi ya Uchungaji tena Dr anasimama kwenye mimbari nakusema wakristo ya Kristo sio mwaminifu kama Mtume.

Nibora angenyamaza maana hili haliwezi pita pasipo jibiwa na Mungu mwenyewe. Mch Kimaro mpaka sasa naimani kila mtu anajiuliza akipata wapi moyo wakusimama kwenye madhabahu ya Kristo na kuudhalilisha umma wa wa Kristo ikumbukwe hatuitwi wakrsto tu ila tunaufia ukristo wetu. Sasa mtu mwenye hiyo nadhiri anasema sio mwaminifu kama mwenzake wa upande wa pili. Huyu hafai kusimama ktk madhabahu na ndio maana Sina uhakika kama atarudi.

Swali lakujiuliza je nikweli wakristo sio waaminifu? Na ndugu zetu ndio waaminifu? Mungu ndie atajibu hili mchana tena kweupe.
Mm sio Mungu ila napata kigugumizi ikiwa dhihaka hii kwa wakrsto na kanisa kama itapita salama. Jambo zito linaenda tokea je kwanini?

Jibu nimoja tu Mungu hadhihakiwi chochote apandacho mtu ndicho anachovuna. Aling'aa kama kerubi ila sasa atashushwa ili watu wote wa Dunia na Taifa wajuwe Mungu yupo. Sii vinginevyo.
 
Waafrica kwenye narative zenu.

Ila deep down ni wivu na Chuki.... vinawasumbua.....

Ningekuwa yeye ningeanzisha huduma na maisha yanaendelea

Establishment nyingi Za dini bongo ni wivu pesa na influential power..

Wengine wanaona anapata sana

Sasa turudi kwenye andiko lako,
Unamjua Lucifer na kazi zake kwel au ndio yale yale kujaribu ku justify envy and hate over others.

Yatapita
 
Katika kumtumikia Mungu Kuna dhambi moja inawashusha nakuwapoteza watu wa Mungu wengi, dhambi hii imeandikwa hata ktk maandiko matakatifu...
Huyo mchungaji yuko sawa kwa kauli yake hiyo. Chunguza idadi ya walamba asali, mafisadi, ndoa zilizo kufa, waongo, walaghai wengi ni wakristo.

Halafu kuna kashfa za mapdre na wachungaji dunia kote. Umeisha wahi kusikia kashfa kama hizo kwa mashehe wetu?
 
Huyo mchungaji yuko sawa kwa kauli yake hiyo. Chunguza idadi ya walamba asali, mafisadi, ndoa zilizo kufa, waongo, walaghai wengi ni wakristo.
Halafu kuna kashfa za mapdre na wachungaji dunia kote. Umeisha wahi kusikia kashfa kama hizo kwa mashehe wetu?
Mashehe tena? mbona zipo wazi hujazitafuta tu. Hakuna aliye salama dunia hii.
 
Tatizo la KKKT ni kuishi dunia yao tofauti na uhalisia. Yaani vijana nao wana dunia tofauti wanakwenda na anayewaelewa
 
Huyo mchungaji yuko sawa kwa kauli yake hiyo. Chunguza idadi ya walamba asali, mafisadi, ndoa zilizo kufa, waongo, walaghai wengi ni wakristo.
Halafu kuna kashfa za mapdre na wachungaji dunia kote. Umeisha wahi kusikia kashfa kama hizo kwa mashehe wetu?
Hivi unajua Vibaka, Panyaroad, Kesi za Ulawiti, Ubakaji na Mauaji ukipata takwimu Waislamu ndio wamejaza mahabusu zetu
 
Katika kumtumikia Mungu Kuna dhambi moja inawashusha nakuwapoteza watu wa Mungu wengi, dhambi hii imeandikwa hata ktk maandiko matakatifu...
Kwa nini hukuandika lolote kabla ya tukio la kusimamishwa?
 
Katika kumtumikia Mungu Kuna dhambi moja inawashusha nakuwapoteza watu wa Mungu wengi, dhambi hii imeandikwa hata ktk maandiko matakatifu.

Neno la Mungu linasema kijapo kiburi na majivuno basi mwisho wake ni kuanguka. Kiburi na majivuno ndio kitanzi cha watu mashuhuri wengi. Unaweza kuniuliza Manisha Nini?
Kabla ya Yulusifa kushushwa duniani Kiburi na majivuno ndio yalikuwa chanzo cha anguko lake. Bwana tupe unyenyekevu.

Yulusifa alikuwa na nguvu na Mamlaka kubwa kule Mbinguni akafika mahali akaona nguvu zake ni sawa na nguvu za Mungu hapo ndipo ukawa mwisho wake na hata leo Dunia imebadilika kwa tukio la yeye kushushwa chini.
Ikumbukwe shetani alikuwa na malaika wengine waasi maelfu kwa maelfu nao walishuswa chini.

