Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Kuna wati hawana akili aisee! Sasa Yanga inaenda kupindua hayo matokeo, kwani kwenye mchezo wao wa awali ilifungwa magoli mangapi?
Amezungumza ukweli, au ujinga! Mechi iliisha kwa sare. Hivyo hakuna timu iliyo jihakikishia kusonga mbele hatua inayofuata mpaka sasa!Amezungumza ukweli.
NashangaaKuna wati hawana akili aisee! Sasa Yanga inaenda kupindua hayo matokeo, kwani kwenye mchezo wao wa awali ilifungwa magoli mangapi?
Kwani matokeo yakibaki yalivo nani anasonga ? Eti we koloKuna wati hawana akili aisee! Sasa Yanga inaenda kupindua hayo matokeo, kwani kwenye mchezo wao wa awali ilifungwa magoli mangapi?
Hujui maana ya kutumia vema uwanja wa nyumbaini subiri wanamume wakakuonesheAmezungumza ukweli, au ujinga! Mechi iliisha kwa sare. Hivyo hakuna timu iliyo jihakikishia kusonga mbele hatua inayofuata mpaka sasa!
Ni baadhi tu ya nyinyi mashabiki mbumbumbu wa simba, akiwemo huyo mwenzenu oscar oscar ndiyo mnajitahidi kupotosha ukweli.
Kwa hiyi kule sudan wakitoa suluhu bila kufungana yanga tunaenda makundiAmezungumza ukweli, au ujinga! Mechi iliisha kwa sare. Hivyo hakuna timu iliyo jihakikishia kusonga mbele hatua inayofuata mpaka sasa!
Ni baadhi tu ya nyinyi mashabiki mbumbumbu wa simba, akiwemo huyo mwenzenu oscar oscar ndiyo mnajitahidi kupotosha ukweli.
Anajitoa akili tu huyu,anajua yote hayoKutoka sare nyumbani ni sawa na kufungwe Tate.
Hatukufanya vizuri hilo tulikubali
Sudan ya Temeke wakitoka 0-0 nani atakua katolewa?Amezungumza ukweli, au ujinga! Mechi iliisha kwa sare. Hivyo hakuna timu iliyo jihakikishia kusonga mbele hatua inayofuata mpaka sasa!
Ni baadhi tu ya nyinyi mashabiki mbumbumbu wa simba, akiwemo huyo mwenzenu oscar oscar ndiyo mnajitahidi kupotosha ukweli.
Kheeeeee basi mtashinda tumalize mjadalaAmezungumza ukweli, au ujinga! Mechi iliisha kwa sare. Hivyo hakuna timu iliyo jihakikishia kusonga mbele hatua inayofuata mpaka sasa!
Ni baadhi tu ya nyinyi mashabiki mbumbumbu wa simba, akiwemo huyo mwenzenu oscar oscar ndiyo mnajitahidi kupotosha ukweli.