THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Friends and Enemies,
Akiongea katika mahojiano yake na Salim Kikeke kupitia kipindi Cha kasri la Kikeke kinachorushwa na Crown Tv.
Mchungaji MSIGWA amesikika akizungumza Kwa hisia Kali kuwa kitu kingine kilichomuondoa CHADEMA ni Kwa chama Hiko kukosa muelekeo na dira.
Kwa Mfano anasema,mbowe amekuwa anatuandamanisha zaidi ya kilometer 20. Cha ajabu tukifika mwisho wa maandamano tumekusanyika kumsikiliza Hana message.
Anaishia tuh kusema eti kunja ngumiii, kunja ngumi for god's sake tukunje ngumi ili iweje?
MSIGWA ana UJUMBE, makamanda msikilizeni Kwa umakini mjifanyie tathmin before it's too late, CHADEMA untill when will you keep on running and running and running away?just know that you can't run away from your self,you can't run away from the truth.
Soma Pia: Mchungaji Msigwa: Wanaosema msitoke CHADEMA kwakuwa kuna future ni uongo mtupu, wao wenyewe hawana hiyo future
Because in the modern politics everyone thinks that his burden is the heaviest, but MSIGWA was not the burden to you CHADEMA.
Akiongea katika mahojiano yake na Salim Kikeke kupitia kipindi Cha kasri la Kikeke kinachorushwa na Crown Tv.
Mchungaji MSIGWA amesikika akizungumza Kwa hisia Kali kuwa kitu kingine kilichomuondoa CHADEMA ni Kwa chama Hiko kukosa muelekeo na dira.
Kwa Mfano anasema,mbowe amekuwa anatuandamanisha zaidi ya kilometer 20. Cha ajabu tukifika mwisho wa maandamano tumekusanyika kumsikiliza Hana message.
Anaishia tuh kusema eti kunja ngumiii, kunja ngumi for god's sake tukunje ngumi ili iweje?
MSIGWA ana UJUMBE, makamanda msikilizeni Kwa umakini mjifanyie tathmin before it's too late, CHADEMA untill when will you keep on running and running and running away?just know that you can't run away from your self,you can't run away from the truth.
Soma Pia: Mchungaji Msigwa: Wanaosema msitoke CHADEMA kwakuwa kuna future ni uongo mtupu, wao wenyewe hawana hiyo future
Because in the modern politics everyone thinks that his burden is the heaviest, but MSIGWA was not the burden to you CHADEMA.