Ni tatizo lkn naye ameishaonja machungu kwa alichokifanya, ukimya huwa hausaidii sanasana unakuongezea stress kwa uliyoyafanya na ambayo hukuyafanya, ni bora ukafunguka ukauachia moyo upumue.Ni kwamba waarabu wamepewa taarifa ila bado hawajakubaliana katka upande wao na yawezekana wakaja kivingine kwa kampuni nyingine, hivyo vitu kukamilika vinahitaji muda.