TANZIA Mchambuzi wa siasa na mtangazaji mkongwe Ahmed Rajabu aaga dunia

TANZIA Mchambuzi wa siasa na mtangazaji mkongwe Ahmed Rajabu aaga dunia

1738689643734.jpeg
 
Kwanini taarifa kama hizi BBC hawazipi kipaumbele, tafuta hii habari kwenye BBC Africa na BBC World service huwezi kuikuta...wao ni BBC swahili tu
 
BBC Swahili wanaripoti kuwa mwandishi wao wa zamani na mchambuzi wa siasa hasa za middle east Mzee Ahamad Rajabu ameaga dunia muda mfupi.

Ahamad Rajabu alikuwa kinara wa taarifa za mashariki ya kati na dunia kwa ujumla

USSR

=

BBC wameandika kuwa Taarifa zilizowafikia hivi punde kutoka chumba chetu cha Habari zinasema mwandishi wa Habari wa gazeti la Africa Event, pia mtangazaji wa zamani wa BBC, bwana Ahmed Rajab amefariki dunia jioni hii huko London, Uingereza.

Taarifa zaidi zinatarajiwa kutolewa baadaye na familia zikiwemo taratibu maziko.
View attachment 3225293
Ahmed Rajab alijiunga na BBC mwazoni mwa miaka ya 1960.
Baada ya kustaafu Ahmed Rajab alikuwa mmoja wa wachambuzi wa kutegemewa wa masuala ya kimataifa wa BBC si chache ziliopita.
Mara ya mwisho alifanya uchambuzi kuhusu mzozo wa Gaza Januari 30 mwaka huu.

Source: BBC swahili
إنا لله و إنا إليه راجعون
 
Kuna habari zozote zenye ukakasi alizohoji au kuchambua hivi karibuni?
 
BBC Swahili wanaripoti kuwa mwandishi wao wa zamani na mchambuzi wa siasa hasa za middle east Mzee Ahamad Rajabu ameaga dunia muda mfupi.

Ahamad Rajabu alikuwa kinara wa taarifa za mashariki ya kati na dunia kwa ujumla

USSR

=

BBC wameandika kuwa Taarifa zilizowafikia hivi punde kutoka chumba chetu cha Habari zinasema mwandishi wa Habari wa gazeti la Africa Event, pia mtangazaji wa zamani wa BBC, bwana Ahmed Rajab amefariki dunia jioni hii huko London, Uingereza.

Taarifa zaidi zinatarajiwa kutolewa baadaye na familia zikiwemo taratibu maziko.
View attachment 3225293
Ahmed Rajab alijiunga na BBC mwazoni mwa miaka ya 1960.
Baada ya kustaafu Ahmed Rajab alikuwa mmoja wa wachambuzi wa kutegemewa wa masuala ya kimataifa wa BBC si chache ziliopita.
Mara ya mwisho alifanya uchambuzi kuhusu mzozo wa Gaza Januari 30 mwaka huu.

Source: BBC swahili
Rest in peace Comrade.
 
BBC Swahili wanaripoti kuwa mwandishi wao wa zamani na mchambuzi wa siasa hasa za middle east Mzee Ahamad Rajabu ameaga dunia muda mfupi.

Ahamad Rajabu alikuwa kinara wa taarifa za mashariki ya kati na dunia kwa ujumla

USSR

=

BBC wameandika kuwa Taarifa zilizowafikia hivi punde kutoka chumba chetu cha Habari zinasema mwandishi wa Habari wa gazeti la Africa Event, pia mtangazaji wa zamani wa BBC, bwana Ahmed Rajab amefariki dunia jioni hii huko London, Uingereza.

Taarifa zaidi zinatarajiwa kutolewa baadaye na familia zikiwemo taratibu maziko.
View attachment 3225293
Ahmed Rajab alijiunga na BBC mwazoni mwa miaka ya 1960.
Baada ya kustaafu Ahmed Rajab alikuwa mmoja wa wachambuzi wa kutegemewa wa masuala ya kimataifa wa BBC si chache ziliopita.
Mara ya mwisho alifanya uchambuzi kuhusu mzozo wa Gaza Januari 30 mwaka huu.

Source: BBC swahili
Namuonea huruma kafa katika uislamu bila Yesu.

Malaria 2 gTurn gallow bird inamankusweke ITR Adiosamigo incharge Ritz Jagina ielewemitaa mjingamimi FaizaFoxy

Nyau de adriz
 

10 The High Street, Melrose Arch, Johannesburg


Ahmed Rajab - wasifu​

1738694251347.jpeg

Mwandishi wa habari wa kimataifa, mchambuzi wa siasa, mwandishi wa insha na mwandishi wa safu
Ahmed Rajab ni mwandishi wa habari wa kimataifa mzaliwa wa Zanzibar, mchambuzi wa masuala ya kisiasa, mwandishi wa insha na mwandishi wa safu.

Mhitimu wa falsafa (Chuo Kikuu cha London), pia ana stashahada ya uzamili ya Ukuzaji Miji katika Nchi Zinazoendelea (Chuo Kikuu cha London), na Shahada ya Uzamili katika Fasihi ya Kisasa ya Kiafrika (Chuo Kikuu cha Sussex).

