Mchambuzi Oscar Oscar wa EFM: Malalamiko ya Kipuuzi ya Kocha wa Orlando Pirates FC hayayahusu Simba SC hata kidogo na popote pale

Mchambuzi Oscar Oscar wa EFM: Malalamiko ya Kipuuzi ya Kocha wa Orlando Pirates FC hayayahusu Simba SC hata kidogo na popote pale

Huyo Jamaa Bila bila ni Punguani sana..!

Orlando Pirates, walifanya mambo mengi ya hovyo sana lakini Simba SC wala hawakuhangaika nao, walivunja kanuni hata ya kuingia uwanjani kwa wao kuingia sehemu ya mlango mwingine.

Kocha wa Orlando ni kichaa, alishawahi kusema Ligi ya Afrika Kusini ni bora kuliko Michuano ya Afcon.

Halafu anatokea Punguani Waheed kutoka Uto anasema malalamiko yake Kocha yakemewe.
Mnanua mpaka refa na bado mnashinda kimoko ngoja mkanyanduliwe
 
Kwa wale matomaso wa zama hizi.
Mjiridhishe Sasa kuwa ile ilikuwa penati HALAL.
muamuzi kumbuka alikuwa na beji ya FIFA na VAR ilikuwepo
278757061_713860340045082_150531169277190225_n.jpg
 
"Kocha wa Orlando Pirates FC amelalamika kuhusu kupata Usumbufu Uwanja wa Ndege hayo ni ya UHAMIAJI na siyo Simba SC, Kocha wa Orlando Pirates FC amelalamika kucheleweshwa Barabarani hayo ni Masuala ya Jeshi la Police na siyo Simba SC, Kocha wa Orlando Pirates FC amelalamika kuhusu Hoteli waliyoifikia hayo ni Masuala ya Wao na Wamiliki wa Hoteli na hayaihusu Simba SC na Kocha wa Orlando Pirates FC amelalamika ile Penati ambayo Mimi nasema ni ya halali hivyo kama ni lawama Orlando Pirates FC wamalizane na Mwamuzi (Referee) na siyo Simba SC kwani haihusiki.

Ukweli ni kwamba Simba SC sasa imeshakuwa Matured na haina muda wa Kulalamika kwani hata Wao pia wakienda nchi za Watu hufanyiwa Hujuma na Visa vingi sana sema huenda kutokana na Unafiki na Unazi Wetu Watanzania hili huwa hatuliongelei na sasa ifike wakati Timu zote zinazokuja Kucheza Tanzania zikifungwa zikubali Matokeo na siyo kuja na Lawama za Kipuuzi na za Kitoto
" Oscar Oscar Mchambuzi wa Michezo EFM Radio leo katika Kipindi cha Michezo cha Sports Headquarters.

Tunahitaji Wachambuzi kama huyu TZA.
Senzo kutwa kuchwa yupo na Manara unategemea wataongea nini? Manara kamjaza upepo senzo na senzo kawajaza ujinga wasouth wenzie
 
Haya ukiyasema kama hivi na wewe tarajia majibu hayohayo ukienda ugenini na kutetendewa mabaya. Ni umbumbumbu kudhani kwamba dhamana ya mapokezi na huduma Kwa timu pinzani inakuwa mikononi mwa mamlaka ya nchi na siyo timu mwenyeji. Sikutegemea mchambuzi anayejulikana kama Oscar asijue Simba kama mwenyeji anahusikaje na mapokezi ya wageni wao.
Mbona watanzania ni wasahaulifu kiasi hiki? Malalamiko hayo kama yana ukweli yakemewe yasirudiwe lakini Simba kujivua uwajinikaji ni kichekesho. Mara ngapi tumewasikia Simba, Yanga, au hata Taifa stars wakilalamikia vitendo vya hujuma wanapokwenda ugenini hasa nchi za Kiarabu? Kwa nini huwa hamuwalaumu uhamiaji au Polisi wa nchi husika badala yake mnalaumu Wapinzani wenu?

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Mkuu simba kajivua wapi kumuhudumia mgeni wake? Umeona press release ya babra? Hao jamaa walikataa usafiri hadi hoteli waliyopewa na simba je simba angefanyaje?
 
