Mch. Kimaro wa KKKT niliziona Mbio zake nikajua mwisho hautokuwa mzuri

Mch. Kimaro wa KKKT niliziona Mbio zake nikajua mwisho hautokuwa mzuri

Inatafunwa na Nani?. Kanisa gani? Shilingi gapi? Unapotoa allegations toa na evidence. Usiwe kana Mchungaji Kimaro.
Inatafunwa na viongozi wa kabisa na Miata wachungaji na mapadre
 
Katika kumtumikia Mungu Kuna dhambi moja inawashusha nakuwapoteza watu wa Mungu wengi, dhambi hii imeandikwa hata ktk maandiko matakatifu.

Neno la Mungu linasema kijapo kiburi na majivuno basi mwisho wake ni kuanguka. Kiburi na majivuno ndio kitanzi cha watu mashuhuri wengi. Unaweza kuniuliza Manisha Nini?
Kabla ya Yulusifa kushushwa duniani Kiburi na majivuno ndio yalikuwa chanzo cha anguko lake. Bwana tupe unyenyekevu.

Yulusifa alikuwa na nguvu na Mamlaka kubwa kule Mbinguni akafika mahali akaona nguvu zake ni sawa na nguvu za Mungu hapo ndipo ukawa mwisho wake na hata leo Dunia imebadilika kwa tukio la yeye kushushwa chini. Ikumbukwe shetani alikuwa na malaika wengine waasi maelfu kwa maelfu nao walishuswa chini.

Je Mchungaji huyu alijiamini Nini hasa kisema wakristo sio waaminifu kama Waislam. Je wajuwa maana ya haya maneno na kile kitamkuta mtu huyu wa Mungu?

Maneno alio yasema ni maneno yasiofaa tena ni maneno yanaweza leta maangamizi ya halaiki pasipo kujuwa ila Asante Mungu Taifa la Tz ni watu wa amani. Mtakumbuka kikaragosi cha mtume kule France kilivyo leta mauwaji ya kutisha sana leo mtu mwenye hadhi ya Uchungaji tena Dr anasimama kwenye mimbari nakusema wakristo ya Kristo sio mwaminifu kama Mtume.

Nibora angenyamaza maana hili haliwezi pita pasipo jibiwa na Mungu mwenyewe. Mch Kimaro mpaka sasa naimani kila mtu anajiuliza akipata wapi moyo wakusimama kwenye madhabahu ya Kristo na kuudhalilisha umma wa wa Kristo ikumbukwe hatuitwi wakrsto tu ila tunaufia ukristo wetu. Sasa mtu mwenye hiyo nadhiri anasema sio mwaminifu kama mwenzake wa upande wa pili. Huyu hafai kusimama ktk madhabahu na ndio maana Sina uhakika kama atarudi.

Swali lakujiuliza je nikweli wakristo sio waaminifu? Na ndugu zetu ndio waaminifu? Mungu ndie atajibu hili mchana tena kweupe.
Mm sio Mungu ila napata kigugumizi ikiwa dhihaka hii kwa wakrsto na kanisa kama itapita salama. Jambo zito linaenda tokea je kwanini?

Jibu nimoja tu Mungu hadhihakiwi chochote apandacho mtu ndicho anachovuna. Aling'aa kama kerubi ila sasa atashushwa ili watu wote wa Dunia na Taifa wajuwe Mungu yupo. Sii vinginevyo.
Wakristo wa kileo (kisasa) hawapendi kuambiwa ukweli
 
Kimaro ameongea kama illiterate person.
Huwezi ku ganeralize kauli bila kufanya utafiti.

"Waislamu ni waaminifu kupita Wakristo"
Ni kauli ya kipumbavu kabisa.

Inamaana hata yeye sio mwaminifu.
Na kanijumuisha hata na mimi ambaye hanijui tabia yangu.

Kimaro lazima atuombe radhi Wakristo kwa kauli yake hii.

Na ajiuzulu Uchungaji maana kashindwa kazi ya utumishi.
Asilimu ajifunze kuwa Imamu wa Kiislamu.
 