Tasnifu yake ilikuwa ya mshairi wa Négritude David Diop. Ahmed amefanya kazi na BBC World Service, Index-on-Censorship, Africa Events, Africa Analysis, pamoja na Unesco na UN OCHA.

Kuanzia 2006-2009 alikuwa akiishi Dubai kama Mkuu wa Chumba cha Habari (Ofisi ya Mashariki ya Kati/Asia) kwa IRIN, shirika la habari la kibinadamu la Umoja wa Mataifa wakati huo, na baadaye alitumia miaka mingine mitatu Nairobi kama Mkurugenzi Mkuu wa Universal TV.
Kwa sasa yeye ndiye Mkurugenzi Mkakati wa kituo hicho.

Mashairi ya Ahmed yamejumuishwa katika anthology “Sauti Mpya za Kiafrika” (Longman, 1997). Ametafsiri kwa Kiswahili vitabu vya watoto viwili.

Ahmed Ahmed alikutana na jopo la majaji wa Tuzo la Kiswahili la Mabati-Cornell la Fasihi ya Kiafrika 2019, Tuzo ya Caine ya Uandishi wa Kiafrika 2018 na Tuzo za Mwanahabari Bora wa Afrika wa 1999 wa CNN
 
BBC Swahili wanaripoti kuwa mwandishi wao wa zamani na mchambuzi wa siasa hasa za middle east Mzee Ahamad Rajabu ameaga dunia muda mfupi.

Ahamad Rajabu alikuwa kinara wa taarifa za mashariki ya kati na dunia kwa ujumla

USSR

=

BBC wameandika kuwa Taarifa zilizowafikia hivi punde kutoka chumba chetu cha Habari zinasema mwandishi wa Habari wa gazeti la Africa Event, pia mtangazaji wa zamani wa BBC, bwana Ahmed Rajab amefariki dunia jioni hii huko London, Uingereza.

Taarifa zaidi zinatarajiwa kutolewa baadaye na familia zikiwemo taratibu maziko.
View attachment 3225293
Ahmed Rajab alijiunga na BBC mwazoni mwa miaka ya 1960.
Baada ya kustaafu Ahmed Rajab alikuwa mmoja wa wachambuzi wa kutegemewa wa masuala ya kimataifa wa BBC si chache ziliopita.
Mara ya mwisho alifanya uchambuzi kuhusu mzozo wa Gaza Januari 30 mwaka huu.

Source: BBC swahili
RIP mwanangu Raj
 
18 August 2023

World Kiswahili Day @ House of Lords London-Keynote Address Ahmed Rajab

View: https://m.youtube.com/watch?v=zTyujOccLaM
Ahmed Rajab Ali Muhammed is an accomplished individual with an impressive educational background and a distinguished career in various fields.


Ahmed Rajab pursued his secondary education at King George VI Secondary School in Zanzibar and continued his studies at Westminster College in London, where he obtained his GCE and A Levels.

In 1971, Ahmed Rajab earned his BA (Hons) in Philosophy from Birkbeck College, University of London. Subsequently, in 1974, he completed a University of London Postgraduate Diploma in Urbanisation in Developing Countries. His academic journey led him to the University of Sussex, where he achieved an MA in African Studies, specializing in Modern African Literature and African Political Economy in 1980.

During his professional career, Ahmed Rajab Ali Muhammed demonstrated his expertise and dedication. Between 1964 and 1978, he served as Acting Head/Producer/Programme Assistant at the BBC Africa Service's Swahili Service in London.

From 1980 to 1983, Ahmed Rajab contributed as a Consultant at the UNESCO Communications Office in Kenya. His involvement with the media continued as he joined BBC World Service in London as a Producer in 1984.

He later advanced to the position of Senior Editor at Africa Events, London. Rajab's intellectual contributions extend beyond his work in media. He is an accomplished writer with a collection of notable publications. His work "A Chilly Wind over the Indian Ocean" appears in the book "Pioneers, Rebels, and a few Villains: 150 Years of Journalism in Eastern Africa," edited by Charles Onyango-Obbo and published by the Konrad Adenauer Stiftung in Johannesburg.

Additionally, Ahmed Rajab has penned articles for prominent newspapers in Johannesburg and London. His active engagement in various capacities further highlights his commitment to meaningful causes.

Ahmed Rajab has served on numerous boards, including the Independent Advice Panel for Restructuring the BBC World Service in English, chaired by Michael Green in 1997.

Ahmed Rajab contributed as a US-based Electoral Observer for The Institute for Democratic Strategies in Equatorial Guinea.

Ahmed Rajab Ali Muhammed also held the position of Chairman for the Pan-African Association of Writers and Journalists in London.Ahmed's multilingual abilities are evident through his proficiency in languages. Kiswahili is his mother tongue, and he is fluent in English. Additionally, he possesses reasonable competence in Arabic and French.

Born in Vuga, Zanzibar, Ahmed Rajab Ali Muhammed relocated to the UK in 1964 and has since made it his home. His outstanding achievements and diverse experiences make him a remarkable individual.It is with great honor that to host Mr. Ahmed Rajab as our Keynote Speaker for World Kiswahili Day 2023.

His expertise, accomplishments, and dedication make him a fitting choice for this prestigious role.
1738694346778.jpeg

Photo : Ahmed Rajab
 
Back
Top Bottom