Iwe Fundusho kwa Walevi wa Pombe Kali ( Whiskey na Wine ) kuwa mkiwa mnazifakamia basi pia muwe mnajitahidi kuhakikisha mnakulae. Tumaini Mkono ametuuma Wengi hasa kutokana na tabia yake ya Upendo, Utu na kupenda Kujichanganya na Watu pamoja na kwamba ndiye alikuwa Confidant wa Mzee Nimrod Elirehema Mkono.

Naona sasa Watu wenu Wakubwa ( Waandamizi ) wa Kuwanunulieni Bia za Bure Mbezi Juu na Mbezi Beach yote Gwasu ( Kaka yake Diwani Athumani Bosi Mkuu UWT ) na Tumaini Mkono Mwenyezi Mungu ameshawapenda zaidi ( sasa ni Marehemu ) na kabakia Brigedia Mstaafu Profesa Kohi ambaye nae pia Bia zake za bure hunywi mpaka Umsifie kuwa ana Magari mazuri la sivyo Bia utazisikia Redioni tu huku ukipiga sana Miayo hapo katika Kibanda cha Happy Mhaya.

Anzeni kufanya Mazoezi ya Kunywa Gongo na Pombe Chafu hapo kwa nyuma Mitaa ya Ghuba ili mkishalewa kama mnavyolewaga hovyo na Kizembe muanze Kuwafakamia hao Mademu wa Kimakonde, Kingoni na Kimalawi wenye Ngoma ili tuwazikeni vizuri sawa?

Mwili wake ( Tumaini Mkono ) unawasili Ijumaa kutokea nchini Indian alikofia baada ya kwenda katika Matibabu yake na utalala Kwake Boko Basihaya ( California ) na Jumamosi baada ya Watu ( akina MINOCYCLINE ) Kumuaga utasafirishwa na Ndege kwenda Musoma Mkoani Mara kwa Maziko ya Siku ya Jumapili pale Kijijini Kwao Busugwe Wilayani Butiama.
Zama za bia za bure hakika zimeisha.
Huko kuzimu naona timu imetimia, ikiongozwa na Zefa
 
Iwe Fundusho kwa Walevi wa Pombe Kali ( Whiskey na Wine ) kuwa mkiwa mnazifakamia basi pia muwe mnajitahidi kuhakikisha mnakulae. Tumaini Mkono ametuuma Wengi hasa kutokana na tabia yake ya Upendo, Utu na kupenda Kujichanganya na Watu pamoja na kwamba ndiye alikuwa Confidant wa Mzee Nimrod Elirehema Mkono.

Naona sasa Watu wenu Wakubwa ( Waandamizi ) wa Kuwanunulieni Bia za Bure Mbezi Juu na Mbezi Beach yote Gwasu ( Kaka yake Diwani Athumani Bosi Mkuu UWT ) na Tumaini Mkono Mwenyezi Mungu ameshawapenda zaidi ( sasa ni Marehemu ) na kabakia Brigedia Mstaafu Profesa Kohi ambaye nae pia Bia zake za bure hunywi mpaka Umsifie kuwa ana Magari mazuri la sivyo Bia utazisikia Redioni tu huku ukipiga sana Miayo hapo katika Kibanda cha Happy Mhaya.

Anzeni kufanya Mazoezi ya Kunywa Gongo na Pombe Chafu hapo kwa nyuma Mitaa ya Ghuba ili mkishalewa kama mnavyolewaga hovyo na Kizembe muanze Kuwafakamia hao Mademu wa Kimakonde, Kingoni na Kimalawi wenye Ngoma ili tuwazikeni vizuri sawa?

Mwili wake ( Tumaini Mkono ) unawasili Ijumaa kutokea nchini Indian alikofia baada ya kwenda katika Matibabu yake na utalala Kwake Boko Basihaya ( California ) na Jumamosi baada ya Watu ( akina MINOCYCLINE ) Kumuaga utasafirishwa na Ndege kwenda Musoma Mkoani Mara kwa Maziko ya Siku ya Jumapili pale Kijijini Kwao Busugwe Wilayani Butiama.
Benny yupo?
 
Back
Top Bottom