Katika kumtumikia Mungu Kuna dhambi moja inawashusha nakuwapoteza watu wa Mungu wengi, dhambi hii imeandikwa hata ktk maandiko matakatifu.

Neno la Mungu linasema kijapo kiburi na majivuno basi mwisho wake ni kuanguka. Kiburi na majivuno ndio kitanzi cha watu mashuhuri wengi. Unaweza kuniuliza Manisha Nini?
Kabla ya Yulusifa kushushwa duniani Kiburi na majivuno ndio yalikuwa chanzo cha anguko lake. Bwana tupe unyenyekevu.

Yulusifa alikuwa na nguvu na Mamlaka kubwa kule Mbinguni akafika mahali akaona nguvu zake ni sawa na nguvu za Mungu hapo ndipo ukawa mwisho wake na hata leo Dunia imebadilika kwa tukio la yeye kushushwa chini. Ikumbukwe shetani alikuwa na malaika wengine waasi maelfu kwa maelfu nao walishuswa chini.

Je Mchungaji huyu alijiamini Nini hasa kisema wakristo sio waaminifu kama Waislam. Je wajuwa maana ya haya maneno na kile kitamkuta mtu huyu wa Mungu?

Maneno alio yasema ni maneno yasiofaa tena ni maneno yanaweza leta maangamizi ya halaiki pasipo kujuwa ila Asante Mungu Taifa la Tz ni watu wa amani. Mtakumbuka kikaragosi cha mtume kule France kilivyo leta mauwaji ya kutisha sana leo mtu mwenye hadhi ya Uchungaji tena Dr anasimama kwenye mimbari nakusema wakristo ya Kristo sio mwaminifu kama Mtume.

Nibora angenyamaza maana hili haliwezi pita pasipo jibiwa na Mungu mwenyewe. Mch Kimaro mpaka sasa naimani kila mtu anajiuliza akipata wapi moyo wakusimama kwenye madhabahu ya Kristo na kuudhalilisha umma wa wa Kristo ikumbukwe hatuitwi wakrsto tu ila tunaufia ukristo wetu. Sasa mtu mwenye hiyo nadhiri anasema sio mwaminifu kama mwenzake wa upande wa pili. Huyu hafai kusimama ktk madhabahu na ndio maana Sina uhakika kama atarudi.

Swali lakujiuliza je nikweli wakristo sio waaminifu? Na ndugu zetu ndio waaminifu? Mungu ndie atajibu hili mchana tena kweupe.
Mm sio Mungu ila napata kigugumizi ikiwa dhihaka hii kwa wakrsto na kanisa kama itapita salama. Jambo zito linaenda tokea je kwanini?

Jibu nimoja tu Mungu hadhihakiwi chochote apandacho mtu ndicho anachovuna. Aling'aa kama kerubi ila sasa atashushwa ili watu wote wa Dunia na Taifa wajuwe Mungu yupo. Sii vinginevyo.
Mpaka mwisho wa andiko sijaona walau mfano wa kuburi na majivuno... Au uzi utaendelea baadae mkuu?
 
Katika kumtumikia Mungu Kuna dhambi moja inawashusha nakuwapoteza watu wa Mungu wengi, dhambi hii imeandikwa hata ktk maandiko matakatifu.

Neno la Mungu linasema kijapo kiburi na majivuno basi mwisho wake ni kuanguka. Kiburi na majivuno ndio kitanzi cha watu mashuhuri wengi. Unaweza kuniuliza Manisha Nini?
Kabla ya Yulusifa kushushwa duniani Kiburi na majivuno ndio yalikuwa chanzo cha anguko lake. Bwana tupe unyenyekevu.

Yulusifa alikuwa na nguvu na Mamlaka kubwa kule Mbinguni akafika mahali akaona nguvu zake ni sawa na nguvu za Mungu hapo ndipo ukawa mwisho wake na hata leo Dunia imebadilika kwa tukio la yeye kushushwa chini. Ikumbukwe shetani alikuwa na malaika wengine waasi maelfu kwa maelfu nao walishuswa chini.

