Mchakato wa ajira za ualimu mwaka 2025 si wa haki, umekaa upendeleo

Mchakato wa ajira za ualimu mwaka 2025 si wa haki, umekaa upendeleo

Database inayotumika ni ya Nani?

Usahili upi unatumika kuona kama walifaulu sawa?

Kwanini hawakupangiwa vitu kuona nafasi zilizo bado wazi?
Ndugu yangu naona suala la uelewa ni gumu sana kwako.
Kama ww n mwalimu bc sitoshangaa ukiwa unawapiga mawe utumishi.
 
Kuna uzi humu kada wa labaratory technician aliwahi kulalamika kuwa wametolewa maswali ya maabara za shule sio hospital mkaja na hoja kuwa madoctor wanalialia kisa wamezoea vya zoa zoa leo hii mnaponda na walimu the same

Kifupi nyie mnajiona mko juu sana kuliko kada zingine na mnaona walimu ni mafala na masikini basi hamjibu hoja za msingi

Nimekuuliza kwenye geogaraphy kuna swali linasema "according to elton's theory guidance and councelling should done....

Swali kama hilo huwezi kulijibu bila kumsoma huyo mtu sasa kama inatokea vyuo baadhi au programme uliyosoma haikuwa na hiyo course ya guidance and councelling wakulaumiwa ni nani? Je wewe unaonaje
Basi ungekosa swali moja tuu bwashee 😀😀, kwanini kuna "0" inamaana hata swali moja limeshindikana kweli
 
Saili za utumishi wewe huzijui kwa sababu yamkini wewe ni mwalimu au ni mgeni kabisa! Lakini utumishi toka ianzishwe imewafanya vijana wengi kuajirika sehemu ambazo zililikuwa hazifkiki kwa watoto masikini! Kwa hiyo hoja zako hazina mashiko kabisa! Maana wasio na ajira muda mrefu sio walimu peke yake kumekuwepo na kada zingine hawajaajiriwa toka miaka ya nyuma na wapo wengi sana! Umewahi kuona utumishi wanatangaza kazi kwa kulimit miaka ya kumaliza chuo????kwa uzoefu wangu waliomaliza miaka ya nyuma ndio wengi wanapata kazi utumishi sio kwa sababu ya upendeleo ila ni kwa sababu wana uzoefu na kazi hivyo maswali mengi wanayafaulu kwa sababu maswali yanaulizwa ya kada husika!

Kwa hiyo hoja yako kuwa wangekatia waliomaliza mwisho 2018 alafu wawashindanishe haina mashiko maana hata ukichukua wajinga 1000 ukawafanyia usaili lazima yupo atakayeongoza tu! Mimi nilidhani mtu aliyemaliza miaka ya nyuma ana chance kubwa ya kufaulu usaili kwa sababu ana uzoefu na kazi lakini pia hata kujieleza ni tofauti na mtu aliyemaliza mwaka jana!

Hoja yako kuwa wengine wanafanya usaili wa kuandika na wengine usaili wa mahojiano haina mqshiko, kwanza unaonekana wewe ni mbinafsi na una wivu sana, na inaonekana hujui lengo la mithani ya utumishi! Lengo la mithani ya utumishi ni kutafuta watu sahihi miongoñi mwa wengi!
Kazi ya usaili wa mchujo ni kuchuja watu wabaki wachache hivyo hata wakikatia 90% hawana lawama na hamna sheria inayowakataza kukatia hapo maana ni mchujo!
Kuna kada wanahitajika watu 5 wanaomba watu 10 wewe unahisi kuna haja ya kuwa na mthani wa mchujo au written?????? Lakini wanahitajika watu 5 wanaomba watu 1000 plus utawapataje sasa hao watano lazima utumie hizo njia zote! Mchujo, prct nk ili ubaki na wachache ili uhojiane nao! Hiyo application ipo pia kwenye topic za geography walimu mlitufundisha alafu nyie wenyewe hamtaki kufanyiwa!