Je Mchungaji huyu alijiamini Nini hasa kisema wakristo sio waaminifu kama Waislam. Je wajuwa maana ya haya maneno na kile kitamkuta mtu huyu wa Mungu?

Maneno alio yasema ni maneno yasiofaa tena ni maneno yanaweza leta maangamizi ya halaiki pasipo kujuwa ila Asante Mungu Taifa la Tz ni watu wa amani. Mtakumbuka kikaragosi cha mtume kule France kilivyo leta mauwaji ya kutisha sana leo mtu mwenye hadhi ya Uchungaji tena Dr anasimama kwenye mimbari nakusema wakristo ya Kristo sio mwaminifu kama Mtume.

Nibora angenyamaza maana hili haliwezi pita pasipo jibiwa na Mungu mwenyewe. Mch Kimaro mpaka sasa naimani kila mtu anajiuliza akipata wapi moyo wakusimama kwenye madhabahu ya Kristo na kuudhalilisha umma wa wa Kristo ikumbukwe hatuitwi wakrsto tu ila tunaufia ukristo wetu. Sasa mtu mwenye hiyo nadhiri anasema sio mwaminifu kama mwenzake wa upande wa pili. Huyu hafai kusimama ktk madhabahu na ndio maana Sina uhakika kama atarudi.

Swali lakujiuliza je nikweli wakristo sio waaminifu? Na ndugu zetu ndio waaminifu? Mungu ndie atajibu hili mchana tena kweupe.
Mm sio Mungu ila napata kigugumizi ikiwa dhihaka hii kwa wakrsto na kanisa kama itapita salama. Jambo zito linaenda tokea je kwanini?

Jibu nimoja tu Mungu hadhihakiwi chochote apandacho mtu ndicho anachovuna. Aling'aa kama kerubi ila sasa atashushwa ili watu wote wa Dunia na Taifa wajuwe Mungu yupo. Sii vinginevyo.
kafanya utafiti shambani kwake tu akajumuisha
 
Katika kumtumikia Mungu Kuna dhambi moja inawashusha nakuwapoteza watu wa Mungu wengi, dhambi hii imeandikwa hata ktk maandiko matakatifu.

Neno la Mungu linasema kijapo kiburi na majivuno basi mwisho wake ni kuanguka. Kiburi na majivuno ndio kitanzi cha watu mashuhuri wengi. Unaweza kuniuliza Manisha Nini?
Kabla ya Yulusifa kushushwa duniani Kiburi na majivuno ndio yalikuwa chanzo cha anguko lake. Bwana tupe unyenyekevu.

Yulusifa alikuwa na nguvu na Mamlaka kubwa kule Mbinguni akafika mahali akaona nguvu zake ni sawa na nguvu za Mungu hapo ndipo ukawa mwisho wake na hata leo Dunia imebadilika kwa tukio la yeye kushushwa chini.
Ikumbukwe shetani alikuwa na malaika wengine waasi maelfu kwa maelfu nao walishuswa chini.

Je Mchungaji huyu alijiamini Nini hasa kisema wakristo sio waaminifu kama Waislam. Je wajuwa maana ya haya maneno na kile kitamkuta mtu huyu wa Mungu?

Maneno alio yasema ni maneno yasiofaa tena ni maneno yanaweza leta maangamizi ya halaiki pasipo kujuwa ila Asante Mungu Taifa la Tz ni watu wa amani. Mtakumbuka kikaragosi cha mtume kule France kilivyo leta mauwaji ya kutisha sana leo mtu mwenye hadhi ya Uchungaji tena Dr anasimama kwenye mimbari nakusema wakristo ya Kristo sio mwaminifu kama Mtume.

Nibora angenyamaza maana hili haliwezi pita pasipo jibiwa na Mungu mwenyewe. Mch Kimaro mpaka sasa naimani kila mtu anajiuliza akipata wapi moyo wakusimama kwenye madhabahu ya Kristo na kuudhalilisha umma wa wa Kristo ikumbukwe hatuitwi wakrsto tu ila tunaufia ukristo wetu. Sasa mtu mwenye hiyo nadhiri anasema sio mwaminifu kama mwenzake wa upande wa pili. Huyu hafai kusimama ktk madhabahu na ndio maana Sina uhakika kama atarudi.

Swali lakujiuliza je nikweli wakristo sio waaminifu? Na ndugu zetu ndio waaminifu? Mungu ndie atajibu hili mchana tena kweupe.
Mm sio Mungu ila napata kigugumizi ikiwa dhihaka hii kwa wakrsto na kanisa kama itapita salama. Jambo zito linaenda tokea je kwanini?

Jibu nimoja tu Mungu hadhihakiwi chochote apandacho mtu ndicho anachovuna. Aling'aa kama kerubi ila sasa atashushwa ili watu wote wa Dunia na Taifa wajuwe Mungu yupo. Sii vinginevyo.
Neno la Mungu linasema kijapo kiburi na majivuno basi mwisho wake ni kuanguka. Kiburi na majivuno ndio kitanzi cha watu mashuhuri wengi[emoji817][emoji818]
 
Huyo mchungaji yuko sawa kwa kauli yake hiyo. Chunguza idadi ya walamba asali, mafisadi, ndoa zilizo kufa, waongo, walaghai wengi ni wakristo.

