Mch. Mbarikiwa ahoji iwapo kiongozi wa dini kukemea uovu wa viongozi wa kisiasa ndiyo kuchanganya dini na siasa? Amtaka Kikwete kufafanua hoja yake

Mch. Mbarikiwa ahoji iwapo kiongozi wa dini kukemea uovu wa viongozi wa kisiasa ndiyo kuchanganya dini na siasa? Amtaka Kikwete kufafanua hoja yake

Hata Mimi leo kupitia kwa mtu fulani (physically) kaniambia hili kuwa waarabu wameshika ndege yetu..

Lakini ktk akili ya kawaida, hili ni kama haliwezekani Kwa sababu sisi Tanganyika hatuna na hutukuwa na kesi yoyote katika mahakama yoyote huko duniani na Dubai au DP World..

Sasa hiyo ndege (mali ya serikali ya Tanzania) itakamatwa kwa amri ya nani kisheria?
Labda watakuwa wametumia sheria zao za kidini...
 
Ni tatizo lkn naye ameishaonja machungu kwa alichokifanya, ukimya huwa hausaidii sanasana unakuongezea stress kwa uliyoyafanya na ambayo hukuyafanya, ni bora ukafunguka ukauachia moyo upumue.Ni kwamba waarabu wamepewa taarifa ila bado hawajakubaliana katka upande wao na yawezekana wakaja kivingine kwa kampuni nyingine, hivyo vitu kukamilika vinahitaji muda.
Umewaza mbali Sanaa mkuu
"Yawezekana wakaja kivingine"
 
Back
Top Bottom