Tuache malalamiko yasiyo na maana mtoto wako anaposoma mwambie asome kozi ambazo hazina ushindani mkubwa sokoni! Haiwezekani mwalimu kakomaa na madynamic na principle za newton unataka ulingane naye wewe uliyesoma mambo ya ngoswe na mìchomekeo kibao! Tuache utane

Jinsi unavyosoma kozi ngumu na yenye watu wachache hata kwenye usaili ipo hivyo hivyo! Kuna kada wasailiwa wanaitwa watano na wanahitajika 4 hadi raha sana!

Kozi yangu iliyonipa ajirà, walikuwa wanahitajika watu wawili na tulioitwa usaìli tulikuwa watano tuliofika siku ya usaili tulikuwa 4! Wakati pembeni unaona kada nyingine wanahitajika 2 walioitwa usaili 200+ wewe unafikiri kosa la nani hapo???

Tuwe wazalendo! Utumishi wapo fair 100%
FACT , hata mm bila PSRS nisingepata kazi goverment.
PSRS wapo fair 100%.

Na interview ziendelee kuwepo maana ndio njia pekee ya kupata watumishi wenye uwezo.
 
Mleta mada hueleweki na wala huelewi mantiki nzima ya utumishi kufanya usaili kabla ya kuajiri. Sikulaumu sana kwa sababu hujazoea kusailiwa kwenye kuomba ajira.

Wewe jua tu, waombaji wa ajira wenye sifa ni wengi na nafasi ni chache, hivyo namna ya kuchuja ni kuandaa usaili ili wale bora zaidi tu wachukuliwe.
Sasa usilazimishe waombaji wote nchi nzima wapimwe sawa sawa kwa aina moja tu ya mtihani iwe wa kuandikwa au kujieleza.

Wewe omba ajira, nenda kwenye usaili, mwisho wa siku walio bora zaidi kwenye kundi lenu mlioasahiliwa ndio watakuwa wamepata ajira.

Maisha hayajawahi kuwa fair popote pale, japokuwa sekretari ya ajira wanajitahidi kuwa fair.
 
Saili za utumishi wewe huzijui kwa sababu yamkini wewe ni mwalimu au ni mgeni kabisa! Lakini utumishi toka ianzishwe imewafanya vijana wengi kuajirika sehemu ambazo zililikuwa hazifkiki kwa watoto masikini! Kwa hiyo hoja zako hazina mashiko kabisa! Maana wasio na ajira muda mrefu sio walimu peke yake kumekuwepo na kada zingine hawajaajiriwa toka miaka ya nyuma na wapo wengi sana! Umewahi kuona utumishi wanatangaza kazi kwa kulimit miaka ya kumaliza chuo????kwa uzoefu wangu waliomaliza miaka ya nyuma ndio wengi wanapata kazi utumishi sio kwa sababu ya upendeleo ila ni kwa sababu wana uzoefu na kazi hivyo maswali mengi wanayafaulu kwa sababu maswali yanaulizwa ya kada husika!

Kwa hiyo hoja yako kuwa wangekatia waliomaliza mwisho 2018 alafu wawashindanishe haina mashiko maana hata ukichukua wajinga 1000 ukawafanyia usaili lazima yupo atakayeongoza tu! Mimi nilidhani mtu aliyemaliza miaka ya nyuma ana chance kubwa ya kufaulu usaili kwa sababu ana uzoefu na kazi lakini pia hata kujieleza ni tofauti na mtu aliyemaliza mwaka jana!