Halafu kuna kashfa za mapdre na wachungaji dunia kote. Umeisha wahi kusikia kashfa kama hizo kwa mashehe wetu?
Ndiyo alitakiwa awabadilishe siyo kuwakebehi. Kukiri maana yake kashindwa kazi ya Mungu ya kuwabadilisha hao uliowataja!!!!
 
Angekuwa na kiburi ninafikiri angeamua vinginevyo dhidi ya likizo ya lazima ya siku sitini.

Ninafikiri wivu na fitina za viongozi wa juu yake vimezidi. And it's understandable - human nature.

They want you to do good, but not better than them.
 
Huyo mchungaji yuko sawa kwa kauli yake hiyo. Chunguza idadi ya walamba asali, mafisadi, ndoa zilizo kufa, waongo, walaghai wengi ni wakristo.

Halafu kuna kashfa za mapdre na wachungaji dunia kote. Umeisha wahi kusikia kashfa kama hizo kwa mashehe wetu?
Ni kweli swala la uaminifu waislamu mko vizuri.. lakini swala la umalaya..ukahaba..ulawiti Ni mambo ya watu wa dini zote..dini isikufanye uwe kipofu au zuzu..
 
Huyo mchungaji yuko sawa kwa kauli yake hiyo. Chunguza idadi ya walamba asali, mafisadi, ndoa zilizo kufa, waongo, walaghai wengi ni wakristo.

Halafu kuna kashfa za mapdre na wachungaji dunia kote. Umeisha wahi kusikia kashfa kama hizo kwa mashehe wetu?
Sio Wakristo sema Roman Cathoric.
 
Katika kumtumikia Mungu Kuna dhambi moja inawashusha nakuwapoteza watu wa Mungu wengi, dhambi hii imeandikwa hata ktk maandiko matakatifu.

Neno la Mungu linasema kijapo kiburi na majivuno basi mwisho wake ni kuanguka. Kiburi na majivuno ndio kitanzi cha watu mashuhuri wengi. Unaweza kuniuliza Manisha Nini?
Kabla ya Yulusifa kushushwa duniani Kiburi na majivuno ndio yalikuwa chanzo cha anguko lake. Bwana tupe unyenyekevu.

Yulusifa alikuwa na nguvu na Mamlaka kubwa kule Mbinguni akafika mahali akaona nguvu zake ni sawa na nguvu za Mungu hapo ndipo ukawa mwisho wake na hata leo Dunia imebadilika kwa tukio la yeye kushushwa chini. Ikumbukwe shetani alikuwa na malaika wengine waasi maelfu kwa maelfu nao walishuswa chini.

Je Mchungaji huyu alijiamini Nini hasa kisema wakristo sio waaminifu kama Waislam. Je wajuwa maana ya haya maneno na kile kitamkuta mtu huyu wa Mungu?

Maneno alio yasema ni maneno yasiofaa tena ni maneno yanaweza leta maangamizi ya halaiki pasipo kujuwa ila Asante Mungu Taifa la Tz ni watu wa amani. Mtakumbuka kikaragosi cha mtume kule France kilivyo leta mauwaji ya kutisha sana leo mtu mwenye hadhi ya Uchungaji tena Dr anasimama kwenye mimbari nakusema wakristo ya Kristo sio mwaminifu kama Mtume.

Nibora angenyamaza maana hili haliwezi pita pasipo jibiwa na Mungu mwenyewe. Mch Kimaro mpaka sasa naimani kila mtu anajiuliza akipata wapi moyo wakusimama kwenye madhabahu ya Kristo na kuudhalilisha umma wa wa Kristo ikumbukwe hatuitwi wakrsto tu ila tunaufia ukristo wetu. Sasa mtu mwenye hiyo nadhiri anasema sio mwaminifu kama mwenzake wa upande wa pili. Huyu hafai kusimama ktk madhabahu na ndio maana Sina uhakika kama atarudi.

Swali lakujiuliza je nikweli wakristo sio waaminifu? Na ndugu zetu ndio waaminifu? Mungu ndie atajibu hili mchana tena kweupe.
Mm sio Mungu ila napata kigugumizi ikiwa dhihaka hii kwa wakrsto na kanisa kama itapita salama. Jambo zito linaenda tokea je kwanini?

Jibu nimoja tu Mungu hadhihakiwi chochote apandacho mtu ndicho anachovuna. Aling'aa kama kerubi ila sasa atashushwa ili watu wote wa Dunia na Taifa wajuwe Mungu yupo. Sii vinginevyo.
Ungetuambia huyo Lucifer alikitoa wapi kiburi wakati hakukua na shetani Mwingine ZAIDI yake!!?
 
Back
Top Bottom