Mchambuzi gani wa soka unamkubali hapa Tanzania?

asante ntamsikiliza..
 
Ntamsikiliza mkuu nione mwenyewe haya mnayosema.
 
Ha haaa ..
Maisha ni kujikubali mwenyewe ndipo utakubalika na wengine.
Anyway itabidi unialike leo tukaangalie wote mechi ya Liverpool FC Vs Everton FC a.k.a Merseyside derby unichambulie niangalie kama ulicho sema ni sahihi.
Hawa wachambuzi wa Bongo ni ujimwambafai tu,utasikia Edo kumwembe anakuambia nilikuwa Milan lini sijui kikaenda kikarudi.
 
Daah,
Kweli mkuu.
Sema Edo Kumwembe kweli anatembelea sana hivyo viwanja. Wacha ajimwambafai mkuu.
Ni kweli ,ila utasikia nilikuwa milan,anapoteza muda kwa kujiongelea badala ya kustick kwenye point.Sijawahi msikia George akisema alikuwa wapi sijui.Tu put it serious napenda uchambuzi wa Ambangile.
 
Ni kweli ,ila utasikia nilikuwa milan,anapoteza muda kwa kujiongelea badala ya kustick kwenye point.Sijawahi msikia George akisema alikuwa wapi sijui.Tu put it serious napenda uchambuzi wa Ambangile.
Hoja yako nimeielewa sasa mkuu.
Anatumia muda muhimu kuanza kutueleza kuhusu yeye binafsi badala ya kwenda kwenye hoja mambo ya kiufundi.
 
George Ambangile yule jamaa ni fundi sanaaaaaaa, Kiemba pia si mbaya anajitahidi Clouds wamuajiri kabisa maana pale hakuna wa kumfikia

Ila tanzania One ni George Ambangileeeee
 
Sawa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…