Hoja yako kuwa wengine wanafanya usaili wa kuandika na wengine usaili wa mahojiano haina mqshiko, kwanza unaonekana wewe ni mbinafsi na una wivu sana, na inaonekana hujui lengo la mithani ya utumishi! Lengo la mithani ya utumishi ni kutafuta watu sahihi miongoñi mwa wengi!
Kazi ya usaili wa mchujo ni kuchuja watu wabaki wachache hivyo hata wakikatia 90% hawana lawama na hamna sheria inayowakataza kukatia hapo maana ni mchujo!
Kuna kada wanahitajika watu 5 wanaomba watu 10 wewe unahisi kuna haja ya kuwa na mthani wa mchujo au written?????? Lakini wanahitajika watu 5 wanaomba watu 1000 plus utawapataje sasa hao watano lazima utumie hizo njia zote! Mchujo, prct nk ili ubaki na wachache ili uhojiane nao! Hiyo application ipo pia kwenye topic za geography walimu mlitufundisha alafu nyie wenyewe hamtaki kufanyiwa!

Tuache malalamiko yasiyo na maana mtoto wako anaposoma mwambie asome kozi ambazo hazina ushindani mkubwa sokoni! Haiwezekani mwalimu kakomaa na madynamic na principle za newton unataka ulingane naye wewe uliyesoma mambo ya ngoswe na mìchomekeo kibao! Tuache utane

Jinsi unavyosoma kozi ngumu na yenye watu wachache hata kwenye usaili ipo hivyo hivyo! Kuna kada wasailiwa wanaitwa watano na wanahitajika 4 hadi raha sana!

Kozi yangu iliyonipa ajirà, walikuwa wanahitajika watu wawili na tulioitwa usaìli tulikuwa watano tuliofika siku ya usaili tulikuwa 4! Wakati pembeni unaona kada nyingine wanahitajika 2 walioitwa usaili 200+ wewe unafikiri kosa la nani hapo???

Tuwe wazalendo! Utumishi wapo fair 100%
Sasa waliomaliza muda mrefu nyuma walikuwa wamekaa nyumbani wanasubiri kuajiriwa serikalin, ww c unaona wanalalamika ety wamepoteza muda kwenda kwenye usaili 😂 utadhani walivyokuwa nyumbani miaka yote hy sio kupoteza muda
 
Mitihani ya utumishi mifumo wao hawajiandai watapass vipi, sawa magumashi yapo lakini linakushindaje Swali la kitenzi kivumishi, ukiulizwa masaki ya Linux utatoboa ? Bado sijaelewa kwanini mtu anapata zero kabisa
Ungekuwa umefanya mtihani hata usingesema hivyo.
 
Mleta mada hueleweki na wala huelewi mantiki nzima ya utumishi kufanya usaili kabla ya kuajiri. Sikulaumu sana kwa sababu hujazoea kusailiwa kwenye kuomba ajira.

Wewe jua tu, waombaji wa ajira wenye sifa ni wengi na nafasi ni chache, hivyo namna ya kuchuja ni kuandaa usaili ili wale bora zaidi tu wachukuliwe.
Sasa usilazimishe waombaji wote nchi nzima wapimwe sawa sawa kwa aina moja tu ya mtihani iwe wa kuandikwa au kujieleza.

Wewe omba ajira, nenda kwenye usaili, mwisho wa siku walio bora zaidi kwenye kundi lenu mlioasahiliwa ndio watakuwa wamepata ajira.

Maisha hayajawahi kuwa fair popote pale, japokuwa sekretari ya ajira wanajitahidi kuwa fair.
Kama haujaelewa Kaa kimya. Hakuna anaekataa usaili Wala anaekataa wingi wa wahitimu. Tunachotaka ni usawa na haki itendeke. Eg waliomaliza let say 2015,2016,2017 wanaweza sailiwa Kwa pamoja na siyo mtu hata kitaa hajakaa afu aje afanyiwe usaili sawa na aliyemaliza 2015 hiyo ndiyo hatutaki. Tanzania ni yetu sote
 
