MAKA Jr
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 267
- 209
Mifumo yetu ya ajira bado ina changamoto kubwa sana. Mchakato wa kuomba ajira za uandikishaji wa sensa 2022 umedhihirisha hivyo. Kwanza lazima Serikali ipongezwe kwa kuajiri vijana wengi ambao hawana ajira, lakini mfumo mzima wa ajira umeonyesha mapungufu kadhaa kama vile:
(1) Kusahaulika kwa baadhi ya taarifa kwenye fomu za mtandaoni.
(2) Kushindwa kuweka 'Instructions Manual' ili waombaji wajue wanachoomba.
(3) Kushindwa kukubali makosa pale yanapojitokeza maana hiyo ni sayansi na ni hali ya kawaida kukosea. Kwa hiyo, kuomba radhi ni sehemu ya kuwajibika pia.
(1) Kusahaulika kwa baadhi ya taarifa kwenye fomu za mtandaoni.
(2) Kushindwa kuweka 'Instructions Manual' ili waombaji wajue wanachoomba.
(3) Kushindwa kukubali makosa pale yanapojitokeza maana hiyo ni sayansi na ni hali ya kawaida kukosea. Kwa hiyo, kuomba radhi ni sehemu ya kuwajibika pia.