Je Mchungaji huyu alijiamini Nini hasa kisema wakristo sio waaminifu kama Waislam. Je wajuwa maana ya haya maneno na kile kitamkuta mtu huyu wa Mungu?

Maneno alio yasema ni maneno yasiofaa tena ni maneno yanaweza leta maangamizi ya halaiki pasipo kujuwa ila Asante Mungu Taifa la Tz ni watu wa amani. Mtakumbuka kikaragosi cha mtume kule France kilivyo leta mauwaji ya kutisha sana leo mtu mwenye hadhi ya Uchungaji tena Dr anasimama kwenye mimbari nakusema wakristo ya Kristo sio mwaminifu kama Mtume.

Nibora angenyamaza maana hili haliwezi pita pasipo jibiwa na Mungu mwenyewe. Mch Kimaro mpaka sasa naimani kila mtu anajiuliza akipata wapi moyo wakusimama kwenye madhabahu ya Kristo na kuudhalilisha umma wa wa Kristo ikumbukwe hatuitwi wakrsto tu ila tunaufia ukristo wetu. Sasa mtu mwenye hiyo nadhiri anasema sio mwaminifu kama mwenzake wa upande wa pili. Huyu hafai kusimama ktk madhabahu na ndio maana Sina uhakika kama atarudi.

Swali lakujiuliza je nikweli wakristo sio waaminifu? Na ndugu zetu ndio waaminifu? Mungu ndie atajibu hili mchana tena kweupe.
Mm sio Mungu ila napata kigugumizi ikiwa dhihaka hii kwa wakrsto na kanisa kama itapita salama. Jambo zito linaenda tokea je kwanini?

Jibu nimoja tu Mungu hadhihakiwi chochote apandacho mtu ndicho anachovuna. Aling'aa kama kerubi ila sasa atashushwa ili watu wote wa Dunia na Taifa wajuwe Mungu yupo. Sii vinginevyo.
Acheni unabii jamani.

Inawezekana labda ni taaluma yangu imenifanya kuwa hivi, kwasababu hadi sasa siko upande wa viongozi wa KKKT wala upande wa Mch. Kimaro.

Moja ya kanuni za haki ya asili inasema, huwezi kuhukumu mtu bila kumsikiliza.

Mm nitauhukumu Uongozi wa Kanisa au Mch. Kimaro baada ya kusikiliza pande zote mbili kwa kina tena maelezo yao yakiambatana na vielelezo (kama vipo).

Acheni kuendeshwa na mihemko; mtatenda dhambi bure.
 
Kwanini mnataka kuficha WIVU na CHUKI kunwa mliyonayo juu ya binadamu wenzenu kwa kuleta visingizio vya maandiko, acheni wivu na acheni chuki, kuna haja gani sasa ya kufanya kazi kwa bidii kama hakuna nafasi ya kujimwambafai?!

Yaani nichekee chooni kisa naogopa wachawi kama nyie?!
 
Natamani mtafute mtu asiye na Dini ( e.g mchina) ambaye afanye research bila ya hisia ya kidini ( islam or Christian)...
Achague mada / topic aliyo ileta mchungu Kimaro..

Nina uhakika atakuja na conclusion ya KIMARO..

Yako mambo kubisha green ni blue ni kupoteza muda...

Kuna dini hata siku moja haikubali hoja bali hisia tu na matamanio..
 
Katika kumtumikia Mungu Kuna dhambi moja inawashusha nakuwapoteza watu wa Mungu wengi, dhambi hii imeandikwa hata ktk maandiko matakatifu.

Neno la Mungu linasema kijapo kiburi na majivuno basi mwisho wake ni kuanguka. Kiburi na majivuno ndio kitanzi cha watu mashuhuri wengi. Unaweza kuniuliza Manisha Nini?
Kabla ya Yulusifa kushushwa duniani Kiburi na majivuno ndio yalikuwa chanzo cha anguko lake. Bwana tupe unyenyekevu.