Ungekuwa umefanya mtihani hata usingesema hivyo.
Mkuu nishawah kufanya mtihani sawa ? Yule Elias kayombo alikuwaga T.O alikuwepo hakuna aliefikisha 50, ilikuwa ya moto sana, waulize wanaofanya mitihani ya programing mkuu ni moto wa kuotea mbali, ufaulu written ufaulu practical ndio uende oral we mitihani mikiki inakutoaje jasho mkuu ? Pambana
 
Mkuu nishawah kufanya mtihani sawa ? Yule Elias kayombo alikuwaga T.O alikuwepo hakuna aliefikisha 50, ilikuwa ya moto sana, waulize wanaofanya mitihani ya programing mkuu ni moto wa kuotea mbali, ufaulu written ufaulu practical ndio uende oral we mitihani mikiki inakutoaje jasho mkuu ? Pambana
Wewe ndiyo ulifail na mpenda sifa mwenzako(marehemu kayombo maana hamkufikisha hata 50%. Je, aliyepata 90% afu hajawa selected unamchukuliaje?
 
Mm najiuliza mbona watu wa afya hawakulalamika kama hawa waalimu wakati hata wao hawakuwa na usaili kama waalimu 😂
Watu wa Afya ni wachache compared na walimu wa physics, huwezi kumskia mwl. wa physics analalamika, subiri malalamiko tena kwa wengi watakao fika oral pdf iwapite kushoto.
 
Kama haujaelewa Kaa kimya. Hakuna anaekataa usaili Wala anaekataa wingi wa wahitimu. Tunachotaka ni usawa na haki itendeke. Eg waliomaliza let say 2015,2016,2017 wanaweza sailiwa Kwa pamoja na siyo mtu hata kitaa hajakaa afu aje afanyiwe usaili sawa na aliyemaliza 2015 hiyo ndiyo hatutaki. Tanzania ni yetu sote
Kwann umalize chuo 2015 afu ukae kusubiri ajira serikalini, huo n upumbavu bora mkose kazi wote tuu
 
Kama haujaelewa Kaa kimya. Hakuna anaekataa usaili Wala anaekataa wingi wa wahitimu. Tunachotaka ni usawa na haki itendeke. Eg waliomaliza let say 2015,2016,2017 wanaweza sailiwa Kwa pamoja na siyo mtu hata kitaa hajakaa afu aje afanyiwe usaili sawa na aliyemaliza 2015 hiyo ndiyo hatutaki. Tanzania ni yetu sote
Kwa hiyo point yako ni kuwa, kigezo cha aliyemaliza chuo zamani zaidi ndio kiwe kipaumbele cha kupata ajira badala ya kutumia ufaulu wa juu katika usaili?
Wewe unadhani hiyo ndio itakuwa fair?

Waza haya maswali.
1. Utaratibu huo unaopendekeza (old graduated applicant to be first priority), kwanini utumike kwa waalimu tu na sio kwa ajira zingine za serikali kwa miaka yote iliyopita?
2. Unawezaji kutambua kuwa mhitimu wa zamani zaidi alikuwa hana ajira kabisa tangu ahitimu au kwa kipindi chote hicho cha nyuma huenda alikuwa hana interest ya ajira ya serikali?
3. Kwanini usiwaze kuwa mhitimu wa zamani ni mtu mwenye uzoefu zaidi hivyo atakuwa na uwezekano mkubwa zaidi wa kufaulu usahili kuliko mhitimu mpya?
4. Ukimaliza kuwaza hilo la uzamani kuwa sifa, vipi utaepuka suala la uwiano wa Kijinsia, kiumri, kanda, mikoa na makabila?
 
Kama haujaelewa Kaa kimya. Hakuna anaekataa usaili Wala anaekataa wingi wa wahitimu. Tunachotaka ni usawa na haki itendeke. Eg waliomaliza let say 2015,2016,2017 wanaweza sailiwa Kwa pamoja na siyo mtu hata kitaa hajakaa afu aje afanyiwe usaili sawa na aliyemaliza 2015 hiyo ndiyo hatutaki. Tanzania ni yetu sote
Hicho unachokitaka (wahitimu wa zamani wapendelewe) huo ndio upendeleo, haufai.
Mchakato wa sasa haubagui mhitimu yoyote, vigezo vya msingi vyote ni sawa, yule atakayeonyesha uwezo wa juu zaidi katika usahili ndiye atakaye ajiriwa kwanza.
 
