Mchambuzi Oscar Oscar atabiri Yanga kupindua matokeo Sudan kwa kufanya hivi

Amezungumza ukweli.
Amezungumza ukweli, au ujinga! Mechi iliisha kwa sare. Hivyo hakuna timu iliyo jihakikishia kusonga mbele hatua inayofuata mpaka sasa!

Ni baadhi tu ya nyinyi mashabiki mbumbumbu wa simba, akiwemo huyo mwenzenu oscar oscar ndiyo mnajitahidi kupotosha ukweli.
 
YANGA MKIJA SHIRIKISHO MNAKUTANA NA VIPERS [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] HII TIMU INA MIKOSI [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Hujui maana ya kutumia vema uwanja wa nyumbaini subiri wanamume wakakuoneshe
 
Kwa hiyi kule sudan wakitoa suluhu bila kufungana yanga tunaenda makundi
 
Sudan ya Temeke wakitoka 0-0 nani atakua katolewa?
 
Yanga wakapambane sie bodo wachanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…