Mch. Msigwa alisema kufanya jambo lilelile kwa njia ile ile utarajie matokeo tofauti ni uwendawazimu

Mch. Msigwa alisema kufanya jambo lilelile kwa njia ile ile utarajie matokeo tofauti ni uwendawazimu

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
CDM wamejaribu sanaa ya maandamano si jana si leo. Wameshakuwa na slogani nyingi, ukuta, katiba, M4C.

Hakuna hata moja iliyowahi kufanikiwa.

Mchungaji Msigwq alisema kwamba unapofanya jambo lilelile kwa njia ile ile, utarajie matokeo tofauti, ni uwendawazimu. Njia ya majadiliano imeleta miswada ya sheria, njia ya maandamano haijaleta chochote.

CDM kurudia njia ile ile halafu watarajie matokeo tofauti, ni uwenda wazimu.

Kwa asili ya watanzania, hawataki mambo ya maandamano, vurugu.

Sisi Watanzania hatutaki mambo ya maandamano.
 
IMG_6223.jpg
 
Katafute fagio wewe acha kubwabwaja hapa, usafi ni lazima tarehe 24th Jan 2024.
 
Sijui itakuaje sasa, anyway tusiandikie mate .... Tarh tajwa hapo juu si mbl tena.
Msimamo, ujasiri, uelekeo, mwitikio... Unaenda kupimwa tarehe hiyo
 
Back
Top Bottom