Yulusifa alikuwa na nguvu na Mamlaka kubwa kule Mbinguni akafika mahali akaona nguvu zake ni sawa na nguvu za Mungu hapo ndipo ukawa mwisho wake na hata leo Dunia imebadilika kwa tukio la yeye kushushwa chini. Ikumbukwe shetani alikuwa na malaika wengine waasi maelfu kwa maelfu nao walishuswa chini.

Je Mchungaji huyu alijiamini Nini hasa kisema wakristo sio waaminifu kama Waislam. Je wajuwa maana ya haya maneno na kile kitamkuta mtu huyu wa Mungu?

Maneno alio yasema ni maneno yasiofaa tena ni maneno yanaweza leta maangamizi ya halaiki pasipo kujuwa ila Asante Mungu Taifa la Tz ni watu wa amani. Mtakumbuka kikaragosi cha mtume kule France kilivyo leta mauwaji ya kutisha sana leo mtu mwenye hadhi ya Uchungaji tena Dr anasimama kwenye mimbari nakusema wakristo ya Kristo sio mwaminifu kama Mtume.

Nibora angenyamaza maana hili haliwezi pita pasipo jibiwa na Mungu mwenyewe. Mch Kimaro mpaka sasa naimani kila mtu anajiuliza akipata wapi moyo wakusimama kwenye madhabahu ya Kristo na kuudhalilisha umma wa wa Kristo ikumbukwe hatuitwi wakrsto tu ila tunaufia ukristo wetu. Sasa mtu mwenye hiyo nadhiri anasema sio mwaminifu kama mwenzake wa upande wa pili. Huyu hafai kusimama ktk madhabahu na ndio maana Sina uhakika kama atarudi.

Swali lakujiuliza je nikweli wakristo sio waaminifu? Na ndugu zetu ndio waaminifu? Mungu ndie atajibu hili mchana tena kweupe.
Mm sio Mungu ila napata kigugumizi ikiwa dhihaka hii kwa wakrsto na kanisa kama itapita salama. Jambo zito linaenda tokea je kwanini?

Jibu nimoja tu Mungu hadhihakiwi chochote apandacho mtu ndicho anachovuna. Aling'aa kama kerubi ila sasa atashushwa ili watu wote wa Dunia na Taifa wajuwe Mungu yupo. Sii vinginevyo.
Halafu hao ambao sio waaminifu anataka sadaka zao!!!!!
 
Mchungaji alianza kutoka nje ya mstari… Kanisa liligeuka kijiwe cha udaku mipasho kusutwa kusutana…Ndio maana aliweza kuitia najisi madhabahu ya Mungu kufananisha Wakristu na Waislamu…. Uaminifu ndio alinganishe imani za watu? Uongo uaminifu uchawi upendo etc ni tabia ya mtu
Alitegemea Kanisa kama Kanisa likae kimya?

Ajirebishe ……
Kanisa ni nyumba za ibada na kuabudu sio porojo majungu na ufitinishaji
Masikio yalianza kuzidi kichwa..
 
Katika kumtumikia Mungu Kuna dhambi moja inawashusha nakuwapoteza watu wa Mungu wengi, dhambi hii imeandikwa hata ktk maandiko matakatifu.

Neno la Mungu linasema kijapo kiburi na majivuno basi mwisho wake ni kuanguka. Kiburi na majivuno ndio kitanzi cha watu mashuhuri wengi. Unaweza kuniuliza Manisha Nini?
Kabla ya Yulusifa kushushwa duniani Kiburi na majivuno ndio yalikuwa chanzo cha anguko lake. Bwana tupe unyenyekevu.

Yulusifa alikuwa na nguvu na Mamlaka kubwa kule Mbinguni akafika mahali akaona nguvu zake ni sawa na nguvu za Mungu hapo ndipo ukawa mwisho wake na hata leo Dunia imebadilika kwa tukio la yeye kushushwa chini. Ikumbukwe shetani alikuwa na malaika wengine waasi maelfu kwa maelfu nao walishuswa chini.

Je Mchungaji huyu alijiamini Nini hasa kisema wakristo sio waaminifu kama Waislam. Je wajuwa maana ya haya maneno na kile kitamkuta mtu huyu wa Mungu?

