Mchambuzi Oscar Oscar wa EFM: Malalamiko ya Kipuuzi ya Kocha wa Orlando Pirates FC hayayahusu Simba SC hata kidogo na popote pale

Mchambuzi Oscar Oscar wa EFM: Malalamiko ya Kipuuzi ya Kocha wa Orlando Pirates FC hayayahusu Simba SC hata kidogo na popote pale

Sasa mtu kama wewe hohehae unaimbie eti "tukutane kwa madiba", kisha nikae kuanza kujibizana na wewe sio kupoteza muda tu?

Kwa madiba unafikaje??
๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ Kwa hiyo umehisi unamfahamu na ni hohehahe..!!! JF banaa..!!! Unaweza mkabidhi mtu umasikini kumbe ni tajiri au kinyume chake
 
๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ Kwa hiyo umehisi unamfahamu na ni hohehahe..!!! JF banaa..!!! Unaweza mkabidhi mtu umasikini kumbe ni tajiri au kinyume chake
Hahaha ungeuliza kwanza kwanini nilimwambia hivyo, sometimes unamjua tu kutokana na nyuzi au comments za kulialia ugumu wa maisha.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hahaha ungeuliza kwanza kwanini nilimwambia hivyo, sometimes unamjua tu kutokana na nyuzi au comments za kulialia ugumu wa maisha.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Wengine matapeli.. Wanalialia kujenga sympathy...!! ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
 
"Kocha wa Orlando Pirates FC amelalamika kuhusu kupata Usumbufu Uwanja wa Ndege hayo ni ya UHAMIAJI na siyo Simba SC, Kocha wa Orlando Pirates FC amelalamika kucheleweshwa Barabarani hayo ni Masuala ya Jeshi la Police na siyo Simba SC, Kocha wa Orlando Pirates FC amelalamika kuhusu Hoteli waliyoifikia hayo ni Masuala ya Wao na Wamiliki wa Hoteli na hayaihusu Simba SC na Kocha wa Orlando Pirates FC amelalamika ile Penati ambayo Mimi nasema ni ya halali hivyo kama ni lawama Orlando Pirates FC wamalizane na Mwamuzi (Referee) na siyo Simba SC kwani haihusiki.

Ukweli ni kwamba Simba SC sasa imeshakuwa Matured na haina muda wa Kulalamika kwani hata Wao pia wakienda nchi za Watu hufanyiwa Hujuma na Visa vingi sana sema huenda kutokana na Unafiki na Unazi Wetu Watanzania hili huwa hatuliongelei na sasa ifike wakati Timu zote zinazokuja Kucheza Tanzania zikifungwa zikubali Matokeo na siyo kuja na Lawama za Kipuuzi na za Kitoto
" Oscar Oscar Mchambuzi wa Michezo EFM Radio leo katika Kipindi cha Michezo cha Sports Headquarters.

Tunahitaji Wachambuzi kama huyu TZA.
Haya ukiyasema kama hivi na wewe tarajia majibu hayohayo ukienda ugenini na kutetendewa mabaya. Ni umbumbumbu kudhani kwamba dhamana ya mapokezi na huduma Kwa timu pinzani inakuwa mikononi mwa mamlaka ya nchi na siyo timu mwenyeji. Sikutegemea mchambuzi anayejulikana kama Oscar asijue Simba kama mwenyeji anahusikaje na mapokezi ya wageni wao.
Mbona watanzania ni wasahaulifu kiasi hiki? Malalamiko hayo kama yana ukweli yakemewe yasirudiwe lakini Simba kujivua uwajinikaji ni kichekesho. Mara ngapi tumewasikia Simba, Yanga, au hata Taifa stars wakilalamikia vitendo vya hujuma wanapokwenda ugenini hasa nchi za Kiarabu? Kwa nini huwa hamuwalaumu uhamiaji au Polisi wa nchi husika badala yake mnalaumu Wapinzani wenu?

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Oscar Oscar ana akili, licha ya kwamba yeye ni Yanga lakini huwa haiongelei vibaya Simba
Ni matumaini yangu kuwa Taarifa za Msiba mzito wa Tumaini Mkono unazo Ndugu. Juzi na Jana nikiwa na Yule Rafiki yako wa hapa JamiiForums aliyeko Kifungoni sasa kwa Sheria za Moderators wa JamiiForums tumeshinda mno hapo kwa Mzee Juma ( Mbezi Juu ) na akina Wazee Brigedia Mstaafu Profesa Kohi, Kanali Mstaafu Mugwe na Walevi Wenzako akina Emanuel, Stewart, John na Oswald.
 
Ukiona nawe unalalamikiwa jua usha mature.

Ukiwa na mtoto wa kiume na ikawa hujawahi sikia lawama zozote zile unaletewa jua bado huna mtu.

Saivi simba imesogea kiasi ambacho nayo inaogopwa.
 
Mpaka unazeeka kwa Madiba utapasikia tu, hapo ulipo ukute hata Dar es Salaam tu hujawahi kufika.

Watu wa Jf bwana๐Ÿ˜„
Jaman utani wa kweli n marufuku hukuuu.
Acha makwazo kwa member wenzako kwa utani unaofanana na ukweli. Au nkumnee wa pin omment yako?๐Ÿ˜‚
 
Simba vs almasry
Simba vs plateau United
Hizo mechi zote simba alifanyiwa umafia na yule nguruwe pori anajua ila wachambuzi wakakaa kimya halafu mbona simba kaenda ugenini anakula hamsa hamsa hakuna aliyelalamika ila senzo na manara ndo wamewaaminisha ujinga wale wa Zulu.
 
Ni matumaini yangu kuwa Taarifa za Msiba mzito wa Tumaini Mkono unazo Ndugu. Juzi na Jana nikiwa na Yule Rafiki yako wa hapa JamiiForums aliyeko Kifungoni sasa kwa Sheria za Moderators wa JamiiForums tumeshinda mno hapo kwa Mzee Juma ( Mbezi Juu ) na akina Wazee Brigedia Mstaafu Profesa Kohi, Kanali Mstaafu Mugwe na Walevi Wenzako akina Emanuel, Stewart, John na Oswald.


Popoma katika ubora wako ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Eti yule rafiki yako wa hapa JamiiForums aliyefungiwa

Yaani unajisema mwenyewe

Bahati nzuri MINOCYCLINE ni Tetracyclines wakati Gentamycin / GENTAMYCINE ni aminoglycoside ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Najiuliza tu.
Hivi simba akienda sauzi akafanyiwa hujuma kuna mcha mbuzi yeyote wa sauzi atajitokeza kuwatetea Simba?

Na Orlando pirates wakija kupewa penalty kimakosa atajitokeza mchambuzi wa sauzi kuitetea Simba?
 
Najiuliza tu.
Hivi simba akienda sauzi akafanyiwa hujuma kuna mcha mbuzi yeyote wa sauzi atajitokeza kuwatetea Simba?

Na Orlando pirates wakija kupewa penalty kimakosa atajitokeza mchambuzi wa sauzi kuitetea Simba?
Mjinga wewe

Kwa nini utetee madhaifu? Hakuna anayekutetea. Ukifungwa umefungwa
 
Sasa mbona hao wanalalamika wanataka watetewe na madhaifu yao?
walifanya makosa beki akatoa Boko walitaka wasaidiwe vipi?
Mjinga wewe

Kwa nini utetee madhaifu? Hakuna anayekutetea. Ukifungwa umefungwa
 
Back
Top Bottom