Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
π π π Kwa hiyo umehisi unamfahamu na ni hohehahe..!!! JF banaa..!!! Unaweza mkabidhi mtu umasikini kumbe ni tajiri au kinyume chakeSasa mtu kama wewe hohehae unaimbie eti "tukutane kwa madiba", kisha nikae kuanza kujibizana na wewe sio kupoteza muda tu?
Kwa madiba unafikaje??
Kweli banaa, maana tunaamini nyama zipo chiniTatizo sio akili yake bali ni akili ya waliomtilia sumu, enewei ngoja tuendelee kula mtori tu ππ
Hahaha ungeuliza kwanza kwanini nilimwambia hivyo, sometimes unamjua tu kutokana na nyuzi au comments za kulialia ugumu wa maisha.πππ π π Kwa hiyo umehisi unamfahamu na ni hohehahe..!!! JF banaa..!!! Unaweza mkabidhi mtu umasikini kumbe ni tajiri au kinyume chake
Wengine matapeli.. Wanalialia kujenga sympathy...!! π π πHahaha ungeuliza kwanza kwanini nilimwambia hivyo, sometimes unamjua tu kutokana na nyuzi au comments za kulialia ugumu wa maisha.ππ
Haya.Wengine matapeli.. Wanalialia kujenga sympathy...!! π π π
Haya ukiyasema kama hivi na wewe tarajia majibu hayohayo ukienda ugenini na kutetendewa mabaya. Ni umbumbumbu kudhani kwamba dhamana ya mapokezi na huduma Kwa timu pinzani inakuwa mikononi mwa mamlaka ya nchi na siyo timu mwenyeji. Sikutegemea mchambuzi anayejulikana kama Oscar asijue Simba kama mwenyeji anahusikaje na mapokezi ya wageni wao."Kocha wa Orlando Pirates FC amelalamika kuhusu kupata Usumbufu Uwanja wa Ndege hayo ni ya UHAMIAJI na siyo Simba SC, Kocha wa Orlando Pirates FC amelalamika kucheleweshwa Barabarani hayo ni Masuala ya Jeshi la Police na siyo Simba SC, Kocha wa Orlando Pirates FC amelalamika kuhusu Hoteli waliyoifikia hayo ni Masuala ya Wao na Wamiliki wa Hoteli na hayaihusu Simba SC na Kocha wa Orlando Pirates FC amelalamika ile Penati ambayo Mimi nasema ni ya halali hivyo kama ni lawama Orlando Pirates FC wamalizane na Mwamuzi (Referee) na siyo Simba SC kwani haihusiki.
Ukweli ni kwamba Simba SC sasa imeshakuwa Matured na haina muda wa Kulalamika kwani hata Wao pia wakienda nchi za Watu hufanyiwa Hujuma na Visa vingi sana sema huenda kutokana na Unafiki na Unazi Wetu Watanzania hili huwa hatuliongelei na sasa ifike wakati Timu zote zinazokuja Kucheza Tanzania zikifungwa zikubali Matokeo na siyo kuja na Lawama za Kipuuzi na za Kitoto" Oscar Oscar Mchambuzi wa Michezo EFM Radio leo katika Kipindi cha Michezo cha Sports Headquarters.
Tunahitaji Wachambuzi kama huyu TZA.
Ni haki yake kushabikia timu anayoitakaNa ndiyo Mchambuzi mwenye Akili kwa sasa Tanzania japo ni Mshabiki mkubwa wa Yanga SC, Real Madrid na Chelsea FC.
Ni matumaini yangu kuwa Taarifa za Msiba mzito wa Tumaini Mkono unazo Ndugu. Juzi na Jana nikiwa na Yule Rafiki yako wa hapa JamiiForums aliyeko Kifungoni sasa kwa Sheria za Moderators wa JamiiForums tumeshinda mno hapo kwa Mzee Juma ( Mbezi Juu ) na akina Wazee Brigedia Mstaafu Profesa Kohi, Kanali Mstaafu Mugwe na Walevi Wenzako akina Emanuel, Stewart, John na Oswald.
Jaman utani wa kweli n marufuku hukuuu.Mpaka unazeeka kwa Madiba utapasikia tu, hapo ulipo ukute hata Dar es Salaam tu hujawahi kufika.
Watu wa Jf bwanaπ
Kwanini Yanga ndiyo mlalamikaji sanaAmechambua vizuri sana
Ni matumaini yangu kuwa Taarifa za Msiba mzito wa Tumaini Mkono unazo Ndugu. Juzi na Jana nikiwa na Yule Rafiki yako wa hapa JamiiForums aliyeko Kifungoni sasa kwa Sheria za Moderators wa JamiiForums tumeshinda mno hapo kwa Mzee Juma ( Mbezi Juu ) na akina Wazee Brigedia Mstaafu Profesa Kohi, Kanali Mstaafu Mugwe na Walevi Wenzako akina Emanuel, Stewart, John na Oswald.
Mjinga weweNajiuliza tu.
Hivi simba akienda sauzi akafanyiwa hujuma kuna mcha mbuzi yeyote wa sauzi atajitokeza kuwatetea Simba?
Na Orlando pirates wakija kupewa penalty kimakosa atajitokeza mchambuzi wa sauzi kuitetea Simba?
Huyu fala yuko huko Hungumalwa ndani ndaniMpaka unazeeka kwa Madiba utapasikia tu, hapo ulipo ukute hata Dar es Salaam tu hujawahi kufika.
Watu wa Jf bwana[emoji1]
Hawa uto bwanaπ.Huyu fala yuko huko Hungumalwa ndani ndani
kwa nyungo mzee kwani uto huwajui?Sasa mtu kama wewe hohehae unaimbie eti "tukutane kwa madiba", kisha nikae kuanza kujibizana na wewe sio kupoteza muda tu?
Kwa madiba unafikaje??
Eti "tukutane kwa madiba"πkwa nyungo mzee kwani uto huwajui?
Mjinga wewe
Kwa nini utetee madhaifu? Hakuna anayekutetea. Ukifungwa umefungwa