Maneno alio yasema ni maneno yasiofaa tena ni maneno yanaweza leta maangamizi ya halaiki pasipo kujuwa ila Asante Mungu Taifa la Tz ni watu wa amani. Mtakumbuka kikaragosi cha mtume kule France kilivyo leta mauwaji ya kutisha sana leo mtu mwenye hadhi ya Uchungaji tena Dr anasimama kwenye mimbari nakusema wakristo ya Kristo sio mwaminifu kama Mtume.

Nibora angenyamaza maana hili haliwezi pita pasipo jibiwa na Mungu mwenyewe. Mch Kimaro mpaka sasa naimani kila mtu anajiuliza akipata wapi moyo wakusimama kwenye madhabahu ya Kristo na kuudhalilisha umma wa wa Kristo ikumbukwe hatuitwi wakrsto tu ila tunaufia ukristo wetu. Sasa mtu mwenye hiyo nadhiri anasema sio mwaminifu kama mwenzake wa upande wa pili. Huyu hafai kusimama ktk madhabahu na ndio maana Sina uhakika kama atarudi.

Swali lakujiuliza je nikweli wakristo sio waaminifu? Na ndugu zetu ndio waaminifu? Mungu ndie atajibu hili mchana tena kweupe.
Mm sio Mungu ila napata kigugumizi ikiwa dhihaka hii kwa wakrsto na kanisa kama itapita salama. Jambo zito linaenda tokea je kwanini?

Jibu nimoja tu Mungu hadhihakiwi chochote apandacho mtu ndicho anachovuna. Aling'aa kama kerubi ila sasa atashushwa ili watu wote wa Dunia na Taifa wajuwe Mungu yupo. Sii vinginevyo.
Kwani alichoongea ni uongo?
 
Mashehe tena? mbona zipo wazi hujazitafuta tu. Hakuna aliye salama dunia hii.
Sasa mtu anawake wanne,kapungukiwa na nini?utamfananisha padir anayesalisha huku anatizamana na warembo baadhi yao wamevaa nguo fupi?tuwe wakweli jamani
 
Hivi unajua Vibaka, Panyaroad, Kesi za Ulawiti, Ubakaji na Mauaji ukipata takwimu Waislamu ndio wamejaza mahabusu zetu
Na huko mikoani?usiongee hivyo wakati unajua Dar asilimia kubwa ya wenyeji ni waisilamu
 
Waafrica kwenye narative zenu.

Ila deep down ni wivu na Chuki.... vinawasumbua.....

Ningekuwa yeye ningeanzisha huduma na maisha yanaendelea

Establishment nyingi Za dini bongo ni wivu pesa na influential power..

Wengine wanaona anapata sana

Sasa turudi kwenye andiko lako,
Unamjua Lucifer na kazi zake kwel au ndio yale yale kujaribu ku justify envy and hate over others.

Yatapita
Lucifer alitaka kuwa kama Mungu. Ila pia Lucifer alidhani ananguvu kuliko Mungu. Kimaro ametenda jambo lisilo faa mbele ya Kristo na wakristo na amefanya akijiamini hakuna wakumgusa tena hakuna kama yeye kumbe Mungu anawatu wengi. Sina wivu na mtumishi kwa sababu hatuwezi sote kuwa watumishi. Ila dhihaka na mipasho yake nje ya kumtaja Yesu imemshusha japo Mungu ni wetu sote ajuwa vile atafanya. Ila ameudhalilisha umma wa Wakristo ina maana mafanikio ya wakristo ni wizi God have a mercy on us. Amen
 
Huyo mchungaji yuko sawa kwa kauli yake hiyo. Chunguza idadi ya walamba asali, mafisadi, ndoa zilizo kufa, waongo, walaghai wengi ni wakristo.

Halafu kuna kashfa za mapdre na wachungaji dunia kote. Umeisha wahi kusikia kashfa kama hizo kwa mashehe wetu?
Wale maustaadhi wanaolawiti watoto madrasa ni Wakristo!!!??
Huko (Kwenye Uislam) ndipo uchafu ulipoanzia.
 
Back
Top Bottom