Waalimu wanaomba maji baada ya kupelekewa moto na utumishi ila hawapewi 🔥
 
Mtihani wa geogaraphy haukuwa na title ya geography hii imekaaje kwa upande wako
Uzuri n kwamba ushajua n geography.
Kwahy ukiulizwa swali la geography hutoweza kujibu kwa sababu somo halijaandikwa?
 
Mchakato umejaa manyanyaso Kwa vijana wasio na ajira Wala kipato kinachoeleweka kuanzia kwenye utumaji maombi ya kazi. Vijana walitakiwa kucertify vyeti vyao Kwa mwanasheria/wakili/hakimu yeyote yule, hii ilihitaji pesa kama Hauna basi umekula kwako.

Kwenye interview napo pamejaa mambo ya hovyo hovyo mfano badala ya kufuata Sheria ya utumishi ya 50% wao wana lala na kuamka na pass mark Yao.

Wenye nafasi(viongozi wa psrs na wizara Kwa ujumla wameamua kuwatafutia nafuu ndg zao ya kupata kazi Kwa upendeleo bila kuhojiwa na yeyote. Mfano kama walikuwa na Nia njema Kwa wahitimu waliokaa muda mrefu mfano miaka 10,09, n.k hapakuwa na ulazima wa kuchukua maombi kuanzia 2015 Hadi 2023 badala yake wangechukua kuanzia 2015 Hadi 2018 ili kuwashindanisha waliokaa muda mrefu na kuondoa bias.

Baadhi ya walimu wamepewa oral interview pekee na wengine written na oral interview. Walitakiwa wawafanyie waombaji wote usaili unaofanana Kwa wote. Kwa Nini wengine wahojiwe na wengine wafanye mtihani??

Acheni kutesa watanzania wenzenu kisa tu mna nafasi serikalini au katika kufanya maamuzi maana mnawaumiza sana watanzania wenzenu.
Ndugu yangu una cheo gn kwenye umoja wenu wa NETO? 😂
Au ww ndo yule jamaa aliyekuwa anabwabwaja pale mkutanoni 😂
 
Kama haujaelewa Kaa kimya. Hakuna anaekataa usaili Wala anaekataa wingi wa wahitimu. Tunachotaka ni usawa na haki itendeke. Eg waliomaliza let say 2015,2016,2017 wanaweza sailiwa Kwa pamoja na siyo mtu hata kitaa hajakaa afu aje afanyiwe usaili sawa na aliyemaliza 2015 hiyo ndiyo hatutaki. Tanzania ni yetu sote
Yn mtu amekaa kitaa tangu 2015 kusubiri ajira ya Ualimu afu unakuja kupambanishwa na aliyemaliza juzi 😂 kosa n lako ww uliyemaliza 2015
Utumishi shikilieni hapo hapo, msiachie, hakuna ajira bila usaili 🔥
 
Hicho unachokitaka (wahitimu wa zamani wapendelewe) huo ndio upendeleo, haufai.
Mchakato wa sasa haubagui mhitimu yoyote, vigezo vya msingi vyote ni sawa, yule atakayeonyesha uwezo wa juu zaidi katika usahili ndiye atakaye ajiriwa kwanza.
Waalimu wanataka na aliyemaliza juzi juzi nae akae mtaani miaka 10 kama wao 😂

Hii roho mbaya sijui imetoka wapi hawa ndo wanakwenda kupiga makofi wanafunzi, bora wafanyishwe usaili wapate 0% waendelee kukaa mtaani tuu kuliko kwenda kutesa wanafunzi.
 
Back
Top Bottom