Mch. Kimaro wa KKKT niliziona Mbio zake nikajua mwisho hautokuwa mzuri

Siri za nyumbani kwako huzitangazi una Kaa kimya 🤐. Hata wa upande wa pili wanafanya maovu yakutisha hujawahi sikia wakiyasema kwenye majukwaa. Huwezi muita mtoto wako muovu na wajirani mzuri mbele ya kadam nasi. Unae muita mbaya anatoa sadaka anakulisha anakufanya upo hapo kwenye mimbari. Leo unamuita sio mwaminifu alafu unataka atoe sadaka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…