Mchakato wa ajira za ualimu mwaka 2025 si wa haki, umekaa upendeleo

Mchakato wa ajira za ualimu mwaka 2025 si wa haki, umekaa upendeleo

Yn nyie waalimu bhana πŸ˜‚ yn mtu akisapoti nyie kufanyiwa usaili mnaanza kumuona n adui wenu πŸ˜‚ mzee Mm sio niliyeleta usaili kwa waalimu kwahy kama unanichukia bc ha

Upo sahihi mkuu watu hatulalamikii kuwepo kwa usaili ila at least uwe fair and inclusive ila wengi humu wanaleta ukongwe uchwara
Yaani humu ndani kuna vilaza wanaamini walimu hawajawahi fanya usaili nje na huu wanaofanya sahizi,waanaamini mwalimu hajui lolote ni kama yupo gizani.Kumbe infact wao pengine ni vilaza kupindukia ila wanajaribu kujitutumua kwa sababu tu sio walimu.Acheni kujiaibisha nyie vilaza,waacheni waalimu wapambanie haki zao.Ninyi mnao ona utumishi wako fear pengine ni ukilaza wenu umewafanya musiweze kung'amua mapungufu ya hao utumishi na mlikua mnapelekeshwa tu.WALIMU WANA HIGH REASONING ABILITY NDIO MAANA WANAHOJI UHALALI WA HUO USAILI WA
LIOFANYA HASA USAILI WAKUANDIKA,Na msomi mahili siku zote inatakiwa awe na uwezo mkubwa wa kureason sio anapelekshwa tu.
 
Yaani humu ndani kuna vilaza wanaamini walimu hawajawahi fanya usaili nje na huu wanaofanya sahizi,waanaamini mwalimu hajui lolote ni kama yupo gizani.kumbe infact wao pengine ni vilaza kupindukia ila wanajaribu kujitutumua kwa sababu tu sio walimu.Acheni kujiabisha nyie vilaza,waacheni waalimu wapambanie haki zao.Ninyi mnao ona utumishi wako fear pengine ni ukilaza wenu umewafanya musiweze kung'amua mapungufu ya hao utumishi na mlikua mnapelekeshwa tu.WALIMU WANA HIGH REASONING ABILITY NDIO MAANA WANAHOJI UHALALI WA HUO USAILI WA
LIOFANYA HASA USAILI WAKUANDIKA,Na msomi mahili siku zote inatakiwa awe na uwezo mkubwa wa kureason sio anapelekshwa tu.
Inasikitisha sana mkuu 😎
 
K
Yaani humu ndani kuna vilaza wanaamini walimu hawajawahi fanya usaili nje na huu wanaofanya sahizi,waanaamini mwalimu hajui lolote ni kama yupo gizani.kumbe infact wao pengine ni vilaza kupindukia ila wanajaribu kujitutumua kwa sababu tu sio walimu.Acheni kujiabisha nyie vilaza,waacheni waalimu wapambanie haki zao.Ninyi mnao ona utumishi wako fear pengine ni ukilaza wenu umewafanya musiweze kung'amua mapungufu ya hao utumishi na mlikua mnapelekeshwa tu.WALIMU WANA HIGH REASONING ABILITY NDIO MAANA WANAHOJI UHALALI WA HUO USAILI WA
LIOFANYA HASA USAILI WAKUANDIKA,Na msomi mahili siku zote inatakiwa awe na uwezo mkubwa wa kureason sio anapelekshwa tu.
Kweli kabisa mkuu. Unakuta watu wananyanyaswa afu Bado wanaona ni kawaida tu. Hii hapana kabisa tusiipe nafasi hata kidogo Hali hii ya kunyanyaswa watanzania na watanzania wenzenu.
 
sasa mkuu hata weww ungepewa ufanye hilo zoezi ungefanyaje tofauti na kuwafanyia waombaji usaili.
kumbuka kila mtu ana sifa stahiki sasa utachukua vigezo gani kuwachuja bila kufanya usaili ili kuwapata walio bora zaidi?
Soma aya ya tatu katika comment yangu upate jibu.
Mimi sijasema usifanyike usaili, nazungumzia mfumo wa usaili ulivyo na mawaa.
Soma uelewe badala ya kusoma ili unijibu.
 
wasio na ajira Wala kipato kinachoeleweka kuanzia kwenye utumaji maombi ya kazi. Vijana walitakiwa kucertify vyeti vyao Kwa mwanasheria/wakili/hakimu yeyote yule, hii ilihitaji pesa kama Hauna basi umekula kwako
Kuthibitisha vyeti kwa mwanasheria , hakimu au mahakamani ni kwa mjibu wa Sheria ya mwaka 2010. Ili kuondoa utata hasa kwa ambao majina hufanana.
wahitimu waliokaa muda mrefu mfano miaka 10,09, n.k hapakuwa na ulazima wa kuchukua maombi kuanzia 2015 Hadi 2023 badala yake wangechukua kuanzia 2015 Hadi 2018 ili kuwashindanisha waliokaa muda mrefu na kuondoa bias
Ndio maana halisi ya usahili, kuchuja na kupata wenye sifa zaidi na hari ya kazi sio kutafuta kubebwa kwa huruma ati mtu amekaa siku nyingi mtaani. Kama hatozidisha bidii akae tu mtaani hata miaka 50 au 60.
Baadhi ya walimu wamepewa oral interview pekee na wengine written na oral interview. Walitakiwa wawafanyie waombaji wote usaili unaofanana Kwa wote. Kwa Nini wengine wahojiwe na wengine wafanye mtihani??
Aghalabu kwa kada nyingi hufanya usahili wa mahojiano hasa wasahiliwa wanapokuwa wachache kama Watu wa Shahada za Uzamili na Uzamivu muda mwingine hata Shahada ya awali mfano MDA & LGA ( electrical, architecture, civil wa mwaka jana) walifafanyiwa usahili wa mahojiano pekee.
Acheni kutesa watanzania wenzenu kisa tu mna nafasi serikalini au katika kufanya maamuzi maana mnawaumiza sana watanzania wenzenu.
Nafahamu Walimu na Madaktari hamjazoea ila PSRS ndio mfumo mzuri wa usahili kuliko TAMISEMI au taasisi zingine zote za Serikali. Ndio taasisi pekee ambayo watu unaowafamu au kufahamiana wanajirika bila konekisheni yoyote ya rushwa. Karibuni sana, mkazane msife moyo mtazoea kama wahandisi, wahasibu, wanasheria , makarani, mwandazi, madereva, wakutubi na mafundi uchundo wa fani mbalimbali walivyozoea.
 
Kuthibitisha vyeti kwa mwanasheria , hakimu au mahakamani ni kwa mjibu wa Sheria ya mwaka 2010. Ili kuondoa utata hasa kwa ambao majina hufanana.

Ndio maana halisi ya usahili, kuchuja na kupata wenye sifa zaidi na hari ya kazi.

Aghalabu kwa kada nyingi hufanya usahili wa mahojiano hasa wasahiliwa wanapokuwa wachache kama Watu wa Shahada za Uzamili na Uzamivu muda mwingine hata Shahada ya awali mfano MDA & LGA ( electrical, architecture, civil wa mwaka jana) walifafanyiwa usahili wa mahojiano pekee.

Nafahamu hamjazoea ila PSRS ndio mfumo mzuri wa usahili kuliko TAMISEMI au taasisi zingine zote za Serikali. Ndio taasisi pekee ambayo watu unaowafamu au kufahamiana unaona wamepata ajira. Karibuni sana, mkazane msife moyo mtazoea kama wahandisi, wahasibu, wanasheria , makarani, mwandazi, madereva, wakutubi na mafundi uchundo wa fani mbalimbali walivyozoea.
Acha kutetea mambo ya kihuni ya wahuni akina mkenda na mbwa wenzake?
 
Acha kutetea mambo ya kihuni ya wahuni akina mkenda na mbwa wenzake?
Prof. Mkenda hausiki kabisa na mambo ya PSRS, wizara ya EST au Tamisemi hupeleka ombi la kuhitaji watumishi kadhaa na wenye sifa flani hainishi. Kisha PSRS wanatangaza, hufanyisha usahili kwa kushirikiana na Wizara au taasisi husika kisha kupeleka watumishi wapya kwenye hizo wizara au taasisi kwa ajili ya kukamilisha ajira zao na kupangiwa vituo vya kazi.
 
Sawa πŸ•β€πŸ¦Ί
Hizo lawama zako pelekea wazazi wako, utumishi wanaajiri kwa haki.
Kama umefeli bc tulia endelea kusubiri mpaka 2125 ajira zitakapotangazwa tena πŸ˜‚
 
Hizo lawama zako pelekea wazazi wako, utumishi wanaajiri kwa haki.
Kama umefeli bc tulia endelea kusubiri mpaka 2125 ajira zitakapotangazwa tena πŸ˜‚
πŸ•β€πŸ¦Ί Wewe. Sijuwi jinsi yako, ila ni aibu Kwa mwanamume Kwa hayo unayoyafanya.
 
πŸ•β€πŸ¦Ί Wewe.
Ila ndugu yangu unapataje 0 kwenye usaili? Yn miaka yote hy uliyosoma ht kama umekaa mtaani miaka 10 kusubiri ajira ya Ualimu serikalin ndo unaenda kupata 0 kweli πŸ˜‚
Waalimu mnadeka sana aisee, ungeenda kufundisha nn huko shuleni sasa πŸ˜‚
 
Ila ndugu yangu unapataje 0 kwenye usaili? Yn miaka yote hy uliyosoma ht kama umekaa mtaani miaka 10 kusubiri ajira ya Ualimu serikalin ndo unaenda kupata 0 kweli πŸ˜‚
Waalimu mnadeka sana aisee, ungeenda kufundisha nn huko shuleni sasa πŸ˜‚
πŸ•β€πŸ¦Ί Wewe.
 
Back
Top Bottom